Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona ni kama hawa wachezaji wanataka Rosemary aondoke!!. Yaani huoni hurry, juhudi na kujituma kwa mchezaji mmoja mmoja.
No team linkup, kila mmoja anajichezea ilimradi muda uishe
No passion at all.
 
kuzimu iyooooooooo
 

Attachments

  • IMG_20260321_223133.jpg
    IMG_20260321_223133.jpg
    52.6 KB · Views: 15
Timu zinaipenda Chelsea na zinaifagilia njia ya top 4. Tusubiri tuone kama wataitumia nafasi hiyo kwenye mechi yao dhidi ya Everton baadaye leo.
FT: Brighton 2–1 Liverpool.
Vp bado timu zinaipenda na kuifagilia njia chelkenge kwenda top 4?

Mm nasemaga na narudia kusema, ww humu ndo unaongoza kwa kuandika mashudu.
 
Narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana hata aje Zidane kuwa kocha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom