lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Ngapi Jackson katoa nje mipira ya jinsi hiyoIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Ngapi Jackson katoa nje mipira ya jinsi hiyoIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Mfululizo wa makosa ndio sababuIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Kama mafala vile, wanarukaruka tuuAngalia kabisa jinsi Chelsea wanavyokaba — ni vurugu tupu. Ukiwaona makocha wakimuweka Acheampong benchi, hii aina ya ukabaji wa kitoto ndiyo sababu. Gusto ni beki wa hovyo sana; wamgeuze tu awe winga. Halafu Caicedo, Chalobah, Santos… hakuna anayesaidia kukaba.
Ningekuwa hapo uwanjani ningewachapa wote viboko
View attachment 3542306
Jackson yeye n i kawaida kukosa, wala usimtete. Mipira kama ile kila mchezaji hukosea ila sio kwa mazoea kama zile misses za JacksonIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Ila mkosaji mkubwa hapo ni Josh, angeubutua ule mpiar nje alipokuwa na nafasi maafa haya yote yasingetokea. Kosa la hao wengine ni folloup haikuwa nzuri. Chalobah, Caicedo na NetoKama mafala vile, wanarukaruka tuu
James na Colwill walipiga mikopo kwanza, ila yeye anazagaa zagaa tu pale na wakubwa zake. Msimu wa kiangazi huyu anatakiwa kwenda mkopo kwenye timu ambayo atacheza mechi nyingi sana ili ajifunze kuwa kukaba sio nguvu tu bali na kufanya maamuzi sahihi ni sehemu ya kukabaMpira ni mchezo wa makosa lakini huyu dogo anastahili kwenda kwa mkopo timu zisizo na pressure akapunguze makosa ya kitoto
otherwise ili kosa linaweza mgharimu future yake ndani ya club
Acha mihemko mzee, szobo alikuwa anauwezo wakuzuia ule Mpira usiingie golini kabla ya yeye kuvutwa na Haaland, so refa aliamua afute advantage play adili na faulo kwanza ya szobo na redcard juuSheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli
Aliyefanyiwa faulu ndie napewa redcard. tayari hapo mkanganyikoAcha mihemko mzee, szobo alikuwa anauwezo wakuzuia ule Mpira usiingie golini kabla ya yeye kuvutwa na Haaland, so refa aliamua afute advantage play adili na faulo kwanza ya szobo na redcard juu
Hamna mkanganyiko, Szobo ndo alianza kucheza faulo Kwa HaalandAliyefanyiwa faulu ndie napewa redcard. tayari hapo mkanganyiko
Then faulu ya pili haihesabiki na goli ilitakiwa lisimame. Sikatai sheria inasema hivyo na refa kafuata sheria ndio maana mimi nasema sheria za kipuuzi zinatakiwa zifanyiwe marekebisho. Raha ya mpira ni kufunga magoli na sasa kama magoli halali yanakataliwa raha ya mpira itakuwa wapi?Hamna mkanganyiko, Szobo ndo alianza kucheza faulo Kwa Haaland