Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo mnaliwa..... pep hatowaacha !
Nasikia mnamtaoa Xabi.... pambaneni, mump3 clear and authority project.... then muingie sokoni, matakataka yote yakina delap, achaempong, sarr, garnacho, gittens, lavia, tosin n.k

Big Egos kama kina Enzo na Cucurella wanaona wao ndio image yenu, muwaondoe pia ! Dressing room ikae poa ndani ya two years mtaanza kuvuna makombe
 
Ila afadhali msiende kokote ili mfocus na ligi kenge nyie
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chelkenge yana mak£nde halafu kumbe Mas£ng……
1777004914986.jpg
 
David Ornstein: Deal iko sealed — Xabi Alonso to Chelsea. Mspaniola huyo alikuja London last week, akapewa project, akasema yes bila kusita. Four‑year contract tayari sorted. Official announcement loading… 🔵🔥

1778951824471.png
 
David Ornstein: Deal iko sealed — Xabi Alonso to Chelsea. Mspaniola huyo alikuja London last week, akapewa project, akasema yes bila kusita. Four‑year contract tayari sorted. Official announcement loading… 🔵🔥

View attachment 3589658
Xabi Alonso to Chelsea — mwanzo wa enzi mpya. Kutoka tactical genius hadi kuwa London’s next big project. Rebuild inaanza, na Stamford Bridge iko tayari kwa falsafa mpya kabisa. 🔵🔥

1778953947212.png
 
Xabi Alonso to Chelsea — mwanzo wa enzi mpya. Kutoka tactical genius hadi kuwa London’s next big project. Rebuild inaanza, na Stamford Bridge iko tayari kwa falsafa mpya kabisa. 🔵🔥

View attachment 3589669
Yaa… enzi mpya inanguruma kweli. Unaweza kuhisi upepo wa mabadiliko ukipiga kutoka mbali, kama radi inayotangaza msimu mpya. Mashabiki tumekuwa tukisubiri kitu kipya kwa muda mrefu, na sasa moto huu unaowaka Stamford Bridge hauzuiliki. Huu sio mwanzo tu — ni ujumbe kwamba zama mpya zimewasili, na hakuna wa kuizuia.

1778954229520.png
 
David Ornstein: Deal iko sealed — Xabi Alonso to Chelsea. Mspaniola huyo alikuja London last week, akapewa project, akasema yes bila kusita. Four‑year contract tayari sorted. Official announcement loading… 🔵🔥

View attachment 3589658
Ila hii bodi ya Chelsea wajifunze kwenye swala la umri wa mkataba. Mwakani baada ya vipigo vya Brentford na Brighton atafukuzwa kisha itabidi alipwe miaka mitatu aliyobakisha
 
Ila hii bodi ya Chelsea wajifunze kwenye swala la umri wa mkataba. Mwakani baada ya vipigo vya Brentford na Brighton atafukuzwa kisha itabidi alipwe miaka mitatu aliyobakisha
Hakuna kocha aliyelipwa miaka mingi hivyo. Kocha anapewa mkataba wa miaka minne lakini break clause inakuwepo isiyoumiza. Sio kila kitu hawa wamarekani ni wajinga
 
Hakuna kocha aliyelipwa miaka mingi hivyo. Kocha anapewa mkataba wa miaka minne lakini break clause inakuwepo isiyoumiza. Sio kila kitu hawa wamarekani ni wajinga
Labda wamejifunza siku hizi. Unaona ugumu wa kumvunjia mkataba Mudryk? Ni swala la umri wa mkataba kushindwa kulisimamia
 
Labda wamejifunza siku hizi. Unaona ugumu wa kumvunjia mkataba Mudryk? Ni swala la umri wa mkataba kushindwa kulisimamia
Mwaka jana walirekebisha mkataba wa Mudryk hatujui nini kilirekebishwa lakini naamini ni kipengele cha kuvunga mkataba
 
Hatimae wamejifunza na tumepata kocha mzuri sasa,Report zinasema Alonso atakuwa Manager badala ha Head Coach kama waliopita,Hii inamaana anakuwa na power katika kikosi na baadhi ya vitu.

Ngoja tuone signing zitakuwaje na Je hawa SD na Owner hawatomgeuka baadae?

Natumai tumejifunza,Naomba msim huu tusifuzu hata Conference ili Alonso apate mda zaidi,Conference ni kakombe kaajabu na sikahadhi yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom