Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 460
- 2,320
mkuu nimebadili mawazo kitambaa kinatosha sareTupo 😂
mkuu nimebadili mawazo kitambaa kinatosha sareTupo 😂
LONDON STADIUMJana mida ya mchana tulikua chelsea, mida ya jioni tukaenda City. Leo tunaenda wapi?
Mimi ni Chelsea, but arsenal hakuna mechi yoyote atakayopoteza tena hadi ubingwa. leo atashinda 2+LONDON STADIUM
Tukiwa upande wa Westham ili wasishuke daraja wale ndugu zetu
Hii ishu Chelsea tushaizoea, Huwez kukuta tunaiimba Kila wakati 😂
Hakuna ulichozoea hebu acha uongoHii ishu Chelsea tushaizoea, Huwez kukuta tunaiimba Kila wakati 😂
Leo wanadroo, wakitoa matokeo tofauti niulizwe mimi.Mimi ni Chelsea, but arsenal hakuna mechi yoyote atakayopoteza tena hadi ubingwa. leo atashinda 2+
Nyie mara ya mwisho kuingia fainali yoyote n Lin tofauti na hHakuna ulichozoea hebu acha uongo
Wakishuka ni uzembe wao wenyewe.LONDON STADIUM
Tukiwa upande wa Westham ili wasishuke daraja wale ndugu zetu
Sasa mara ya mwisho si mwezi uliopita au unadhani Carabao ilikuajeNyie mara ya mwisho kuingia fainali yoyote n Lin tofauti na h
Uwezo wakumfunga Man city tunao sema shida yetu inategemea na wachezaji wameamkaje ila kama tukawa serious ushindi ni wetuKumbe leo ndio fainali yetu ya FA. Kwa sasa Hatuna uwezo wa kumfunga City.
Chelsea ni mfa maji, kwenye ligi hatutaweza kupata hata Conference league, kete yetu ya mwisho ni hii FA final. PEP atusamehe, tutaondoka na vichwa vya akina Doku, Cherki, Semenyo na Haaland. Hii ya leo sio mechi ni vita.Kumbe leo ndio fainali yetu ya FA. Kwa sasa Hatuna uwezo wa kumfunga City.