lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
BREAKING NEWS:
Chelsea imepigwa ban ya kusajili na kuandikisha wachezaji wa Timu ya kwanza kwa mwaka mmoja halafu ikafanyiwa suspension. Sijawahi kuiona adhabu ya jinsi hiij lakini ngoja nijaribu kuielezea.
Kimsingi Ligi Kuu Ya Uingereza imeipa Chelsea adhabu ya kutosajili wachezaji kwa mwaka mmoja halafu hiyo adhabu ikahairishwa hadi Machi 2028 kwa masharti yafuatayo:
Chelsea imepigwa ban ya kusajili na kuandikisha wachezaji wa Timu ya kwanza kwa mwaka mmoja halafu ikafanyiwa suspension. Sijawahi kuiona adhabu ya jinsi hiij lakini ngoja nijaribu kuielezea.
Kimsingi Ligi Kuu Ya Uingereza imeipa Chelsea adhabu ya kutosajili wachezaji kwa mwaka mmoja halafu hiyo adhabu ikahairishwa hadi Machi 2028 kwa masharti yafuatayo:
- Adhabu imesitishwa kwa miaka 2 hadi takriban Machi 2028.
- Chelsea inaweza kusajili wachezaji wapya kawaida ndani ya miaka hiyo 2.
- Kifungo cha mwaka 1 kitaanza tu ikiwa Chelsea itafanya makosa mengine ndani ya kipindi hicho.
- Makosa yanayohusika ni ya ukaguzi wa fedha, uwekezaji wa watu wa tatu, na maendeleo ya vijana (kutoka malipo yasiyoripotiwa 2011–2018).
- Hii ni tofauti na kifungo cha miezi 9 cha usajili wa akademi, ambacho kinaendelea hadi takriban Desemba 2026.