Mkuu tusijipe moyo hii chelsea ya sasa sio ya kipindi kile, Tutarudi kwenye ubora wetu siku wamiliki wakiamua kiwa serious na kuanza kuachana na wale wakina SDs
Kwa sasa tukubali sisi ni wabovu na hi. Summer mwaka huu ndio sehem ya kuonesha kama wamiliki wako serious au lah then. Halii ikiendelra hivi hivi sitoshangaa Palmer Caicedo wakianza kuongea kauli zakina Enzo na Cucu.
Tukumbuke furaha ya mchezaji ni kuwin trophies huku akipata pesa ila huwez poteza miaka 6 ukiwa hujui team yako iko na project gan kama kila msim ni wa rebuilding.
Unamtumua Maresca unaenda leta kocha ambae aliishindwa hata Hull city,
Acha tuisome namba