Siku mtakayokuja kugundua hyu ndo mchawi wenu mnatakiwa kumtoa mbio mtakuwa mshachakaa vya kutosha....pale hata mlete nani....shida ni hyu tapeli
Hi ndo maana halisi ya ligi boraMakombe yote yanaweza kuja Uingereza?
- UCL: Arsenal vs. PSG.
- UEL: Aston Villa vs. Freiburg.
- UECL: Crystal Palace vs. Rayo Vallecano.
hii gemu ya leo Chelsea anashindaLeo mapema tuu, naiona nafasi pale chini 😂
Tupo 😂hii gemu ya leo Chelsea anashinda
Team ndogo ndio zinazofurahia kuingia final kama vile zimebeba ubingwa
Team ndogo ndio zinazofurahia kuingia final kama vile zimebeba ubingwa
mkuu nimebadili mawazo kitambaa kinatosha sareTupo 😂
LONDON STADIUMJana mida ya mchana tulikua chelsea, mida ya jioni tukaenda City. Leo tunaenda wapi?
Mimi ni Chelsea, but arsenal hakuna mechi yoyote atakayopoteza tena hadi ubingwa. leo atashinda 2+LONDON STADIUM
Tukiwa upande wa Westham ili wasishuke daraja wale ndugu zetu
Hii ishu Chelsea tushaizoea, Huwez kukuta tunaiimba Kila wakati 😂