Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande wa Gusto
Gusto hamna mchezaji mule, Jana Doku alikua hatembei wapi? kama sio msaada wa Palmar kuwa kama namba mbili ya pili. bila hivyo jana tungelala na viatu.
James pia ni takataka hauwezi ukawa na World Class wa kukuoffer mechi mbili tatu kwa msimu.
Halafu hata Jao Pedro pia ni wa kuuza sio level za chelsea, anapooza mashambulizi sana yule jamaa. Hato tumepata mchezaji.
 
Pressure ya Chelsea ni kubwa sana ndio maana mpaka ownership wenyewe wameamua wabadili philosophy yao kutokana na demand ya mashabiki kuwa kubwa. Alonso kaprove kwa kuwa tayari ameshashinda kombe la Bundesliga mbele ya Bayern na hata alivyoenda Madrid unaona kabisa team ilishakaa sawa sema ile migongano yake na senior players ikaja kubadili upepo na ndio sababu kuu aliyofukuzwa hata Mourinho amewahi kuexperience hicho kitu kutoka kwa Hazard, Diego Costa na Fabregas mpaka akawaita ni mapanya wa team.
Bruv Leicester ilichukua kombe pia. Msimu huu imeshuka, what followed kwa Ranieri? Haina tofauti na Leverkusen kuchukua.

Bado Xabi hajaprove his presence kwa timu zenye matarajio makubwa. Ukiniambia kwamba alienda Leverkusen na alivyofika akaambiwa alete ligi hapo utakua unaniongopea.
 
Pia Arsenal sio timu kubwa kama Chelsea na Real Madrid. Pambaneni huko kwanza mpate angalau kombe la UCL la kwanza halafu baada ya hapo ndipo mje kwenye mjadala wa timu kubwa.

Kuhusu Enzo Fernandez na Marc Cucurella hiii haitaji hata mjadala sembuse kutoka kwa mashabiki wa Arsenal wasiojua mpira.

Kwanza: Enzo na Cucu ni mmoja wa wachezaji loyal kwa Chelsea na nikisema hivi hutanielewa kwa sababu utakimbilia kwenye interviews walizofanya.

Pili: Playing style ya Alonso inafanana kwa karibu na mfumo wa Enzo Maresca ambao wachezaji walishaielewa.

Kwa ufupi Alonso anakuja kuendelea pale Enzo Maresca alipoishia January. Ataboresha tu kidogo. Kwa kusema haya, Enzo Fernandez na Cucurella sio tu watafit in bali pia watafurahia mfumo wa Alonso na hakutakuwa na kupishana lugha kama ilivyokuwa kwa Rosemary.
Hua unapenda kushindana. Sielewi Arsenal inaingiaje hapo ila lazima ujue Arsenal ni kubwa kuizidi Chelsea ila Arsenal haiizidi Madrid.

Mimi nilikua humu kuanzia mnampoint Lampard na nikasema ni kiazi na mpaka last time mnamleta Rosemary. Na nilichoandika kuhusu Xabi kipo sahihi, wewe endelea na fantasies.

Ukirudi kushabikia Chelsea sema ili nikiwa nakuja kukuonyesha vitu usivyoweza kuviona usiseme umeenda City.
 
Bruv Leicester ilichukua kombe pia. Msimu huu imeshuka, what followed kwa Ranieri? Haina tofauti na Leverkusen kuchukua.

Bado Xabi hajaprove his presence kwa timu zenye matarajio makubwa. Ukiniambia kwamba alienda Leverkusen na alivyofika akaambiwa alete ligi hapo utakua unaniongopea.
ile factor tu ya kuchukua ubingwa ndio tumeiangalia ameshaonja utamu wa kuchukua ubingwa kitu ambacho huwezi kufananisha na mtu kama Gharam Potter au Liam Rosenior ambao hawana history yoyote yakuchukua hata kikombe cha chai hata Maresca kabla hajaja alishachukua championship akiwa Leicester city ndio maana ikawa si ngumu kushinda vikombe na sisi hiko ndicho nakizungumzia
 
ile factor tu ya kuchukua ubingwa ndio tumeiangalia ameshaonja utamu wa kuchukua ubingwa kitu ambacho huwezi kufananisha na mtu kama Gharam Potter au Liam Rosenior ambao hawana history yoyote yakuchukua hata kikombe cha chai hata Maresca kabla hajaja alishachukua championship akiwa Leicester city ndio maana ikawa si ngumu kushinda vikombe na sisi hiko ndicho nakizungumzia
Kama mtazamo wako/ wenu ni huu basi hapo sawa mmempata kocha mnayemtaka.

Sasa subirini mafanikio
 
Bruv Leicester ilichukua kombe pia. Msimu huu imeshuka, what followed kwa Ranieri? Haina tofauti na Leverkusen kuchukua.

Bado Xabi hajaprove his presence kwa timu zenye matarajio makubwa. Ukiniambia kwamba alienda Leverkusen na alivyofika akaambiwa alete ligi hapo utakua unaniongopea.
Arteta miaka nane anarukaruka tu ameprove nini? Huyu Alonso ameshaprove kitu, ungejitahidi huu ushauri uwe unampa kocha wako kiwigi.
 
Arteta miaka nane anarukaruka tu ameprove nini? Huyu Alonso ameshaprove kitu, ungejitahidi huu ushauri uwe unampa kocha wako kiwigi.
Arteta angekua ana rekodi za kipuuzi kwenye mechi kama Potter, Pochetino, Lampard, Maresca na Rosernior asingekuepo pale. Average players kama Enzo na Cucurella ni upuuzi kukuharibia dressing room halafu kocha upo tu unaangalia.

Alichoprove Arteta tofauti na waliopita chelsea ni kuitengeneza project na kucontrol dressing room.
 
Arteta angekua ana rekodi za kipuuzi kwenye mechi kama Potter, Pochetino, Lampard, Maresca na Rosernior asingekuepo pale. Average players kama Enzo na Cucurella ni upuuzi kukuharibia dressing room halafu kocha upo tu unaangalia.

Alichoprove Arteta tofauti na waliopita chelsea ni kuitengeneza project na kucontrol dressing room.
Enzo Fernandez na Cucurella sio average players wale ni winner Enzo ana kombe la Dunia na kwenye hiyo michuano yeye alikuwa ndio best young player na ukija kwenye huu msimu japo kwetu ni mbovu lakini hauna kiungo mwenye namba ambaye amemfikia Enzo Fernandez na ukija kwa Cucurella ana kombe la mataifa ya Ulaya na yeye ndio aliyekuwa best left defender kwenye hiyo michuano na ni mmoja wa key figure kwenye team yetu.Hiyo migogoro iliyokitokeza ni kwasababu wanataka ni kwa nia nzuri ya kulazimisha Mambo ili team iwin Mataji na kwa kiasi chake imesaidia club kubadilisha baadhi ya Mambo ili kwenda sawa na mahitaji ya mashabiki na key figures players wa team
 
Enzo Fernandez na Cucurella sio average players wale ni winner Enzo ana kombe la Dunia na kwenye hiyo michuano yeye alikuwa ndio best young player na ukija kwenye huu msimu japo kwetu ni mbovu lakini hauna kiungo mwenye namba ambaye amemfikia Enzo Fernandez na ukija kwa Cucurella ana kombe la mataifa ya Ulaya na yeye ndio aliyekuwa best left defender kwenye hiyo michuano na ni mmoja wa key figure kwenye team yetu.Hiyo migogoro iliyokitokeza ni kwasababu wanataka ni kwa nia nzuri ya kulazimisha Mambo ili team iwin Mataji na kwa kiasi chake imesaidia club kubadilisha baadhi ya Mambo ili kwenda sawa na mahitaji ya mashabiki na key figures players wa team
Mikel Obi alikua best player kwenye tournament ambayo Messi alikuepo pia

Tournaments za mechi hazizidi 15 mpaka unachukua ubingwa siyo kipimo cha kukiwasilisha ili kiwe hoja kuu. Mfuatilie James Rodriguez career yake ili unielewe zaidi hapa.

Online haswa X na kidogo humu kuna ids za mashabiki wa Chelsea walimfananisha Enzo na Rice. Wote tunajua kwanini huu ufananishaji umekwama kwa sasa.

Enzo na Cucurella ni wabovu? No.
Ni world class? No.
Elite? Yes
 
Mikel Obi alikua best player kwenye tournament ambayo Messi alikuepo pia

Tournaments za mechi hazizidi 15 mpaka unachukua ubingwa siyo kipimo cha kukiwasilisha ili kiwe hoja kuu. Mfuatilie James Rodriguez career yake ili unielewe zaidi hapa.

Online haswa X na kidogo humu kuna ids za mashabiki wa Chelsea walimfananisha Enzo na Rice. Wote tunajua kwanini huu ufananishaji umekwama kwa sasa.

Enzo na Cucurella ni wabovu? No.
Ni world class? No.
Elite? Yes
Nitajie midfield gani wako anamfikia kwa namba Enzo Fernandez?
 
Namab za makombe
Namba za magoli
Ni wapi huko ubora wa DM, CM au AM unaamuliwa na magoli? Kwanini CF au ST asidaiwe magoli aje kudaiwa CM, DM au AM?

Huu ni uelewa wa wapi wa mpira?
 
Kombe la dunia ambalo mnataja kama vile Enzo alikua ana performance ya moto kabisa maishani mwake haikua na hizo namba mnazotaka kutuaminisha hapa.

Tournament nzima Enzo alikua ana assist moja, goli moja na big chance moja.

Accurate long balls katika 10 bora kwa Midfielders wa kwanza alikua ni Pierre wa 10 alikua Xhaka. Enzo unamkuta mtu wa 30.

Midfielders waliodribble kwenye ile tournament wa kwanza Kanno, Partey wa 7. Enzo wa 26.

Enzo anakuja kua mzuri kwenye tackles. Akiwa anashika nafasi ya tatu.

Argentina inafungwa na Saudi Arabia Enzo yupo benchi.

Argentina inaifunga Mexico Enzo anaingia kutokea bench dakika ya 57, anascore goli lake pekee la tournament. Next match ndiyo anatoa assist yake pekee ya tournament.

Kisha dhidi ya Australia ana perform hovyo.

But he is not getting dropped mpaka final.

Hakuna hizo namba mnazotaka kutishia watu.
 
Kombe la dunia ambalo mnataja kama vile Enzo alikua ana performance ya moto kabisa maishani mwake haikua na hizo namba mnazotaka kutuaminisha hapa.

Tournament nzima Enzo alikua ana assist moja, goli moja na big chance moja.

Accurate long balls katika 10 bora kwa Midfielders wa kwanza alikua ni Pierre wa 10 alikua Xhaka. Enzo unamkuta mtu wa 30.

Midfielders waliodribble kwenye ile tournament wa kwanza Kanno, Partey wa 7. Enzo wa 26.

Enzo anakuja kua mzuri kwenye tackles. Akiwa anashika nafasi ya tatu.

Argentina inafungwa na Saudi Arabia Enzo yupo benchi.

Argentina inaifunga Mexico Enzo anaingia kutokea bench dakika ya 57, anascore goli lake pekee la tournament. Next match ndiyo anatoa assist yake pekee ya tournament.

Kisha dhidi ya Australia ana perform hovyo.

But he is not getting dropped mpaka final.

Hakuna hizo namba mnazotaka kutishia watu.
Kwahiyo wewe ndio unajua sana mpira kuliko wale waliompa young player of the tournament na suala la namba nimekuuliza kwenye viungo wako wa Arsenal yupi kamzidi kwa namba Enzo Fernandez msimu huu? Ili nithibitishe huo ukawaida alionao Enzo unaosemea
 
Ni wapi huko ubora wa DM, CM au AM unaamuliwa na magoli? Kwanini CF au ST asidaiwe magoli aje kudaiwa CM, DM au AM?

Huu ni uelewa wa wapi wa mpira?
Wako Attacking Midfielders (AM) na majukumu yao yako wazi. Attacking midfielder anatakiwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mashambulizi — ikijumuisha build‑up, kutengeneza nafasi, kutoa assists, na kufunga magoli. Kwa kiwango kidogo, wanatakiwa pia kusaidia kwenye kukaba.

Kwa upande mwingine, Central Midfielders (CM) wao ni balanced.

Majukumu yao ni pamoja na:
  • Kusaidia kushambulia: kujenga mashambulizi, kutoa assists, na kufunga inapohitajika
  • Kuchezesha wachezaji wenzao, kudhibiti mchezo na kukaba na kusaidia kukaba kimkakati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom