Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

lembu uwe unaacha ubishi. Chelsea ya sasa imexpire sio kama ya zamani. Kwa shabiki aliyeishabikia Chelsea kwa muda mrefu utaona Kabisa THE BLUES imekuwa middle table team. Sio timu kubwa tena ya kuogopesha kwenye mashindano.
Hakuna mtu aliyesema hii Chelsea ni sawa na ile ya zamani. Hii ya sasa inahitaji tu uwe na imani kali ndio ubaki kuishabikia. Ni Imani tu ndg ndio inatuweka hai.
Mwenye haki wangu ataishi kwa imani
Kwa imani tuliweza kubeba Conference league na kwa imani hiyo hiyo tuliweza kuwafunga PSG 3-0 tukabeba FIFA CWC. Kwa imani hiyo hiyo tuliwabananga Barca 3-0 kwenye haya haya mashindani.
Ni basi tu Baada ya Musa kuachia usukani wa kuongoza jahazi akaja Sauli mtu wa maneno mengi na tamaa.
 
Chelsea ni bora tu itolewe ili tufocus top 4, tukiikosa hiyo ni aibu juu ya aibu kwa sababu hata tungeshinda hii tusingeenda mbali, it would be a waste of time

1773781102655.png
 
Manager angefocus game na Everton. Palmer, Caicedo, Joa Pedro, na Enzo Fernandez wangepumzishwa tu.
Dk 30 huweiz funga goli 5 hata kama Chelsea ingekuwa na
Pele
Messi
Cristiano Ronaldo
Modric
Kwenye prime yao
Baada ya hii comment naona Rosenior kafuata ushauri wangu
 
Miracles happen — and when they do, mambo yanakuwa hivi.

Chelsea vs PSG – Second Leg at Stamford Bridge

00' – Kick‑off
20' – João Pedro scores → Chelsea 1–0 PSG
23' – Rúben Neves sent off (red card)
24' – Cole Palmer converts a penalty → Chelsea 2–0 PSG
44+2' – João Pedro strikes again in added time of first half→ Chelsea 3–0 PSG

45' – Half‑time

50' – Dembélé pulls one back → Chelsea 3–1 PSG
55' – Enzo restores the three lead → Chelsea 4–1 PSG
56' – Cucurella booked (yellow card)
74' – Andrey Santos finishes it → Chelsea 5–1 PSG
87' – Kvaratskhelia hits the post
90+7' – Full‑time → Chelsea 5–1 PSG

Aggregate: Chelsea 7–6 PSG

Chelsea march into the quarter‑finals against Liverpool.
Hizi fantasies ndiyo zinawashushia watu essay humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom