Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana hata aje Zidane kuwa kocha
 
Vipigo vimezidi mpaka mashabiki wanaulizia namna wamarekani wanyanganywe timu sababu ya vita ya Iran. Kama walivyomtapeli mwamba wa Kirusi
 
Amini hvy mkuu, in tapeli Rosenior we trust 😂
🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.
 

Attachments

  • 1748516644467.jpg
    1748516644467.jpg
    185.5 KB · Views: 17
🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.
Chelkenge tungekuwa nafasi ya spurs bc championship uhakika
 
PSG ilikuwa bora sana kushinda 8-2 dhidi ya Chelsea FC kwa hali hii au tusubiri next UEFA CL quarter finals?
 
Shida ni wadhamini, hata wakimfukuza kocha wa mchongo muingereza bado tu wataajiri kocha mwingine wa mchongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom