Joao Pedro
Member
- Oct 21, 2025
- 67
- 55
Kabisa 😂Chelsea ilipata mkosi siku ilipouzwa na kununuliwa na Wamarekani.
Kabisa 😂Chelsea ilipata mkosi siku ilipouzwa na kununuliwa na Wamarekani.
Tunapata udhoefu kutoka AsenyetoUsihamishie hasira zako kwa Arsenal.
Pambaneni tu na Hali yenu
Hakuna mtu aliyewahi kudai kwamba Chelsea ni timu nzuri. Matatizo ya hii timu tunayajua, na tumekuwa tukiyasema kila siku. Kuwa na imani na timu yako haimaanishi kujifanya kwamba ni timu bora. Msimu huu karibu kila timu iliyo juu ya table ina mapungufu, lakini Chelsea ina matatizo makubwa zaidi — na tunajua sababu. Wamiliki hawataki kusajili wachezaji wenye ushindani wa kweli.Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.
Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.
Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.
Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.
Dark times ahead
Masingeli Pro Ultra, Lembu

Maoni Yako tumeyachukuaView attachment 3558226View attachment 3558227
Ukisikia Popoo mbili zavuka mto ndio hizi sasa *****, ona walivyo na spidi ya konokono kama wanakipande matakoni. Huyo Fofana, Gordon alikua nyuma amepitwa kama senge.
Yuko Gusto umemwach ambaye alikuwa karibu na Fofana na walitakiwa kurudi kumkaba Gordon lakini wakaamua tu kukachaView attachment 3558226View attachment 3558227
Ukisikia Popoo mbili zavuka mto ndio hizi sasa *****, ona walivyo na spidi ya konokono kama wanakipande matakoni. Huyo Fofana, Gordon alikua nyuma amepitwa kama senge.
NItaandika hivyo mara nyingi kwakua mmekua mkisema mara nyingi kwamba mna wachezaji wazuri na world class kuliko waongoza ligi Arsenal.Hakuna mtu aliyewahi kudai kwamba Chelsea ni timu nzuri. Matatizo ya hii timu tunayajua, na tumekuwa tukiyasema kila siku. Kuwa na imani na timu yako haimaanishi kujifanya kwamba ni timu bora. Msimu huu karibu kila timu iliyo juu ya table ina mapungufu, lakini Chelsea ina matatizo makubwa zaidi — na tunajua sababu. Wamiliki hawataki kusajili wachezaji wenye ushindani wa kweli.
Arsenal wamesajili Gyökeres, sisi tukaleta Delap mchezaji wa kiwango cha Championship kama mshambuliaji.
Manchester City wamemsajili Marc Guehi, sisi tukachukua Mamadou Sarr na Tosin bure.
Manchester United wamemsajili Cunha na Mbeumo, sisi tukaleta Gittens na Garnacho.
Hii ndiyo hatima tuliyolazimishwa kuikubali chini ya hawa Wamarekani wasio na akili ya uongozi. Hata huo utajiri wanaodaiwa kuwa nao sijui wamaupataje? labda wameiba, maana uwezo wa kufanya maamuzi ya maana kwenye soka hauonekani kabisa.
Jamaa cjui hua anaandika nn ambacho hakifanyiwi Kazi uwanjani 😂Maoni Yako tumeyachukua
Sasa mkuu unataka tukwambie akina Saka na Martinell ni world class?!!NItaandika hivyo mara nyingi kwakua mmekua mkisema mara nyingi kwamba mna wachezaji wazuri na world class kuliko waongoza ligi Arsenal.
Mlisajili wachezaji karibu 25, huwezi taja wanne kwamba ndiyo chanzo.
Wachezaji wazuri kuliko Arsenal wapo, ila kuna pia matakataka.NItaandika hivyo mara nyingi kwakua mmekua mkisema mara nyingi kwamba mna wachezaji wazuri na world class kuliko waongoza ligi Arsenal.
Mlisajili wachezaji karibu 25, huwezi taja wanne kwamba ndiyo chanzo.
Kwa Pedro Neto nakataa, huyu ana hadhi kabisa ya kucheza Chelsea ni vile tumekosa structure nzuri ya team kwa style hii hata Palmer itafika hatua utamuona mbaya hivi nikuulize nafasi gani ya maana Joao Pedro alitengenezewa kwa mechi ya juzi?Team yetu imeharibika baada ya kuuzwa, kwa hawa matajiri wa sasa. Maana wao wapo kibiashara zaidi, wamefanya sajili nyingi ambazo hazijatupa matokeo bora zaidi. Mfano msimu huu wachezaji tuliosajili na wakafanya vizuri ni mmoja tu Joao Pedro. Wachezaji wengi waliosajiliwa hawana sifa za kucheza Chelsea. Mchezaji kama Tosin, Badiashile, Hato, Esugo, Neto, Delap, Andre Santos, Marc, Gerlach, Gitten na Jorgensen. Hawa ni hasara tu
Wachezaji wa Arsenal wanaonekana ni wazuri ni kwasababu Wanamfumo mzuri wa kiuchezaji unaoeleweka kwa kila mchezaji kwasababu wachezaji wamekaa kwa pamoja kwa muda mrefu plus morali ya team but Wana wachezaji wengi tu wa kawaida kina martinell, Jesus, Kai, tossard, Zubimend, Eze, Madueke n.k hawa wote niliyo wamention hawana muendelezo mzuri wa viwango vyaoWachezaji wazuri kuliko Arsenal wapo, ila kuna pia matakataka.
Bati imara na mpya haiwezi kufanya nyumba isivuje kama kuna bati mbovu na kuukuu katikati
Chelsea tuna shida ya Defense na winga wachanga
Chelsea tuna shida ya kubadilisha badilisha makocha na hata anayeletwa bado nao ni wacganga kama wachezaji
Bado nyufa zipo na hawa wamarekani naona wanajitahidi kuziba kwa udongo badala ya zege