Ujumbe wa Xabi Alonso kwa mashabiki wa Chelsea:
“Chelsea ni moja ya vilabu vikubwa zaidi kwenye Ulimwengu wa soka, na kunipa nijisikie sifa kubwa kuwa manager wa klabu hii kubwa.”
“Katika mazungumzo yangu na ownership group pamoja na sporting directors, imekuwa wazi kabisa kwamba tuna malengo yanayofanana. Tunataka kujenga timu inayoweza kushindana kwenye viwango vya juu kila msimu na kupigania makombe.”
“Kuna vipaji vikubwa ndani ya hii timu na uwezo mkubwa kwenye hii club, na itakuwa heshima yangu kubwa kuiongoza. Sasa focus ni kwenye hard work, kujenga utamaduni sahihi, na kushinda makombe.”
View attachment 3589869