Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo hii ghafla Chelsea haijui kwamba kuna ball hand na hand ball. Hawajui kwamba hua inaangaliwa dhamira kabla ta kuucheza mpira.

Our bitches
Ajabu ni kwamba sio Chelsea peke yake ni wadau wote wa mpira mpaka marefaree wanasema. Wewe peke yako ndio unakataa kwa kuwa inavutia kwako wakati huu.
 
Ajabu ni kwamba sio Chelsea peke yake ni wadau wote wa mpira mpaka marefaree wanasema. Wewe peke yako ndio unakataa kwa kuwa inavutia kwako wakati huu.
Kwenye hizi ishu naweza kukuletea rundo la matokeo yaliyokua against kwa Arsenal na watu wakatulia maisha yakaendelea.

Tushapata unfair red cards, kipa kashazuiwa asidake, tushanyimwa penati, tushaconcede penati za uongo na marefa wastaafu wakasema.
 
Nawaza kama Sanchez au Jorgensen angefungwa goli lile la kisigizo alilofungwa jana Man City sijui angeepuka matusi gani humu ndani
Sanchez ni mzuri kuliko Jorgensen
Na hapo sasa utaona wazi kuwa Chelsea inamuhitaji golkipa mwingine
Yale magoli ya Arsenal, Sanchez ndie angekuwa David Raya angeokoa ila kwa vile alikuwa ni Sanchez, tulifungwa kizembe sana, Japo pia na mabeki wetu an timu nzima hawajui kudefend set pieces hasa mipira ya kona
 
Leo hii ghafla Chelsea haijui kwamba kuna ball hand na hand ball. Hawajui kwamba hua inaangaliwa dhamira kabla ta kuucheza mpira.

Our bitches
Rice alipomkaba Hato alikuwa na dhamira gani? maana kabla hatujaenda kwenye handball tuanzie hapo kwenye ukabaji
 
Kwenye hizi ishu naweza kukuletea rundo la matokeo yaliyokua against kwa Arsenal na watu wakatulia maisha yakaendelea.

Tushapata unfair red cards, kipa kashazuiwa asidake, tushanyimwa penati, tushaconcede penati za uongo na marefa wastaafu wakasema.
Mmetulia na maisha yakaendelea kwa sababu mmekwapua haki za wengine
 
Enzo Fernández akachukua usukani, akamchezesha Malo Gusto kwa ustadi, Gusto akamtengenezea João Pedro mpira wa kumalizia kwa tapping maridadi. Na kweli, yule Enzo wa enzi za Pochettino ameonekana kurudi uwanjani—mwenye ubunifu, utulivu na ushawishi mkubwa kwenye mchezo.

Aston Villa 1 -1 Chelsea

 
João Pedro alimchezesha Cole Palmer, akampasia Reece James pembeni naye James akamimina krosi ambayo kipa Martinez hakuweza kuimudu akapangua na mpira kumfikia Palmer ambaye hakufanya ajizi bali akamalizia kwa bao maridadi kabisa.

Aston Villa 1 -3 Chelsea

 
Cole Palmer alimpasia pasi murua Alejandro Garnacho, ambaye alimfungulia João Pedro, na Pedro akakamilisha hat-trick yake ya kwanza na Chelsea kwa ustadi mkubwa.

Aston Villa 1 -4 Chelsea

 
Alejandro Garnacho alipenyeza mpira kwa Enzo Fernández, ambaye alimsogezea João Pedro kwa ujanja mwingi, na Pedro akamalizia kwa bao lake la pili—moja ya mabao bora ya timu kwa ustadi wa hali ya juu kabisa.
Aston Villa 1 -2 Chelsea

 
João Pedro chini ya Liam Rosenior:

→ Mechi 12
→ Magoli 10
→ Asisti 4
1772789449760.png
 
Niliwahi kusema sehemu fulani kwamba Chelsea wana wachezaji wazuri sana.
Kwa mfano hawa wachezaji walisemwa sana kuwa ni wabovu ila mimi nasema:
  • Garnacho ni mzuri
  • Gittens ni mzuri
  • Hato ni mzuri
Tatizo si ubora wa wachezaji mmoja mmoja. Kilichowafanya washindwe “kukiwashe” ni ubovu wa timu katika idara nyingi—hawachezi kama timu.

Mfano mzuri kabisa ni Strasbourg. Ukiwaangalia, utaelewa ninachomaanisha:

1) Wanacheza kama timu

Hakuna uchoyo, wanapeana pasi, wanafuatilia pasi, na hakuna mchezaji anayebaki isolated. Mfumo wao unamfanya karibu kila mchezaji aonekane mzuri. Ndio maana karibu kila mchezaji akien da pale anaonekan ni mzuri.

2) Wanachukua risk kwa kupigiana pasi kila sehemu ya uwanja

Wanacheza:
  • back passes
  • sideways passes
  • vertical passes
  • long balls
  • transitions
  • short passes
Ni fursa ya kwenye mchezo wakati huo ndio inaamua aina ya gani ya pasi, si woga. Huu ni uchezaji wenye ujasiri na maamuzi ya haraka.

3) Work rate iko juu
Kila mchezaji anafanya kazi. Hakuna aliyesimama kama mlingoti. Movement ipo, presha ipo, na intensity iko juu.

Sasa turudi Chelsea

Ukiweka pembeni mechi ya jana dhidi ya Aston Villa, Chelsea wana talanta kubwa kuliko Strasbourg, tena kwa mbali. Lakini hawana zile sifa tatu muhimu:
  • Hawajitumi vya kutosha
  • Wachezaji wa mbele wanabaki isolated
  • Hawatake risk
  • Wanacheza back na sideways passes nyingi
  • Movement ni ndogo, hakuna kukimbia kwenye nafasi
Matokeo yake, hata mchezaji mzuri akipata mpira, anaonekana dhaifu kwa sababu hana support wala structure. mchezaji akipewea mpira akawa kwenye presure hakuna msaada, ufuatiliaji ili aweze kuupasi huo mpira bila ya kuupoteza.

Lakini jana dhidi ya Aston Villa…

Idara zote zilifanya kazi.
Nimeona:
  • uchezaji kama timu
  • risk-taking, pasi za hatari zilichezwa kila sehemu ya uwanja
  • movement nzuri has aya viungo an washambuliaji
  • intensity na presisng nzuri
  • na coordination ambayo imewafanya wa-outperform Aston Villa kabisa.
Na ukitaka uthibitisho, angalia tu takwimu za Garnacho:

Garnacho vs Aston Villa
  • 100% passes completed (27/27)
  • 12 touches in the opposition box
  • 7 duels won
  • 6 chances created
  • 4 tackles
  • 3 shots
  • 3 fouls won
  • 1 assist
 
Chelsea wamegundua namna mpya ya kuwashinda opponent zao kisaikolojia na kiakili, angalia hii hapa

 
FA Cup 5th round
Wrexham vs Chelsea

3-4-2-1

--Delap--

Garnacho ------ Neto

Hato--Santos --- Lavia — Acheampong

— Sarr--Badiashile — Tosin

--Sanchez--

Bench
  • Sharman-lowe
  • James
  • Gusto
  • Cucurella
  • Esugo
  • Lavia
  • Derry
  • Joao Pedro
  • Guiu

#CFC | #WRECHE
 
Badiashile ana pass moja tu kila akipewa mpira yeye ni kurudisha kwa kipa, hata kama yupo katikati ya uwanja. mamaee chezaji kama hili lanini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom