arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Ubingwa wenu nyny na malengo yenu ni kutoka draw na Arsenal...hapo mnakuwa mnaridhika kabisa🤠🤠Aisee tuna wamiliki much knows sana
Wanasajili wachezaji kinda na wa free agent kama Tosin na kuajiri makocha wadogo wasio na uzoefu huku wakidai wanajenga project. Huu mwaka wa nne sasa hakuna hata dalili ya kushindania EPL.