Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usishangae hao madogo wa reno,wanawatoa, wanakumbukumbu yakuwahi kuwatoa robo fainali kwenye Europa league miaka kama mi3/4 nyuma
Tutawadunda safari hii kama hatujawai....mara ya mwisho kukutana nao tuliwagonga chuma 5 pale nyumbani kwao
 
Du! Wakuu hapa mtaani kwetu mbona pamepooza namna hii wakati leo tunakipiga au tumekata tamaa.

Kuanguka sio mwisho wa safari kwa mtu. Tujipige vifua tupambane tuone hatimae kutakokea nini.

Kweli wamiliki wanatuangusha sana sisi wafia Chelsea lakini hilo lisiondoe ukweli wa kihisia kuwa tunaipenda Chelsea.

"The sun will rise again"
 
EXCL: Uongozi wa Chelsea uko tayari kumpa Enzo Fernández mkataba mnono unaoweza kufikia pauni 400,000 kwa wiki ili kuhakikisha anabaki ndani ya mradi wa klabu. Paris Saint‑Germain na Real Madrid tayari wameonyesha nia ya kumsajili kiungo huyo mahiri wa Chelsea, ambaye pia ni mshindi wa Kombe la Dunia.
-TEAMtalk

View attachment 3560275
Huyu mfukuzeni....anakula mshahara wa bure kabisa pale darajani
 
Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
 
Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
Eti mnafagiliwa njia ya top four.

Jiandae kuandika essays zako na fantasies
 
20260321_212223.jpg

Huyu ni tapeli mama e
 
Mbona ni kama hawa wachezaji wanataka Rosemary aondoke!!. Yaani huoni hurry, juhudi na kujituma kwa mchezaji mmoja mmoja.
No team linkup, kila mmoja anajichezea ilimradi muda uishe
No passion at all.
 
Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
Vp bado timu zinaipenda na kuifagilia njia chelkenge kwenda top 4?

Mm nasemaga na narudia kusema, ww humu ndo unaongoza kwa kuandika mashudu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom