Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FA Cup 5th round
Wrexham vs Chelsea

3-4-2-1

--Delap--

Garnacho ------ Neto

Hato--Santos --- Lavia — Acheampong

— Sarr--Badiashile — Tosin

--Sanchez--

Bench
  • Sharman-lowe
  • James
  • Gusto
  • Cucurella
  • Esugo
  • Lavia
  • Derry
  • Joao Pedro
  • Guiu

#CFC | #WRECHE
Chelsea imewaanzisha wachezaji wawili tu wa kwenye XI ambao ni Neto na Sanchez (Ambaye sasa sio starter tena wa Chelsea)
Sub iliyofanyika ni wachezaji watatu tu ndio wanaoanza kwenye timu kuu ambao ni Gusto, Joao Pedro na Cucurella aliyetokea majeruhi
 
Tutawezaje kuwafunga kwa mchezo mchafu kama huu. Unamkamata mchezaji ili asiruke, asimove. Ni mchezo wa mieleka peke yake ndio inachezwa bila kuruka wala kusogea.Davids Raya kaonekana shujaa wa Arszenal kwa sababu mabeki wao wako busy kuwakamata wachezaji wa Chelsea walio kuwa kwenye mkao wa kuruka na kufunga magoli. Nadhani hii ni tactoics aliyowapa wachezaji huyo kocha mchafu Arteta kwa sababu ni kila mchezaji wa Chelsea kamata kamata na refa naye legend wa Arsenal
View attachment 3552161
Cry more bro😅
 
Wee Mmarekani na Muisrael wakikusikia unawataja hao Late Ayatollah Khamenei na Osama watakujumuisha kwenye Vita Yao!!💀💀🤪🤣
 
Kwa wale mnaoangalia mpira kwa kutumia PC au browser please tumia hii link, wanaonyesha full HD very clear bure. Ukipenda kuwachnagia ila sio lazima
 
Kwenye hizi ishu naweza kukuletea rundo la matokeo yaliyokua against kwa Arsenal na watu wakatulia maisha yakaendelea.

Tushapata unfair red cards, kipa kashazuiwa asidake, tushanyimwa penati, tushaconcede penati za uongo na marefa wastaafu wakasema.
Hoja ilikua ni kwamba hatujui sheria kwa matukio yale. Mimi nikasema sio sisi tu hata wadao wote wanasema kitu kutokana na yale matukio hata kama sisi hatuna ilimu ya mpira na sharia zake
 
Lembu asione Hii 😂
Ungejua ambavyo kwa sasa simtaki Jackson
Natamani taarifa za rumours kuwa Chelsea inamfukuzia striker wa Brentford Igor Thiago ziwe za kweli. Huyo mwamba akiungana na Joao Pedro, tumemaliza kesi na Wamiliki na SDs kwa viungo na mbele, itabaki sasa kwenmye beki mmoja mzoefu mwenye kujua kusoma, kunusa hatari na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi kama Thiago Silva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom