Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Leo Leo Leo... Kazi ipo Leoooooooooo
Naiamini timu yangu kinomaaa
Naiamini timu yangu kinomaaa
Ndiouna uhakika?
Sasa mbona ulipandwa na kisukari baada ya Jackson kukataa kurudi?Ungejua ambavyo kwa sasa simtaki Jackson
Natamani taarifa za rumours kuwa Chelsea inamfukuzia striker wa Brentford Igor Thiago ziwe za kweli. Huyo mwamba akiungana na Joao Pedro, tumemaliza kesi na Wamiliki na SDs kwa viungo na mbele, itabaki sasa kwenmye beki mmoja mzoefu mwenye kujua kusoma, kunusa hatari na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi kama Thiago Silva
Ni kweli ila kama vijana wetu wamedhamiria, wakaacha silly mistakesLeo PSG anakufa.
Kisukari kimetoka wapi tenaSasa mbona ulipandwa na kisukari baada ya Jackson kukataa kurudi?
Rosenior sio mwehu kiasi hiki jamani, hawa kama wameenda ni kwenda kushangilia tuView attachment 3556502
Nasikia hivi visiki leo vinaanza, naiona klini shiti ileeee...... tutapga hiyo SPG sijui PSG mpk ichakaee.
Unajifanya umesahau ulivyokuwa Unaongea Jamaa alipokataa kurudi?Kisukari kimetoka wapi tena
Hawa jamaa wakianza bc ushindi mapema tuu 😂View attachment 3556502
Nasikia hivi visiki leo vinaanza, naiona klini shiti ileeee...... tutapga hiyo SPG sijui PSG mpk ichakaee.
Niliongea nini?Unajifanya umesahau ulivyokuwa Unaongea Jamaa alipokataa kurudi?
Kazi ipo 😂Niliongea nini?
Na beki zetu za kipuuzi hizi ? , ptuuu .Aisee Chelsea inatia kinyaa sikuhiziLeo PSG anakufa.
😂😂😂😂😂😂Hawa jamaa wakianza bc ushindi mapema tuu 😂
Mbona husemi unabwabwaja maneno hii inaonyesha ulitaka kunitungia manenoKazi ipo 😂
Matusi kibao kwa Jackson, ety leo ndo ety uliongea nn
Tujitakie kheri mechi ya leo.
Yule ni mwehu, wamekua wakimuangusha lakin stil amekua akiwapanga.Rosenior sio mwehu kiasi hiki jamani, hawa kama wameenda ni kwenda kushangilia tu
TakbirNdio tunaenda kuanza mashindano rasmi leo wana Chelsea