Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arteta miaka nane anarukaruka tu ameprove nini? Huyu Alonso ameshaprove kitu, ungejitahidi huu ushauri uwe unampa kocha wako kiwigi.
Arteta angekua ana rekodi za kipuuzi kwenye mechi kama Potter, Pochetino, Lampard, Maresca na Rosernior asingekuepo pale. Average players kama Enzo na Cucurella ni upuuzi kukuharibia dressing room halafu kocha upo tu unaangalia.

Alichoprove Arteta tofauti na waliopita chelsea ni kuitengeneza project na kucontrol dressing room.
 
Arteta angekua ana rekodi za kipuuzi kwenye mechi kama Potter, Pochetino, Lampard, Maresca na Rosernior asingekuepo pale. Average players kama Enzo na Cucurella ni upuuzi kukuharibia dressing room halafu kocha upo tu unaangalia.

Alichoprove Arteta tofauti na waliopita chelsea ni kuitengeneza project na kucontrol dressing room.
Enzo Fernandez na Cucurella sio average players wale ni winner Enzo ana kombe la Dunia na kwenye hiyo michuano yeye alikuwa ndio best young player na ukija kwenye huu msimu japo kwetu ni mbovu lakini hauna kiungo mwenye namba ambaye amemfikia Enzo Fernandez na ukija kwa Cucurella ana kombe la mataifa ya Ulaya na yeye ndio aliyekuwa best left defender kwenye hiyo michuano na ni mmoja wa key figure kwenye team yetu.Hiyo migogoro iliyokitokeza ni kwasababu wanataka ni kwa nia nzuri ya kulazimisha Mambo ili team iwin Mataji na kwa kiasi chake imesaidia club kubadilisha baadhi ya Mambo ili kwenda sawa na mahitaji ya mashabiki na key figures players wa team
 
Enzo Fernandez na Cucurella sio average players wale ni winner Enzo ana kombe la Dunia na kwenye hiyo michuano yeye alikuwa ndio best young player na ukija kwenye huu msimu japo kwetu ni mbovu lakini hauna kiungo mwenye namba ambaye amemfikia Enzo Fernandez na ukija kwa Cucurella ana kombe la mataifa ya Ulaya na yeye ndio aliyekuwa best left defender kwenye hiyo michuano na ni mmoja wa key figure kwenye team yetu.Hiyo migogoro iliyokitokeza ni kwasababu wanataka ni kwa nia nzuri ya kulazimisha Mambo ili team iwin Mataji na kwa kiasi chake imesaidia club kubadilisha baadhi ya Mambo ili kwenda sawa na mahitaji ya mashabiki na key figures players wa team
Mikel Obi alikua best player kwenye tournament ambayo Messi alikuepo pia

Tournaments za mechi hazizidi 15 mpaka unachukua ubingwa siyo kipimo cha kukiwasilisha ili kiwe hoja kuu. Mfuatilie James Rodriguez career yake ili unielewe zaidi hapa.

Online haswa X na kidogo humu kuna ids za mashabiki wa Chelsea walimfananisha Enzo na Rice. Wote tunajua kwanini huu ufananishaji umekwama kwa sasa.

Enzo na Cucurella ni wabovu? No.
Ni world class? No.
Elite? Yes
 
Mikel Obi alikua best player kwenye tournament ambayo Messi alikuepo pia

Tournaments za mechi hazizidi 15 mpaka unachukua ubingwa siyo kipimo cha kukiwasilisha ili kiwe hoja kuu. Mfuatilie James Rodriguez career yake ili unielewe zaidi hapa.

Online haswa X na kidogo humu kuna ids za mashabiki wa Chelsea walimfananisha Enzo na Rice. Wote tunajua kwanini huu ufananishaji umekwama kwa sasa.

Enzo na Cucurella ni wabovu? No.
Ni world class? No.
Elite? Yes
Nitajie midfield gani wako anamfikia kwa namba Enzo Fernandez?
 
Namab za makombe
Namba za magoli
Ni wapi huko ubora wa DM, CM au AM unaamuliwa na magoli? Kwanini CF au ST asidaiwe magoli aje kudaiwa CM, DM au AM?

Huu ni uelewa wa wapi wa mpira?
 
Kombe la dunia ambalo mnataja kama vile Enzo alikua ana performance ya moto kabisa maishani mwake haikua na hizo namba mnazotaka kutuaminisha hapa.

Tournament nzima Enzo alikua ana assist moja, goli moja na big chance moja.

Accurate long balls katika 10 bora kwa Midfielders wa kwanza alikua ni Pierre wa 10 alikua Xhaka. Enzo unamkuta mtu wa 30.

Midfielders waliodribble kwenye ile tournament wa kwanza Kanno, Partey wa 7. Enzo wa 26.

Enzo anakuja kua mzuri kwenye tackles. Akiwa anashika nafasi ya tatu.

Argentina inafungwa na Saudi Arabia Enzo yupo benchi.

Argentina inaifunga Mexico Enzo anaingia kutokea bench dakika ya 57, anascore goli lake pekee la tournament. Next match ndiyo anatoa assist yake pekee ya tournament.

Kisha dhidi ya Australia ana perform hovyo.

But he is not getting dropped mpaka final.

Hakuna hizo namba mnazotaka kutishia watu.
 
Kombe la dunia ambalo mnataja kama vile Enzo alikua ana performance ya moto kabisa maishani mwake haikua na hizo namba mnazotaka kutuaminisha hapa.

Tournament nzima Enzo alikua ana assist moja, goli moja na big chance moja.

Accurate long balls katika 10 bora kwa Midfielders wa kwanza alikua ni Pierre wa 10 alikua Xhaka. Enzo unamkuta mtu wa 30.

Midfielders waliodribble kwenye ile tournament wa kwanza Kanno, Partey wa 7. Enzo wa 26.

Enzo anakuja kua mzuri kwenye tackles. Akiwa anashika nafasi ya tatu.

Argentina inafungwa na Saudi Arabia Enzo yupo benchi.

Argentina inaifunga Mexico Enzo anaingia kutokea bench dakika ya 57, anascore goli lake pekee la tournament. Next match ndiyo anatoa assist yake pekee ya tournament.

Kisha dhidi ya Australia ana perform hovyo.

But he is not getting dropped mpaka final.

Hakuna hizo namba mnazotaka kutishia watu.
Kwahiyo wewe ndio unajua sana mpira kuliko wale waliompa young player of the tournament na suala la namba nimekuuliza kwenye viungo wako wa Arsenal yupi kamzidi kwa namba Enzo Fernandez msimu huu? Ili nithibitishe huo ukawaida alionao Enzo unaosemea
 
Ni wapi huko ubora wa DM, CM au AM unaamuliwa na magoli? Kwanini CF au ST asidaiwe magoli aje kudaiwa CM, DM au AM?

Huu ni uelewa wa wapi wa mpira?
Wako Attacking Midfielders (AM) na majukumu yao yako wazi. Attacking midfielder anatakiwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mashambulizi — ikijumuisha build‑up, kutengeneza nafasi, kutoa assists, na kufunga magoli. Kwa kiwango kidogo, wanatakiwa pia kusaidia kwenye kukaba.

Kwa upande mwingine, Central Midfielders (CM) wao ni balanced.

Majukumu yao ni pamoja na:
  • Kusaidia kushambulia: kujenga mashambulizi, kutoa assists, na kufunga inapohitajika
  • Kuchezesha wachezaji wenzao, kudhibiti mchezo na kukaba na kusaidia kukaba kimkakati
 
Kwahiyo wewe ndio unajua sana mpira kuliko wale waliompa young player of the tournament na suala la namba nimekuuliza kwenye viungo wako wa Arsenal yupi kamzidi kwa namba Enzo Fernandez msimu huu? Ili nithibitishe huo ukawaida alionao Enzo unaosemea
Nimekuuliza namba za nini haujajibu. Among his peers labda alikua beast but overall other Midfielders alikua na namba za kawaida.

Sasa sema namba gani
 
Wako Attacking Midfielders (AM) na majukumu yao yako wazi. Attacking midfielder anatakiwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mashambulizi — ikijumuisha build‑up, kutengeneza nafasi, kutoa assists, na kufunga magoli. Kwa kiwango kidogo, wanatakiwa pia kusaidia kwenye kukaba.

Kwa upande mwingine, Central Midfielders (CM) wao ni balanced.

Majukumu yao ni pamoja na:
  • Kusaidia kushambulia: kujenga mashambulizi, kutoa assists, na kufunga inapohitajika
  • Kuchezesha wachezaji wenzao, kudhibiti mchezo na kukaba na kusaidia kukaba kimkakati
Sasa huoni wewe kuja kusema CM, DM au AM tumdai magoli ni hoja isiyowezekana?
 
Nimekuuliza namba za nini haujajibu. Among his peers labda alikua beast but overall other Midfielders alikua na namba za kawaida.

Sasa sema namba gani
Contribution ya magoal na assist kwa pamoja
 
Contribution ya magoal na assist kwa pamoja
Ujue nacheka kwa sababu imebidi useme magoli na assists ili namba zake ziwe nyingi 😂😂😂

Sasa Arsenal hatuna AM kwahiyo huyu jamaa kwa nafasi yake anayocheza hatuna wa kumfananishia. Ila kwakua mashabiki wa Chelsea hua hamjui kwamba mchezaji anapocheza inamatter ili kumfananishia nakuwekea screenshots.

Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye assists nyingi.

Screenshot_20260518-160259.png


Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye magoli mengi.

Screenshot_20260518-160343.png


Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye magoli na assists nyingi.

Screenshot_20260518-160406.png


Unataka namba gani zingine?
 
Attacking Midfielder aliyenunuliwa kwa 100M ana magoli 9 na assists 3 katika mechi 36.

Msimu uliopita alifunga magoli 6 na assists 7. Huo msimu uliopita Odegaard alikua na assists 8 na Rice alikua nazo 7. Merino alikua na magoli 7.

Hizi siyo healthy stats za kukaa na kutishia watu. I will never understand.
 
Attacking Midfielder aliyenunuliwa kwa 100M ana magoli 9 na assists 3 katika mechi 36.

Msimu uliopita alifunga magoli 6 na assists 7. Huo msimu uliopita Odegaard alikua na assists 8 na Rice alikua nazo 7. Merino alikua na magoli 7.

Hizi siyo healthy stats za kukaa na kutishia watu. I will never understand.
Enzo ni midfield ambaye anashuka chini ni Kama vile unavyomuona Lampard
 
Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom