Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Attachments

  • 20260302_090806.jpg
    20260302_090806.jpg
    385.9 KB · Views: 5
Chelsea haikucheza vizuri na Arsenal hawakucheza vizuri ila Chelsea ilitengeneza angalau nafasi ambazo mbili Raya aliokoa na zaidi ya mbili tulipoteza
Ilitakiwa hawa tuwababu goli 5. Bais tu timu yetu haiko serious
Haya basi nendeni mkaifunge Villa hizo goli 5 tuone.
Nimekaa pale
 
Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao mujarabu.....
Sababu gani nimetengeneza mzee?! mbona dunia nzima imeona, au unafikiri mpira mliuangalia peke yenu, mnakua kama chimama anabisha mpk vitu ambavyo vipo wazi kabisa kinakwambia ni AI😂😂😂
20260303_213637.jpg


Nyie ni timu dhaifu kuwahi kutokea.tuliwazidi kila kitu.
 
Sasa kama hakuna wachezaji mbona mmeshindwa kuifunga hata mara moja tu katika mara zote 4 mlizokutana nayo msimu huu 😅
Tutawezaje kuwafunga kwa mchezo mchafu kama huu. Unamkamata mchezaji ili asiruke, asimove. Ni mchezo wa mieleka peke yake ndio inachezwa bila kuruka wala kusogea.Davids Raya kaonekana shujaa wa Arszenal kwa sababu mabeki wao wako busy kuwakamata wachezaji wa Chelsea walio kuwa kwenye mkao wa kuruka na kufunga magoli. Nadhani hii ni tactoics aliyowapa wachezaji huyo kocha mchafu Arteta kwa sababu ni kila mchezaji wa Chelsea kamata kamata na refa naye legend wa Arsenal
 
Sarr, Sanchez na Andrey Santos wametupwa benchi
Cucurella yuko Benchi

Aston Villa vs Chelsea

4-2-3-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo --- Palmer

James (C) --- Caicedo

Hato — Chalobah — Fofana — Gusto

--Jorgensen--

Bench
  • Sanchez
  • Tosin
  • Badiashile
  • Cucurella
  • Sarr
  • Lavia
  • Santos
  • Delap
  • Guiu

#CFC | #AVLCHE
1772648715357.png
 
Joao Pedro's first hat-trick kwa Chelsea
Aston Villa 1 - 4 Chelsea
Nilisemaga hii timu ya Aston Villa haina mchezo wowote mzuri, wamefunga timu kiujanjaujanja hadi wakakwea juu kwenye nafasi isiyo yake
Sasa wanaporomoka chini
1772658372627.png
 
Mechi imeisha na sasa tunaweza kuendelea tulipoishia
Aston Villa 1 - 4 Chelsea
1772660263744.png
 
Joao Pedro's first hat-trick kwa Chelsea
Aston Villa 1 - 4 Chelsea
Nilisemaga hii timu ya Aston Villa haina mchezo wowote mzuri, wamefunga timu kiujanjaujanja hadi wakakwea juu kwenye nafasi isiyo yake
Sasa wanaporomoka chini
View attachment 3552595
Jana Chelsea ilicheza kama timu. Idara karibu zote zilicheza vizuri. Garnacho alichezeshwa in the right way na ona alivyoperform. Ninaamini hata Gittens atacheza vizuri sana ikiwa Chelsea ikiendelea kucheza kama timu hivi hivi.
Nitolee mfano Garnacho wakati hachezi vizuri.
Anapewa mpira mbovu au kama ni mzuri anapewa akiwa pekee yake (Isolated) na hakuna mchezaji wa Chelsea anayemfuatilia ili kumsaidia. au kukaa seheemu nzuri ya kupasiwa. Hii ilikuwa tofauti jana. Chelsea ilicheza kama Strasbourg, klabu dada ya Ufaransa ambao kwa kweli wananikosha mimi jinsi wanavyocheza kama timu na kushirikiana kusaidiana na kujitoa
 
Mbaga kapotea kama upepo yaani dk ya 5 tu ushaanza kulaumu wachezaji na kuitukana timu 😅😅😅
 
Nawaza kama Sanchez au Jorgensen angefungwa goli lile la kisigizo alilofungwa jana Man City sijui angeepuka matusi gani humu ndani
 
Niliwahi kusema msimu huu Arsenal ni designated PL winner. Anajitahidi kucheza ila ana matukio mengi yanayo mfavour na yanapita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom