Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hatimae wamejifunza na tumepata kocha mzuri sasa,Report zinasema Alonso atakuwa Manager badala ha Head Coach kama waliopita,Hii inamaana anakuwa na power katika kikosi na baadhi ya vitu.

Ngoja tuone signing zitakuwaje na Je hawa SD na Owner hawatomgeuka baadae?

Natumai tumejifunza,Naomba msim huu tusifuzu hata Conference ili Alonso apate mda zaidi,Conference ni kakombe kaajabu na sikahadhi yetu
Kwa Maresca tuliambiwa hivi hivi
1778961834145.png
 
Yaa… enzi mpya inanguruma kweli. Unaweza kuhisi upepo wa mabadiliko ukipiga kutoka mbali, kama radi inayotangaza msimu mpya. Mashabiki tumekuwa tukisubiri kitu kipya kwa muda mrefu, na sasa moto huu unaowaka Stamford Bridge hauzuiliki. Huu sio mwanzo tu — ni ujumbe kwamba zama mpya zimewasili, na hakuna wa kuizuia.

View attachment 3589671
Kesho Jumapili ndio siku ya kumtangza Xabi Alonso kama Manager mpya wa Chelsea
-@Matt_Law_DT
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
Mbona sasa wewe ndie unamsemea.
Labda yeye atajua njia nzuri ya kumtumia Garnacho, Lavia, Badiashile, Delap, Jamie Gitten, Mamadou Sar na Acheampong. KUle Leverkusen aliwatumia sana watoto kushinda ligi.
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
James? Sawa 😂
 
Tayari huko
Our Manager
Liverpool mpo, pambaneni an Arne Slot
View attachment 3589848
Ujumbe wa Xabi Alonso kwa mashabiki wa Chelsea:

“Chelsea ni moja ya vilabu vikubwa zaidi kwenye Ulimwengu wa soka, na kunipa nijisikie sifa kubwa kuwa manager wa klabu hii kubwa.”

“Katika mazungumzo yangu na ownership group pamoja na sporting directors, imekuwa wazi kabisa kwamba tuna malengo yanayofanana. Tunataka kujenga timu inayoweza kushindana kwenye viwango vya juu kila msimu na kupigania makombe.”

“Kuna vipaji vikubwa ndani ya hii timu na uwezo mkubwa kwenye hii club, na itakuwa heshima yangu kubwa kuiongoza. Sasa focus ni kwenye hard work, kujenga utamaduni sahihi, na kushinda makombe.”

1779006296943.png
 
Chelsea siyo kubwa kuzidi Madrid.

Kilichomtoa Madrid ni ego ya Vini na wenzake.

Asipodeal na Enzo na Cucurella zee la maboko basi tutarajie makubwa.

Ukiniuliza nitasema Xabi hajaprove his presence kwenye timu yenye matarajio makubwa.
 
Kwa Maresca tuliambiwa hivi hivi
View attachment 3589710
Kuwa full involved in transfer maana yake ni kwamba unakuwa na chance ya kutoa maoni yako ya aina gani ya mchezaji unayemuhitaji na ni Nani lakini haimanishi kwamba final decision inakuwa yako lakini kwa Alonso imetumika neno "Manager" maana yake ni kwamba sio tu anapendekekeza lakini pia yeye anakuwa final say and immediately action take place
 
Ujumbe wa Xabi Alonso kwa mashabiki wa Chelsea:

“Chelsea ni moja ya vilabu vikubwa zaidi kwenye Ulimwengu wa soka, na kunipa nijisikie sifa kubwa kuwa manager wa klabu hii kubwa.”

“Katika mazungumzo yangu na ownership group pamoja na sporting directors, imekuwa wazi kabisa kwamba tuna malengo yanayofanana. Tunataka kujenga timu inayoweza kushindana kwenye viwango vya juu kila msimu na kupigania makombe.”

“Kuna vipaji vikubwa ndani ya hii timu na uwezo mkubwa kwenye hii club, na itakuwa heshima yangu kubwa kuiongoza. Sasa focus ni kwenye hard work, kujenga utamaduni sahihi, na kushinda makombe.”

View attachment 3589869
Nadhan umeamini sasa kwamba Alonso anakuwa ni Manager na Si Head Coach.

Lengo langu naomba Hizi game zote tusipate point ili tumalize nafas ya 9 hapo tukose hata hiyo conference ili msim ujao tuwe na mda
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande wa Gusto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom