Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimesoma psychology ila wewe ni complicated case.

Unaweza kuonyesha sign zote za grief.

Utaanza stage 1 na kuendelea.

Ila ukifika stage 4 unarudi stage 1 tena.

Hope will kill you

Jiangalie
Psychology ya utopolo hiyo au umesomea saikolojia ya wadudu
 
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽
Hazard alipoondoka Chelsea → tukabeba UCL 🏆💙
Arsenal na Man United wakiondoka mchezaji mzuri → timu inadidimia 📉😭
Mkuu tusijipe moyo hii chelsea ya sasa sio ya kipindi kile, Tutarudi kwenye ubora wetu siku wamiliki wakiamua kiwa serious na kuanza kuachana na wale wakina SDs

Kwa sasa tukubali sisi ni wabovu na hi. Summer mwaka huu ndio sehem ya kuonesha kama wamiliki wako serious au lah then. Halii ikiendelra hivi hivi sitoshangaa Palmer Caicedo wakianza kuongea kauli zakina Enzo na Cucu.

Tukumbuke furaha ya mchezaji ni kuwin trophies huku akipata pesa ila huwez poteza miaka 6 ukiwa hujui team yako iko na project gan kama kila msim ni wa rebuilding.

Unamtumua Maresca unaenda leta kocha ambae aliishindwa hata Hull city,

Acha tuisome namba
 
Jamin ndugu watizamaji huyu anaesema hii kauli sio shabiki wa madrid au baca, Ni shabiki wa Arsenal 🙆‍♂️
Sielewi ni wapi huelewi. Hauna uelewa wa kuona kwamba ninachomaanisha ni hamalizi stages?

Mashabiki wa Arsenal tulimaliza stages na tukajua tulipo. Shida ipo kwa mtu kama wewe na Lembu
 
Mkuu tusijipe moyo hii chelsea ya sasa sio ya kipindi kile, Tutarudi kwenye ubora wetu siku wamiliki wakiamua kiwa serious na kuanza kuachana na wale wakina SDs

Kwa sasa tukubali sisi ni wabovu na hi. Summer mwaka huu ndio sehem ya kuonesha kama wamiliki wako serious au lah then. Halii ikiendelra hivi hivi sitoshangaa Palmer Caicedo wakianza kuongea kauli zakina Enzo na Cucu.

Tukumbuke furaha ya mchezaji ni kuwin trophies huku akipata pesa ila huwez poteza miaka 6 ukiwa hujui team yako iko na project gan kama kila msim ni wa rebuilding.

Unamtumua Maresca unaenda leta kocha ambae aliishindwa hata Hull city,

Acha tuisome namba
Hii ya Enzo na Cucurella kujilipua halafu wakaendelea na upuuzi wao tena basi inabidi wakapimwe mkojo, wanaumwa. Kujilipua kwa Enzo na Cucurella inaoyhesha wazi kuwa Dressing room haiko shwari. Kumbuka Gusto naye aliongea. Sidhani kama senior players wote wanaridhika hata akina James na Caicedo hawasemi ya moyoni. Tunategemea mabadiliko makubwa dirisha hili la kiangazi
 
Hii ya Enzo na Cucurella kujilipua halafu wakaendelea na upuuzi wao tena basi inabidi wakapimwe mkojo, wanaumwa. Kujilipua kwa Enzo na Cucurella inaoyhesha wazi kuwa Dressing room haiko shwari. Kumbuka Gusto naye aliongea. Sidhani kama senior players wote wanaridhika hata akina James na Caicedo hawasemi ya moyoni. Tunategemea mabadiliko makubwa dirisha hili la kiangazi
Tukumbuke Enzo na Cucu ndio wachezaj wakwanza kuingia kwenye hii Project nimiaka 4 sasa Project walioambiwa wanaona kabida haipo na Furaha ya mchezaj ni kushinda Makombe na umri wao unasogea. Dirisha la usajil June litatoa picha kamil dhid ya hii team
 
Tukumbuke Enzo na Cucu ndio wachezaj wakwanza kuingia kwenye hii Project nimiaka 4 sasa Project walioambiwa wanaona kabida haipo na Furaha ya mchezaj ni kushinda Makombe na umri wao unasogea. Dirisha la usajil June litatoa picha kamil dhid ya hii team
Dirisha june halafu bado kocha ni huyu huyu Rosemary!! Amini nakwambia kwa hawa hawa wachezaji umpe kocha mwenye utimamu anachukua mpk World cup.
 
Enzo Fernanez amepigwa ban mechi mbili. Rosenior amethibitisha leo
1775225777450.png
 
Vipi na yule mchezaji wako nae nimalupulupu pia?? Hivi ni Hato au Gittens?
Hato, Estevao, hata Josh ni wachezaji wazuri, umei tu ndio unawafanya wawe na errors
Hato ameshaanza kuonyesha kuwa atakuja kuwa mzuri msimu ujao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom