Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Nashukuru sijatoka kujihangaisha kwenda kuangalia huu utopolo
Tumetoka kuangalia mechi nyingine Liverkusen vs Arsenal, Madrid vs City. Mechi ya Chelsea ni marupurupuNashukuru sijatoka kujihangaisha kwenda kuangalia huu utopolo
No Reforms No Buying TicketsHii team ifanyiwe reform
Hakuna mtu aliyesema hii Chelsea ni sawa na ile ya zamani. Hii ya sasa inahitaji tu uwe na imani kali ndio ubaki kuishabikia. Ni Imani tu ndg ndio inatuweka hai.lembu uwe unaacha ubishi. Chelsea ya sasa imexpire sio kama ya zamani. Kwa shabiki aliyeishabikia Chelsea kwa muda mrefu utaona Kabisa THE BLUES imekuwa middle table team. Sio timu kubwa tena ya kuogopesha kwenye mashindano.
Hutuwezi kumaliza top 4 EPL.Chelsea ni bora tu itolewe ili tufocus top 4, tukiikosa hiyo ni aibu juu ya aibu kwa sababu hata tungeshinda hii tusingeenda mbali, it would be a waste of time
Sijasema tumalize top 4, tufocus top 4 kusiwe na visingizioHutuwezi kumaliza top 4 EPL.
Baada ya hii comment naona Rosenior kafuata ushauri wanguManager angefocus game na Everton. Palmer, Caicedo, Joa Pedro, na Enzo Fernandez wangepumzishwa tu.
Dk 30 huweiz funga goli 5 hata kama Chelsea ingekuwa na
Pele
Messi
Cristiano Ronaldo
Modric
Kwenye prime yao
Hizi fantasies ndiyo zinawashushia watu essay humuMiracles happen — and when they do, mambo yanakuwa hivi.
Chelsea vs PSG – Second Leg at Stamford Bridge
00' – Kick‑off
20' – João Pedro scores → Chelsea 1–0 PSG
23' – Rúben Neves sent off (red card)
24' – Cole Palmer converts a penalty → Chelsea 2–0 PSG
44+2' – João Pedro strikes again in added time of first half→ Chelsea 3–0 PSG
45' – Half‑time
50' – Dembélé pulls one back → Chelsea 3–1 PSG
55' – Enzo restores the three lead → Chelsea 4–1 PSG
56' – Cucurella booked (yellow card)
74' – Andrey Santos finishes it → Chelsea 5–1 PSG
87' – Kvaratskhelia hits the post
90+7' – Full‑time → Chelsea 5–1 PSG
Aggregate: Chelsea 7–6 PSG
Chelsea march into the quarter‑finals against Liverpool.