Sasa hii aina mpya haifanyi kazi kwa Wrexham?Chelsea wamegundua namna mpya ya kuwashinda opponent zao kisaikolojia na kiakili, angalia hii hapa
View attachment 3553816
Sasa hii aina mpya haifanyi kazi kwa Wrexham?Chelsea wamegundua namna mpya ya kuwashinda opponent zao kisaikolojia na kiakili, angalia hii hapa
View attachment 3553816
Chelsea imewaanzisha wachezaji wawili tu wa kwenye XI ambao ni Neto na Sanchez (Ambaye sasa sio starter tena wa Chelsea)FA Cup 5th round
Wrexham vs Chelsea
3-4-2-1
--Delap--
Garnacho ------ Neto
Hato--Santos --- Lavia — Acheampong
— Sarr--Badiashile — Tosin
--Sanchez--
Bench
- Sharman-lowe
- James
- Gusto
- Cucurella
- Esugo
- Lavia
- Derry
- Joao Pedro
- Guiu
#CFC | #WRECHE
Cry more bro😅Tutawezaje kuwafunga kwa mchezo mchafu kama huu. Unamkamata mchezaji ili asiruke, asimove. Ni mchezo wa mieleka peke yake ndio inachezwa bila kuruka wala kusogea.Davids Raya kaonekana shujaa wa Arszenal kwa sababu mabeki wao wako busy kuwakamata wachezaji wa Chelsea walio kuwa kwenye mkao wa kuruka na kufunga magoli. Nadhani hii ni tactoics aliyowapa wachezaji huyo kocha mchafu Arteta kwa sababu ni kila mchezaji wa Chelsea kamata kamata na refa naye legend wa Arsenal
View attachment 3552161
Kama pia una tv ya android, hii unaangalia crystal clearKwa wale mnaoangalia mpira kwa kutumia PC au browser please tumia hii link, wanaonyesha full HD very clear bure. Ukipenda kuwachnagia ila sio lazima
Hoja ilikua ni kwamba hatujui sheria kwa matukio yale. Mimi nikasema sio sisi tu hata wadao wote wanasema kitu kutokana na yale matukio hata kama sisi hatuna ilimu ya mpira na sharia zakeKwenye hizi ishu naweza kukuletea rundo la matokeo yaliyokua against kwa Arsenal na watu wakatulia maisha yakaendelea.
Tushapata unfair red cards, kipa kashazuiwa asidake, tushanyimwa penati, tushaconcede penati za uongo na marefa wastaafu wakasema.
Ni bure au uwe na bundleKama pia una tv ya android, hii unaangalia crystal clear
Swali la kifala sana hili.Ni bure au uwe na bundle
Ikiwa unajibu hivi tutakufungulia kesi mahakamani ya zuio la kutumia hilo jinaNi bure au uwe na bundle
🤣 muda mwingine tunachangamshanaIkiwa unajibu hivi tutakufungulia kesi mahakamani ya zuio la kutumia hilo jina
Lembu asione Hii 😂Jackson yeye na kipa kakosa manina, huyu mwamba ni kilaza.
Haya amefunga sasa 😂Jackson yeye na kipa kakosa manina, huyu mwamba ni kilaza.
Hivi kama tungekuwa na Jackson kama striker wetu tegemezi hivi tungekuwa wapi?Haya amefunga sasa 😂
Hapa hata lembu hatompiga spana
Ungejua ambavyo kwa sasa simtaki JacksonLembu asione Hii 😂