Gusto hamna mchezaji mule, Jana Doku alikua hatembei wapi? kama sio msaada wa Palmar kuwa kama namba mbili ya pili. bila hivyo jana tungelala na viatu.Hapo kwa James na Gusto nakataa, James ni mchezaji mpambanaji na hakuna team yoyote unayoijua wewe anaweza akawa benchi huyo ni world player tulionae unasemaje tumuondoe, na kwa Gusto ni mchezaji ambaye ni mzuri na ni mzuri kwenye tactical plan ya kocha kutokana na flexibility yake we si umeona Jana Doku alikuwa hatembei ule upande wa Gusto
James pia ni takataka hauwezi ukawa na World Class wa kukuoffer mechi mbili tatu kwa msimu.
Halafu hata Jao Pedro pia ni wa kuuza sio level za chelsea, anapooza mashambulizi sana yule jamaa. Hato tumepata mchezaji.