Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,486
- 3,350
Mkuu nishikie arsenal jpiliPsg lazima atuue nje ndani
Nipo nyuma yenu😂😂😂
Mkuu nishikie arsenal jpiliPsg lazima atuue nje ndani
Kwani draw tyr imefanyika?Psg lazima atuue nje ndani
NdioKwani draw tyr imefanyika?
Tukijitahidi sana drooMkuu nishikie arsenal jpili
Nipo nyuma yenu😂😂😂
TumeshatokaNdio
Kama na nyie mlivyowatapeli Arsenal Kwa Madueke na Kai Harvertz🤣🤣Foffana 80+M, waliohusika kwenye hili deal walipiga pesa za wazembe 😂
Huyo nae gittens nae waliohusika matapel tuu
Hao wote vyuma vya kaziKama na nyie mlivyowatapeli Arsenal Kwa Madueke na Kai Harvertz🤣🤣
Muosha huoshwa!!
Kwani draw tyr imefanyika?
Mathematically wanaweza ila logically hawatawezaHii ndo raha ya EPL
Mzunguko wa pili mambo hua tofauti sana, tusishangae wolves akabaki Kwenye ligi.
HakikaKesho Mazagazaga fc kama kawaida yetu kuruka ruka na kukanyagana uwanjani. kipigo hakikwepeki.
Hapo mgumu kwetu ni Bayern peke yake
ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisaKesho Mazagazaga fc kama kawaida yetu kuruka ruka na kukanyagana uwanjani. kipigo hakikwepeki.
Bahati nzur kesho mimi sitaweza kuangalia hii gamu kwa sababu za kiufundi 😂 🤣ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa
Wanaugumu gani bana we, viazi tu hao.game zote tumecheza nao tunawatawala kila kitu isipokua tu kushinda,wanapata kona zao za vurugu zile wanashinda.ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa
Usikate tamaa, vp km Chelsea ikishinda ili kumuharibia mpinzani wenu wa Jiji moja London na pia kulipiza kisasi Tena pale pale Uwani kwake Emirates...Reece na Palmer yupo Leo staa boyKesho Mazagazaga fc kama kawaida yetu kuruka ruka na kukanyagana uwanjani. kipigo hakikwepeki.
Aah acha uoga utakuja kushangaa Chelsea akapata matokeo mazuri unajua hata hao wachezaji wanajua umuhimu wa hii game si dhani watakubali waache point 3 na wanajua kushinda hii game nikutoa statement kwa PSGBahati nzur kesho mimi sitaweza kuangalia hii gamu kwa sababu za kiufundi 😂 🤣
Mechi zote tulizokutana hivi karibuni Chelsea kapiga mpira mkubwa zaidi ya Arsenal ila kinachotucost nikutotumia nafasi vizuriARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa