Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Bado tu kocha wa mchongo muingereza hajafukuzwa darajani?
Eti mnafagiliwa njia ya top four.Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
We Lofa...hyu mawani mnamfukuza lini🤠🤠🤠View attachment 3561167
Huyu ni tapeli mama e
Vp bado timu zinaipenda na kuifagilia njia chelkenge kwenda top 4?Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
Lavia n tapeli tangu kusajiliwa kwake, wengi humu hua wananipinga khs yeye ila niliwaambia wanipe statics zake wanakimbia 😂Narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana hata aje Zidane kuwa kocha
Chelkenge bado tunaiona nafasi pale juuKenge kama kenge
🤣🤣🤣 Cheusiiiii wana kocha mzuri ila hawajui namna ya kumtumia tu.We Lofa...hyu mawani mnamfukuza lini🤠🤠🤠