The Anfield
JF-Expert Member
- Dec 15, 2025
- 252
- 295
Usikate tamaa, vp km Chelsea ikishinda ili kumuharibia mpinzani wenu wa Jiji moja London na pia kulipiza kisasi Tena pale pale Uwani kwake Emirates...Reece na Palmer yupo Leo staa boyKesho Mazagazaga fc kama kawaida yetu kuruka ruka na kukanyagana uwanjani. kipigo hakikwepeki.