Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Senegal wamenyang'anywa ubingwa wa Africa Cup of nations usiku huu
CAF Appeal Board imeana kuwa Senegal waliacha mechi na hivyo hiyo mechi ilistahili Morroco kupewa goli 3-0 na Ubingwa
Fabrizio Romano
 
Kwa hiki kipigo hawa Wamarekani wakiendelea kushupaza shingo kuna siku utasikia wamevamia n akupigwa mawe, yai iviza, bastola na kila aina ya onyesho la hasira
Uingereza sio Tanzania mkuu😅
 
🤣🤣🤣 Picha ya lembu baada ya dakika 90 vs Psg.
Kweli nimeamini Chelkenge ni kilabu bingwa cha pombe za kienyeji duniani.
 

Attachments

  • images-7.jpg
    images-7.jpg
    9.4 KB · Views: 4
Vyanzo vya uhakika vinadai kuwa Enzo Fernandez anaweza kuhamia Spain kama ofa nzuri ikija msimu ujao wa kiangazi.
Jana akihojiwa na ESPN Enzo aliulizwa kuhusu kuihama Chelsea akajibu hivi:
"Bado mechi 8 zimebakia na FA Cup halafu World Cup baada ya hapo tutaona nini kitatokea"
Wewe unasemaje kuhusu Enzo kuuzwa? kumbuka ana mkataba hadi 2032
 
Miracles happen — and when they do, mambo yanakuwa hivi.

Chelsea vs PSG – Second Leg at Stamford Bridge

00' – Kick‑off
20' – João Pedro scores → Chelsea 1–0 PSG
23' – Rúben Neves sent off (red card)
24' – Cole Palmer converts a penalty → Chelsea 2–0 PSG
44+2' – João Pedro strikes again in added time of first half→ Chelsea 3–0 PSG

45' – Half‑time

50' – Dembélé pulls one back → Chelsea 3–1 PSG
55' – Enzo restores the three lead → Chelsea 4–1 PSG
56' – Cucurella booked (yellow card)
74' – Andrey Santos finishes it → Chelsea 5–1 PSG
87' – Kvaratskhelia hits the post
90+7' – Full‑time → Chelsea 5–1 PSG

Aggregate: Chelsea 7–6 PSG

Chelsea march into the quarter‑finals against Liverpool.
Mpira ungekuwa unachezwa hivi, Tanzania ingekuwa na world cup
 
Tuangalie kwanza kiwango cha Chelsea. Enzo Fernández mwenyewe hana uhakika na mustakabali wake ndani ya klabu. Ukiangalia kwa picha kubwa:
  • Mradi mzima unaporomoka.
  • Wachezaji hawajui hatma yao.
  • Motisha imepotea.
  • Wamefungiwa kwenye mikataba mirefu kama vifungo vya utumwani au gerezani.
Mashabiki, tusitarajie mafanikio yoyote makubwa bila mageuzi ya msingi kwenye sera na muundo wa klabu.
 
chelsea mshawishini hansi flick aje darajani hapo ,ni kocha mzuri wa vikombe pia.

liam mahaba yanamponza ya wachezaji..
 
Miracles happen — and when they do, mambo yanakuwa hivi.

Chelsea vs PSG – Second Leg at Stamford Bridge

00' – Kick‑off
20' – João Pedro scores → Chelsea 1–0 PSG
23' – Rúben Neves sent off (red card)
24' – Cole Palmer converts a penalty → Chelsea 2–0 PSG
44+2' – João Pedro strikes again in added time of first half→ Chelsea 3–0 PSG

45' – Half‑time

50' – Dembélé pulls one back → Chelsea 3–1 PSG
55' – Enzo restores the three lead → Chelsea 4–1 PSG
56' – Cucurella booked (yellow card)
74' – Andrey Santos finishes it → Chelsea 5–1 PSG
87' – Kvaratskhelia hits the post
90+7' – Full‑time → Chelsea 5–1 PSG

Aggregate: Chelsea 7–6 PSG

Chelsea march into the quarter‑finals against Liverpool.
Kulaalekiiiii

Flano na Labyrinth 84 hamieni huku kwa kina kenge.

Mnatuonaga mashabiki wa Arsenal ni delusional, njooni muone delulu max ultra!!!
 
Mpigwe tu ..... huyu Liam amna kocha humo, bora kichwa ngumu maresca walau alikuwa anaotea otea vijiushindi vya kuwapooza !!! SDs wabovu, board ndo imeoza, kocha amna kitu .... wachezaji kabisa ndo mazaga zaga ! Unategemea beki ya kina hato, sarr, ikupe UEFA ? Mnaota ?
 
Huku chelkenge huwa mnaandika ukweli wenu.

Namna mnavyokiona kikund chenu cha wahuni.
 
Taarifa Rasmi ya Sadio Mané:
“Kilichotokea kimepitiliza mipaka. Huu sio mpira tunaoupigania, wala sio Afrika tunayoiamini.

Kuna kiwango kikubwa sana cha ufisadi kwenye mchezo wetu, na kinaua hamasa ya mamilioni ya mashabiki barani kote. Wachezaji wanatoa kila kitu uwanjani, lakini maamuzi yanayofanyika nje ya uwanja ndiyo yanaamua mechi na makombe.

Nimevunjika moyo sana — si kwa Senegal pekee, bali kwa soka la Afrika kwa ujumla. Tunastahili zaidi ya hiki. Mashabiki wanastahili haki, uwazi, na heshima.”

1773818772576.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom