Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,876
- 16,446
🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.Amini hvy mkuu, in tapeli Rosenior we trust 😂
🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.Amini hvy mkuu, in tapeli Rosenior we trust 😂
Noma sana [emoji1]Chelkenge bado tunaiona nafasi pale juu
Hawa waUSA ni majangili hapo chelkengeVipigo vimezidi mpaka mashabiki wanaulizia namna wamarekani wanyanganywe timu sababu ya vita ya Iran. Kama walivyomtapeli mwamba wa Kirusi
Chelkenge tungekuwa nafasi ya spurs bc championship uhakika🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.
Hapa Maximum point 9 mmaeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuzimu iyooooooooo
Tatizo la safari hii sio la mchezaji mmoja mmojaLavia n tapeli tangu kusajiliwa kwake, wengi humu hua wananipinga khs yeye ila niliwaambia wanipe statics zake wanakimbia 😂
Sawa ila bado Lavia n tapeli kitu ambacho nilikuwa mnakataa.Tatizo la safarti hii sio la mchezaji mmoja mmoja
Kocha kapoteza dressing room kabisa, kila mchjezaji anacheza hovyo kuanzia Kipa hadi striker sipokuwa Estevao tu alipoingia angalau alionyesha nia ya kufungia Chelsea magoli
Unaona kabisa wachezajo wote hawana morale, wanamgomea kocha au uongozi