Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji wa Chelsea hawastahili tena kupewa favor ya likizo. Unakumbuka Chelsea ikirudi kwenye likizo ya International huwa wanacheza hovyo na hawajitumi? Pia ile likizo ambayo Rosenior aliwapa wachezaji imewachosha na jana walikuwa wachovu kwa sababu ya hiyo likizo. Naomba kocha agundue hilo halafu asiwape tena au kama akiwapa iwe ndani ya London tu. Shit kabisa
1771750259051.png
 
Huwa akirudi anakiwasha hiko ndicho nampendea
Anakiwasha nn bhana, em acheni hizo

Leteni takwimu ya ubora wake dhidi ya wengine wanaocheza nafasi yake.

Huyo jamaa n mla mshahara wa bure tuu hana tofauti na Tosin wote wafanyakazi hewa
 
Ila huyu kocha nae fala tuu, sub za kipuuzi tuu.

Kuna baadhi ya wachezaji Huwez kuwatoa labla wavunjwe miguu uwanjani, Sasa yeye goli la mapema dkk ya 5 tuu tayari anajifanya mtaalamu kutaka kulinda.

Unajaza mabeki na bado unapigwa 😂
 
Kwamba Chalobah mzee wa kazi wanataka kumuuza + mashabiki humu JF hawamkubali afu hapo hapo kila mechi n first 11 na hakuna wa kumtoa hapo?

Nacheka 😂

Binafsi wachezaji sahihi na first 11 ni

Palmer
Caicedo
James
Joao Pedro (Kwa mbaliiiii)
Chalobah
Cucurela

Kuna baadhi wanaperform vzr ikiwa timu mzima ikiwa kwenye kiwango kizuri, tofauti na hapo ni wezi tuu wakiwemo

Pedro Neto
Enzo
Estevao
Ganacho


Wengine wote waliobaki ni matapeli.

Next project ni estevao tuu.
 
Kwamba Chalobah mzee wa kazi wanataka kumuuza + mashabiki humu JF hawamkubali afu hapo hapo kila mechi n first 11 na hakuna wa kumtoa hapo?

Nacheka 😂

Binafsi wachezaji sahihi na first 11 ni

Palmer
Caicedo
James
Joao Pedro (Kwa mbaliiiii)
Chalobah
Cucurela

Kuna baadhi wanaperform vzr ikiwa timu mzima ikiwa kwenye kiwango kizuri, tofauti na hapo ni wezi tuu wakiwemo

Pedro Neto
Enzo
Estevao
Ganacho


Wengine wote waliobaki ni matapeli.

Next project ni estevao tuu.
  1. Fofana beki mzuri sio wa kuwekwa pembeni kama unajua football
  2. Katika wachezaji watatu bora wa Chelsea msimu huu, Enzo Fernandez ni mmojawao
  3. Robert Sanchez ameibeba timu sana top four msimu uliopita, FIFA CWC na msimu wote wa mwaka huu
  4. Santos ukimuweka nje ya starting XI lineup hufuatilii mechi za Chelsea
 
Kwamba Chalobah mzee wa kazi wanataka kumuuza + mashabiki humu JF hawamkubali afu hapo hapo kila mechi n first 11 na hakuna wa kumtoa hapo?

Nacheka 😂

Binafsi wachezaji sahihi na first 11 ni

Palmer
Caicedo
James
Joao Pedro (Kwa mbaliiiii)
Chalobah
Cucurela

Kuna baadhi wanaperform vzr ikiwa timu mzima ikiwa kwenye kiwango kizuri, tofauti na hapo ni wezi tuu wakiwemo

Pedro Neto
Enzo
Estevao
Ganacho


Wengine wote waliobaki ni matapeli.

Next project ni estevao tuu.
Mzee hauko serious kabisa. Unasema Enzo, Estevao wamefanyaje?
 
  1. Fofana beki mzuri sio wa kuwekwa pembeni kama unajua football
  2. Katika wachezaji watatu bora wa Chelsea msimu huu, Enzo Fernandez ni mmojawao
  3. Robert Sanchez ameibeba timu sana top four msimu uliopita, FIFA CWC na msimu wote wa mwaka huu
  4. Santos uklimuweka nje ya strting lineup hufuatilii mechi za Chelsea
Huyu jamaa anafuatilia matukio ya Chelsea sio kuangalia mpira.
 
Kwamba Chalobah mzee wa kazi wanataka kumuuza + mashabiki humu JF hawamkubali afu hapo hapo kila mechi n first 11 na hakuna wa kumtoa hapo?

Nacheka 😂

Binafsi wachezaji sahihi na first 11 ni

Palmer
Caicedo
James
Joao Pedro (Kwa mbaliiiii)
Chalobah
Cucurela

Kuna baadhi wanaperform vzr ikiwa timu mzima ikiwa kwenye kiwango kizuri, tofauti na hapo ni wezi tuu wakiwemo

Pedro Neto
Enzo
Estevao
Ganacho


Wengine wote waliobaki ni matapeli.

Next project ni estevao tuu.

Chalobah ni beki wa kiwango cha kati—sio mbaya, lakini pia hayupo kwenye daraja la mabeki wa juu. Akiwa pembeni ya beki mwenye ubora na utulivu, unaweza kabisa kusahau mapungufu yake. Lakini akicheza na mabeki wasio na uthabiti kama Disasi, Badiashile au Tosin, ndipo udhaifu wake unaonekana wazi. Hapo ndipo unagundua kuwa Chalobah ni “very average defender”.

Ukweli kwamba Chalobah ameanza mechi nyingi msimu huu ni ishara tosha kuwa Chelsea haina kina cha mabeki wa kiwango cha juu, hasa baada ya Levi Colwill kupata jeraha la ACL. Tetesi za kuuzwa kwake zinaendana na taarifa kwamba Chelsea wanapanga kuingia sokoni kusajili mabeki bora zaidi, na sasa uongozi umeamua kuleta wachezaji wenye uzoefu na ubora unaohitajika.

Kwa mazingira haya, sitashangaa nikiona Chalobah akiuziwa msimu huu.

Mabeki wanaotarajiwa kuuzwa​

1. Tosin Adarabioyo​

Ameonyesha kutokuwa na ubora unaotakiwa na timu kubwa kama Chelsea inayotarajia kugombania mataji.

2. Benoît Badiashile​

Ameonyesha vipaji, lakini makosa ya mara kwa mara ya kujirudia na kutokuwa na consistency vinamuweka kwenye orodha ya wanaoweza kuondoka.

3. Axel Disasi​

Nguvu anayo, lakini maamuzi yake na positioning vimekuwa tatizo kubwa msimu mzima. Pia spidi hana ya kukabiliana na 1v1 defending

4. Trevoh Chalobah — Pure Profit​

Kwa kuwa ni mchezaji wa academy, mauzo yake yote ni faida halisi (pure profit) kwenye vitabu vya kifedha. Hii inafanya uwezekano wa kuuzwa kuwa mkubwa zaidi.

5. Wesley Fofana​

Atauzwa tu endapo ataonyesha nia ya kuhamia Ligue 1, hasa Marseille.
Hata hivyo, dili hili linaweza kuchukua muda kutokana na historia yake ya majeraha, thamani yake sokoni na utayari wa Marseille kumnunua kwa bei nzuri.
 
Mkiwa kwenye uzi wenu mnaiheshimu Arsenal na mnaona kabsa mnae kocha kilaza na wachezaji wengi vilaza.

Ila mkifika uzi wa Arsenal mnaandika kwa kuponda hadi wino wa simu zenu unaisha.

Safi sana,endeleeni kujadili ukweli wa tinu yenu na kwa ushauri "lower your expectations".
 
Yule kocha wenu mvaa miwani hakuna kitu pale Yule ni motivational speaker tu.

Nakwambia mpaka huu msimu unaishi mtakuwa mshachezea vipigo vya kutosha na top four mtabaki kuisikia tu kwa watu
 
Mkiwa kwenye uzi wenu mnaiheshimu Arsenal na mnaona kabsa mnae kocha kilaza na wachezaji wengi vilaza.

Ila mkifika uzi wa Arsenal mnaandika kwa kuponda hadi wino wa simu zenu unaisha.

Safi sana,endeleeni kujadili ukweli wa tinu yenu na kwa ushauri "lower your expectations".
Huko kwenye Uzi wa Arsenal wanaongea total fantasies ila wakirudi kwenye uzi wanaongea reality 😅
 
Mkiwa kwenye uzi wenu mnaiheshimu Arsenal na mnaona kabsa mnae kocha kilaza na wachezaji wengi vilaza.

Ila mkifika uzi wa Arsenal mnaandika kwa kuponda hadi wino wa simu zenu unaisha.

Safi sana,endeleeni kujadili ukweli wa tinu yenu na kwa ushauri "lower your expectations".
Huyo hamuoni ni mlevi mwenzenu, usitujumuishe wote chelsea hatuna shabiki mlevi.
 
Vyanzo vilivyo karibu na Chelsea FC vinasema kuwa klabu hiyo inaamini kuwa usajili na uwiano wa jumla wa kikosi haujakidhi matarajio msimu huu, hivyo basi kufanyiwa tathmini ya kimkakati kabla ya kampeni ya 2026/27.

Takwimu za juu zinaeleweka kutathmini wachezaji kadhaa ambao hawachezi vizuri, huku kuondoka kukitarajiwa kama sehemu ya mpango mpana wa kuboresha kikosi.

1771865054222.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom