Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mechi ya kesho dhidi ya Man City ni muhimu sana kwa sababu tunatakiwa tushinde au tufungwe. Droo sio nzuri kwa mahsabiki wa Chelsea
Kwa hiyo mnamfunga City? Na kina delap na Garnacho? Mnachekesha sana ..... tutakuwepo
 
Kwa hiyo mnamfunga City? Na kina delap na Garnacho? Mnachekesha sana ..... tutakuwepo
Hakuna anaetaka kushinda, ni kuwa hujamuelewa umedandia tu bila kuelewa, ni hivi ombi la kwanza tufungwe ni furaha kwetu, ila ikitokea wakashindwa kutufunga wasidroo aisee ni maumivu makali sana, bora kushinda haitauma sana. Kwa lugha rahisi ni either tufungwe au tushinde ila sio droo.

Na huyu Rosemary alivyo kilaza utashangaa anawakazia City, ikitokea akashinda afukuzwe mara moja.
 
Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemaje
Yani nyie magoigoi mumfunge city?
20260412_131947.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom