Tukishinda nitaumia sana.Mimi binafsi nataka tushinde cha umuhimu tuingie big 4 ila tukifungwa pia haina shida mechi ya kesho naangalia nikiwa Sina pressure kabisa kwa Raha zangu
top 4 sio big 4Mimi binafsi nataka tushinde cha umuhimu tuingie big 4 ila tukifungwa pia haina shida mechi ya kesho naangalia nikiwa Sina pressure kabisa kwa Raha zangu
Kwa hiyo mnamfunga City? Na kina delap na Garnacho? Mnachekesha sana ..... tutakuwepoHii mechi ya kesho dhidi ya Man City ni muhimu sana kwa sababu tunatakiwa tushinde au tufungwe. Droo sio nzuri kwa mahsabiki wa Chelsea
Hakuna anaetaka kushinda, ni kuwa hujamuelewa umedandia tu bila kuelewa, ni hivi ombi la kwanza tufungwe ni furaha kwetu, ila ikitokea wakashindwa kutufunga wasidroo aisee ni maumivu makali sana, bora kushinda haitauma sana. Kwa lugha rahisi ni either tufungwe au tushinde ila sio droo.Kwa hiyo mnamfunga City? Na kina delap na Garnacho? Mnachekesha sana ..... tutakuwepo
Tuko pamoja mkuuKwa matokeo haya mazuri ya Arsenyembo, naiombea chelkenge tupigwe Kesho 😂
Tumefurahi 😂Watu wamemaliza pakti nzima huko ..... ngoma bado inadai imedinda
Unazuga kufurahia kufungwa na Man City utafikiri ulikuwa una uwezo wa kumfunga...Asante city 😂
Utajua ww, mm nimefurahiUnazuga kufurahia kufungwa na Man City utafikiri ulikuwa una uwezo wa kumfunga...
Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemajeNiliwaambia narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana kenge nyie
Anataka kulazimisha kuwa umechukia😂Utajua ww, mm nimefurahi
Yani nyie magoigoi mumfunge city?Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemaje
Anataka kunipangia furaha yangu 😂Anataka kulazimisha kuwa umechukia😂