Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

João Pedro ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu wa Chelsea 2025/26.…na sasa anarudi kutabasamu Stamford Bridge baada ya maumivu ya kuachwa kwenye timu ya Brazil ya kushiriki Kombe la Dunia.

View attachment 3591494
Unafananisha maumivu ya mchezaji kuitwa timu ya taifa kombe la dunia yanaweza futwa kwa tuzo ya maamuzi ya timu kumpa tuzo ya msimu? Ila Lembu
 
Nyie mmeshindwa kumzuia Arsenal asibebe ubingwa na sasa mnataka kufanya nini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie.

Na huyo Xabi Alosto nae mtamfukuza tu, baada ya Roman Abramovic kudhulumiwa haki yake aliiapiza na kuiombea laana hili litimu.
Siku zote hua hakunaga baraka kwenye mali za dhuluma kenge nyie na bado mtateseka sana msimu ujao wajaa laana nyie.
1779288613695.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie.

Na huyo Xabi Alosto nae mtamfukuza tu, baada ya Roman Abramovic kudhulumiwa haki yake aliiapiza na kuiombea laana hili litimu.
Siku zote hua hakunaga baraka kwenye mali za dhuluma kenge nyie na bado mtateseka sana msimu ujao wajaa laana nyie. View attachment 3591838
Endeleeni kugombana.....ila msimu ujao ukifika unganeni Tena muamze kutuombea njaa....maana hyo ndo kazi mnayoiweza....kiukweli kabisa.... Chelsea hawatakiwi kucheza hata ndondo cup ya Ulaya....msimu ujao inatakiwa wabaki mulemule Uingereza wawe wanazungukazunguka tu....kucheza na kina Fulham mara Bournemouth...hzo ndo level zao....
 
Hua unapenda kushindana. Sielewi Arsenal inaingiaje hapo ila lazima ujue Arsenal ni kubwa kuizidi Chelsea ila Arsenal haiizidi Madrid.

Mimi nilikua humu kuanzia mnampoint Lampard na nikasema ni kiazi na mpaka last time mnamleta Rosemary. Na nilichoandika kuhusu Xabi kipo sahihi, wewe endelea na fantasies.

Ukirudi kushabikia Chelsea sema ili nikiwa nakuja kukuonyesha vitu usivyoweza kuviona usiseme umeenda City.
Xabi Alonso kocha wa kawaida sana, na kwa hii EPL watamfukuza mapema sana

Ameshindwa kumanage mastaa wa Madrid ,akawa anategemea mbappe amuokoe kila siku

Alonso atafukuzwa mapema sana
 
Xabi Alonso kocha wa kawaida sana, na kwa hii EPL watamfukuza mapema sana

Ameshindwa kumanage mastaa wa Madrid ,akawa anategemea mbappe amuokoe kila siku

Alonso atafukuzwa mapema sana
Ulivyojibu hivi unaonekana hujafuatilia hata kwa nini Real Madrid alitoka
 
Ulivyojibu hivi unaonekana hujafuatilia hata kwa nini Real Madrid alitoka
Nimefatilia ,kiukweli Sion utofauti wa Ten hag kipindi anaingia Manjesta na Xabi Alonso huyu

Muda utasema ,EPL hii ni ngumu sana ,angalia kilichontokea Kompany lakin kule Germany anaonekana world class Manager

Na msivyo wavumilivu ,kufikia X mass mtakuwa mnataka atimuliwe

Xabi anahitaji msimu mzima kuijenga Chelsea na kufanya Sajili muhimu .
 
MBONA KAMA NI MAPEMA SANA KUONYESHA UTAPELI😄💔

Yani Mashabiki wote Wa Chelsea walkua hawataki kumuona ata kweny Starting 11 , ila kocha wao mpya Xabi Alonso ,Kwenye Watu wa5 Aliosema Anawahitaji sana mmoja wao ni TOSIN ADARABIONYO😄, tutaona mengi 🚶🚶

Anyway kwenye wachezaji wa5 Alonso Ambao Kasema lazima awakute ni

Marc Cucurela
Enzo Fernandez
Moise Caisedo
Reece James
TOSIN ADARABIONYO😄


Labda ani prove wrong,but namuona Alonso ni version ya Amorini tu au Erik 7+3hag
 
MBONA KAMA NI MAPEMA SANA KUONYESHA UTAPELI😄💔

Yani Mashabiki wote Wa Chelsea walkua hawataki kumuona ata kweny Starting 11 , ila kocha wao mpya Xabi Alonso ,Kwenye Watu wa5 Aliosema Anawahitaji sana mmoja wao ni TOSIN ADARABIONYO😄, tutaona mengi 🚶🚶

Anyway kwenye wachezaji wa5 Alonso Ambao Kasema lazima awakute ni

Marc Cucurela
Enzo Fernandez
Moise Caisedo
Reece James
TOSIN ADARABIONYO😄


Labda ani prove wrong,but namuona Alonso ni version ya Amorini tu au Erik 7+3hag
Huyo aliyeandika hiyo list ni kama wewe, just a conspiracy theory ili kuvutia waonaji na kuomba malipo X
 
Nimefatilia ,kiukweli Sion utofauti wa Ten hag kipindi anaingia Manjesta na Xabi Alonso huyu

Muda utasema ,EPL hii ni ngumu sana ,angalia kilichontokea Kompany lakin kule Germany anaonekana world class Manager

Na msivyo wavumilivu ,kufikia X mass mtakuwa mnataka atimuliwe

Xabi anahitaji msimu mzima kuijenga Chelsea na kufanya Sajili muhimu .
Ndugu alimpiga benchi mjukuu wa Florentino Perez
 
Watu kwa kumfananisha Ronaldo na Messi hawajambo kabisa
The GOATs & League Titles;
Ronaldo; - Premier League - La Liga - Serie A - Saudi League
Messi;- La Liga
 
MBONA KAMA NI MAPEMA SANA KUONYESHA UTAPELI😄💔

Yani Mashabiki wote Wa Chelsea walkua hawataki kumuona ata kweny Starting 11 , ila kocha wao mpya Xabi Alonso ,Kwenye Watu wa5 Aliosema Anawahitaji sana mmoja wao ni TOSIN ADARABIONYO😄, tutaona mengi 🚶🚶

Anyway kwenye wachezaji wa5 Alonso Ambao Kasema lazima awakute ni

Marc Cucurela
Enzo Fernandez
Moise Caisedo
Reece James
TOSIN ADARABIONYO😄


Labda ani prove wrong,but namuona Alonso ni version ya Amorini tu au Erik 7+3hag
Mkuu, unaweza kunipa video au post kutoka kwa Alonso akiyasema haya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom