Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,350
- 77,160
Unafananisha maumivu ya mchezaji kuitwa timu ya taifa kombe la dunia yanaweza futwa kwa tuzo ya maamuzi ya timu kumpa tuzo ya msimu? Ila LembuJoão Pedro ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu wa Chelsea 2025/26.…na sasa anarudi kutabasamu Stamford Bridge baada ya maumivu ya kuachwa kwenye timu ya Brazil ya kushiriki Kombe la Dunia.
View attachment 3591494