Lavia n tapeli tangu kusajiliwa kwake, wengi humu hua wananipinga khs yeye ila niliwaambia wanipe statics zake wanakimbia 😂Narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana hata aje Zidane kuwa kocha
Chelkenge bado tunaiona nafasi pale juuKenge kama kenge
🤣🤣🤣 Cheusiiiii wana kocha mzuri ila hawajui namna ya kumtumia tu.We Lofa...hyu mawani mnamfukuza lini🤠🤠🤠
🤣🤣🤣 ila we jamaaaaChelkenge bado tunaiona nafasi pale juu
Amini hvy mkuu, in tapeli Rosenior we trust 😂🤣🤣🤣 ila we jamaaaa
Subiri timu iotee ka mechi kamoja atakuja na uchambuzi gazeti na kuinadi the so called "project "Vp bado timu zinaipenda na kuifagilia njia chelkenge kwenda top 4?
Mm nasemaga na narudia kusema, ww humu ndo unaongoza kwa kuandika mashudu.
Uchambuzi uliojaa mashuduSubiri timu iotee ka mechi kamoja atakuja na uchambuzi gazeti na kuinadi the so called "project "
🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.Amini hvy mkuu, in tapeli Rosenior we trust 😂
Noma sana [emoji1]Chelkenge bado tunaiona nafasi pale juu
Hawa waUSA ni majangili hapo chelkengeVipigo vimezidi mpaka mashabiki wanaulizia namna wamarekani wanyanganywe timu sababu ya vita ya Iran. Kama walivyomtapeli mwamba wa Kirusi
Chelkenge tungekuwa nafasi ya spurs bc championship uhakika🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.
Hapa Maximum point 9 mmaeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuzimu iyooooooooo