Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

David Ornstein: Deal iko sealed — Xabi Alonso to Chelsea. Mspaniola huyo alikuja London last week, akapewa project, akasema yes bila kusita. Four‑year contract tayari sorted. Official announcement loading… 🔵🔥

View attachment 3589658
Xabi Alonso to Chelsea — mwanzo wa enzi mpya. Kutoka tactical genius hadi kuwa London’s next big project. Rebuild inaanza, na Stamford Bridge iko tayari kwa falsafa mpya kabisa. 🔵🔥

1778953947212.png
 
Xabi Alonso to Chelsea — mwanzo wa enzi mpya. Kutoka tactical genius hadi kuwa London’s next big project. Rebuild inaanza, na Stamford Bridge iko tayari kwa falsafa mpya kabisa. 🔵🔥

View attachment 3589669
Yaa… enzi mpya inanguruma kweli. Unaweza kuhisi upepo wa mabadiliko ukipiga kutoka mbali, kama radi inayotangaza msimu mpya. Mashabiki tumekuwa tukisubiri kitu kipya kwa muda mrefu, na sasa moto huu unaowaka Stamford Bridge hauzuiliki. Huu sio mwanzo tu — ni ujumbe kwamba zama mpya zimewasili, na hakuna wa kuizuia.

1778954229520.png
 
David Ornstein: Deal iko sealed — Xabi Alonso to Chelsea. Mspaniola huyo alikuja London last week, akapewa project, akasema yes bila kusita. Four‑year contract tayari sorted. Official announcement loading… 🔵🔥

View attachment 3589658
Ila hii bodi ya Chelsea wajifunze kwenye swala la umri wa mkataba. Mwakani baada ya vipigo vya Brentford na Brighton atafukuzwa kisha itabidi alipwe miaka mitatu aliyobakisha
 
Ila hii bodi ya Chelsea wajifunze kwenye swala la umri wa mkataba. Mwakani baada ya vipigo vya Brentford na Brighton atafukuzwa kisha itabidi alipwe miaka mitatu aliyobakisha
Hakuna kocha aliyelipwa miaka mingi hivyo. Kocha anapewa mkataba wa miaka minne lakini break clause inakuwepo isiyoumiza. Sio kila kitu hawa wamarekani ni wajinga
 
Hakuna kocha aliyelipwa miaka mingi hivyo. Kocha anapewa mkataba wa miaka minne lakini break clause inakuwepo isiyoumiza. Sio kila kitu hawa wamarekani ni wajinga
Labda wamejifunza siku hizi. Unaona ugumu wa kumvunjia mkataba Mudryk? Ni swala la umri wa mkataba kushindwa kulisimamia
 
Labda wamejifunza siku hizi. Unaona ugumu wa kumvunjia mkataba Mudryk? Ni swala la umri wa mkataba kushindwa kulisimamia
Mwaka jana walirekebisha mkataba wa Mudryk hatujui nini kilirekebishwa lakini naamini ni kipengele cha kuvunga mkataba
 
Hatimae wamejifunza na tumepata kocha mzuri sasa,Report zinasema Alonso atakuwa Manager badala ha Head Coach kama waliopita,Hii inamaana anakuwa na power katika kikosi na baadhi ya vitu.

Ngoja tuone signing zitakuwaje na Je hawa SD na Owner hawatomgeuka baadae?

Natumai tumejifunza,Naomba msim huu tusifuzu hata Conference ili Alonso apate mda zaidi,Conference ni kakombe kaajabu na sikahadhi yetu
 
Hatimae wamejifunza na tumepata kocha mzuri sasa,Report zinasema Alonso atakuwa Manager badala ha Head Coach kama waliopita,Hii inamaana anakuwa na power katika kikosi na baadhi ya vitu.

Ngoja tuone signing zitakuwaje na Je hawa SD na Owner hawatomgeuka baadae?

Natumai tumejifunza,Naomba msim huu tusifuzu hata Conference ili Alonso apate mda zaidi,Conference ni kakombe kaajabu na sikahadhi yetu
Kwa Maresca tuliambiwa hivi hivi
1778961834145.png
 
Yaa… enzi mpya inanguruma kweli. Unaweza kuhisi upepo wa mabadiliko ukipiga kutoka mbali, kama radi inayotangaza msimu mpya. Mashabiki tumekuwa tukisubiri kitu kipya kwa muda mrefu, na sasa moto huu unaowaka Stamford Bridge hauzuiliki. Huu sio mwanzo tu — ni ujumbe kwamba zama mpya zimewasili, na hakuna wa kuizuia.

View attachment 3589671
Kesho Jumapili ndio siku ya kumtangza Xabi Alonso kama Manager mpya wa Chelsea
-@Matt_Law_DT
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
Mbona sasa wewe ndie unamsemea.
Labda yeye atajua njia nzuri ya kumtumia Garnacho, Lavia, Badiashile, Delap, Jamie Gitten, Mamadou Sar na Acheampong. KUle Leverkusen aliwatumia sana watoto kushinda ligi.
 
Xabi Alonso apewe Mamlaka kamili ya kusajili wachezaji anaowataka na kutengeneza timu ya ushindani.

Pia itapendeza akiwaondoa wachezaji:- Garnacho, Delap, Tosin, Gusto, Lavia, Badiashile, Chalobah, James, Fofana, Mudyk na zile Mbarara ndogo ndogo ziende kwa mkopo zikakue.

Alonso apunguze ukubwa wa kikosi tuache kusajili ovyo ovyo kujaza kikosi.
James? Sawa 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom