Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tayari huko
Our Manager
Liverpool mpo, pambaneni an Arne Slot
View attachment 3589848
Ujumbe wa Xabi Alonso kwa mashabiki wa Chelsea:

“Chelsea ni moja ya vilabu vikubwa zaidi kwenye Ulimwengu wa soka, na kunipa nijisikie sifa kubwa kuwa manager wa klabu hii kubwa.”

“Katika mazungumzo yangu na ownership group pamoja na sporting directors, imekuwa wazi kabisa kwamba tuna malengo yanayofanana. Tunataka kujenga timu inayoweza kushindana kwenye viwango vya juu kila msimu na kupigania makombe.”

“Kuna vipaji vikubwa ndani ya hii timu na uwezo mkubwa kwenye hii club, na itakuwa heshima yangu kubwa kuiongoza. Sasa focus ni kwenye hard work, kujenga utamaduni sahihi, na kushinda makombe.”

1779006296943.png
 
Chelsea siyo kubwa kuzidi Madrid.

Kilichomtoa Madrid ni ego ya Vini na wenzake.

Asipodeal na Enzo na Cucurella zee la maboko basi tutarajie makubwa.

Ukiniuliza nitasema Xabi hajaprove his presence kwenye timu yenye matarajio makubwa.
 
Kwa Maresca tuliambiwa hivi hivi
View attachment 3589710
Kuwa full involved in transfer maana yake ni kwamba unakuwa na chance ya kutoa maoni yako ya aina gani ya mchezaji unayemuhitaji na ni Nani lakini haimanishi kwamba final decision inakuwa yako lakini kwa Alonso imetumika neno "Manager" maana yake ni kwamba sio tu anapendekekeza lakini pia yeye anakuwa final say and immediately action take place
 
Ujumbe wa Xabi Alonso kwa mashabiki wa Chelsea:

“Chelsea ni moja ya vilabu vikubwa zaidi kwenye Ulimwengu wa soka, na kunipa nijisikie sifa kubwa kuwa manager wa klabu hii kubwa.”

“Katika mazungumzo yangu na ownership group pamoja na sporting directors, imekuwa wazi kabisa kwamba tuna malengo yanayofanana. Tunataka kujenga timu inayoweza kushindana kwenye viwango vya juu kila msimu na kupigania makombe.”

“Kuna vipaji vikubwa ndani ya hii timu na uwezo mkubwa kwenye hii club, na itakuwa heshima yangu kubwa kuiongoza. Sasa focus ni kwenye hard work, kujenga utamaduni sahihi, na kushinda makombe.”

View attachment 3589869
Nadhan umeamini sasa kwamba Alonso anakuwa ni Manager na Si Head Coach.

Lengo langu naomba Hizi game zote tusipate point ili tumalize nafas ya 9 hapo tukose hata hiyo conference ili msim ujao tuwe na mda
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande wa Gusto
 
Chelsea siyo kubwa kuzidi Madrid.

Kilichomtoa Madrid ni ego ya Vini na wenzake.

Asipodeal na Enzo na Cucurella zee la maboko basi tutarajie makubwa.

Ukiniuliza nitasema Xabi hajaprove his presence kwenye timu yenye matarajio makubwa.
Pia tumshukuru mzee wa maboko guehi kwa kutoa boko kwenye mechi dhidi ya Everton, bila hvy msingekuwepo hapo mlipo
 
Pia tumshukuru mzee wa maboko guehi kwa kutoa boko kwenye mechi dhidi ya Everton, bila hvy msingekuwepo hapo mlipo
Mpira ni mchezo wa makosa chura wewe. Unadhani tunavyowafunga ni kwavile nyinyi vinabo sana? Si tunawalazimisha tu kufanya makosa?
 
Chelsea siyo kubwa kuzidi Madrid.

Kilichomtoa Madrid ni ego ya Vini na wenzake.

Asipodeal na Enzo na Cucurella zee la maboko basi tutarajie makubwa.

Ukiniuliza nitasema Xabi hajaprove his presence kwenye timu yenye matarajio makubwa.
Pressure ya Chelsea ni kubwa sana ndio maana mpaka ownership wenyewe wameamua wabadili philosophy yao kutokana na demand ya mashabiki kuwa kubwa. Alonso kaprove kwa kuwa tayari ameshashinda kombe la Bundesliga mbele ya Bayern na hata alivyoenda Madrid unaona kabisa team ilishakaa sawa sema ile migongano yake na senior players ikaja kubadili upepo na ndio sababu kuu aliyofukuzwa hata Mourinho amewahi kuexperience hicho kitu kutoka kwa Hazard, Diego Costa na Fabregas mpaka akawaita ni mapanya wa team.
 
Alonso ana kazi ya ziada kwa timu hii
Team tunayo sema tu Kuna maeneo baadhi yanapaswa kuimarishwa kitu ambacho hakikufanyika under Maresca ndio maana tukafeli Kuna wachezaji aliwapendekeza wasajiliwe ili team iwe tishio zaidi akataliwa mfano mzuri kwenye nafasi ya Colwil baada ya kuumia umeona kwasasa alivyorudi defence yetu ilivyoimarika
 
Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande
Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande wa Gusto
Gusto nae ni mcheaji wa kubaki chelsea kuwa serious basi hapo kwa james nakubali ila gusto hapana beki hajui kukaba wala kushambulia hana madhara wa nini sasa?? moja ya anguko la chelsea ni kukumbatia na kusajili wachezaji wenye uwezo wa kawaida gusto,sanchez,badiashile,fofana,delap,pedro neto,garnacho,gittens,tosin,even Joao Pedro mwenyewe kwenye mechi kubwa na muhimu hatusaidii wa nini sasa ina maana CHELSEA imekua timu ya kawaida kiasi hicho kuwa na wachezaji wa level za championship??
 
Nadhan umeamini sasa kwamba Alonso anakuwa ni Manager na Si Head Coach.

Lengo langu naomba Hizi game zote tusipate point ili tumalize nafas ya 9 hapo tukose hata hiyo conference ili msim ujao tuwe na mda
Sijawahi kukana kuwa Alosno sio Manager bali siwaamini Wamiliki hata akiwa manager bado wanaweza kumbana. Posts zangu za mwanzoni kabis ahata kabla hujaposti nilizileta jana kuwa Alonso anasajiliwa kama Meneja. Issue iko wka wamiliki na SDs wao, wanaweza kumrudi muda wowote
 
Chelsea siyo kubwa kuzidi Madrid.

Kilichomtoa Madrid ni ego ya Vini na wenzake.

Asipodeal na Enzo na Cucurella zee la maboko basi tutarajie makubwa.

Ukiniuliza nitasema Xabi hajaprove his presence kwenye timu yenye matarajio makubwa.
Pia Arsenal sio timu kubwa kama Chelsea na Real Madrid. Pambaneni huko kwanza mpate angalau kombe la UCL la kwanza halafu baada ya hapo ndipo mje kwenye mjadala wa timu kubwa.

Kuhusu Enzo Fernandez na Marc Cucurella hiii haitaji hata mjadala sembuse kutoka kwa mashabiki wa Arsenal wasiojua mpira.

Kwanza: Enzo na Cucu ni mmoja wa wachezaji loyal kwa Chelsea na nikisema hivi hutanielewa kwa sababu utakimbilia kwenye interviews walizofanya.

Pili: Playing style ya Alonso inafanana kwa karibu na mfumo wa Enzo Maresca ambao wachezaji walishaielewa.

Kwa ufupi Alonso anakuja kuendelea pale Enzo Maresca alipoishia January. Ataboresha tu kidogo. Kwa kusema haya, Enzo Fernandez na Cucurella sio tu watafit in bali pia watafurahia mfumo wa Alonso na hakutakuwa na kupishana lugha kama ilivyokuwa kwa Rosemary.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom