Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ungejua ambavyo kwa sasa simtaki Jackson
Natamani taarifa za rumours kuwa Chelsea inamfukuzia striker wa Brentford Igor Thiago ziwe za kweli. Huyo mwamba akiungana na Joao Pedro, tumemaliza kesi na Wamiliki na SDs kwa viungo na mbele, itabaki sasa kwenmye beki mmoja mzoefu mwenye kujua kusoma, kunusa hatari na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi kama Thiago Silva
Sasa mbona ulipandwa na kisukari baada ya Jackson kukataa kurudi?
 
Leo PSG anakufa.
Ni kweli ila kama vijana wetu wamedhamiria, wakaacha silly mistakes
Naamini Rosenior ataweka lineup imara, ninawasiwasi tu akija na mabeki wengi tumekwisha, 3-4-3 haifai kwa hawa wachezaji tulionao
 
Tende na hii line up leo
UCL Round of 16
PSG vs Chelsea

3-4-2-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo----- Palmer

--Caicedo ----James---

Cucurella--Chalobah--Fofana — Gusto

--Jorgensen--

Bench
1. David Sánchez
2. Max Merrick
3. Josh Acheampong
4. Tosin Adarabioyo
5. Benoît Badiashile
6. Mamadou Sarr
7. Jorrel Hato
8. Andrey Santos
9. Roméo Lavia
10. Pedro Neto
11. Liam Delap
12. Marc Guiu
 
Kazi ipo 😂
Matusi kibao kwa Jackson, ety leo ndo ety uliongea nn

Tujitakie kheri mechi ya leo.
Mbona husemi unabwabwaja maneno hii inaonyesha ulitaka kunitungia maneno
Mimi nilkikuwa namtetea sana Jackson alipokuwa mchezaji wa Chelsea na ofcourse hatukuwa na mwingine, ila aliposajiliwa tu Joao Pedro kwa sababu nilimfahamu tangu akiwa Brighton, mapenzi yangu kwa Jackson yakikoma, alipogombana na Maresca kuhusu kuwekwa benchi ndio nilimtoa kwenye list kabisa. Hili la kugoma kurudi alipoitwa ndio iliniuzi uwezi kuniambia kitu kuhusu Jackson, ameonyesha nidhamu mbaya, hana uprofesionalism yeye na agent wake.
Walidhani Bayern watamchukua moja kwa moja
Wakatuambia Ndege hairudi nyuma
Sasa akija tutamuuza au kumpeleka mkopo
Ni kweli Chelsea wanamfukuzia Igor Thiago na ujio wa Emanuel Emegha na hii inaonyesha kuwa
Jackson, Delap na Guiu hawana maisha tena darajani
 
Leo, Arsenal hawakupata set pieces? Au bado wanazisaka tu?
Leverkusen 1 – 0 Arsenal.
 
Lineup
 

Attachments

  • Screenshot_20260311-215945.png
    Screenshot_20260311-215945.png
    826.2 KB · Views: 3

Similar Discussions

Back
Top Bottom