Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vyanzo vilivyo karibu na Chelsea FC vinasema kuwa klabu hiyo inaamini kuwa usajili na uwiano wa jumla wa kikosi haujakidhi matarajio msimu huu, hivyo basi kufanyiwa tathmini ya kimkakati kabla ya kampeni ya 2026/27.

Takwimu za juu zinaeleweka kutathmini wachezaji kadhaa ambao hawachezi vizuri, huku kuondoka kukitarajiwa kama sehemu ya mpango mpana wa kuboresha kikosi.

View attachment 3547682
mnataka kufurusha timu nzima mtabaki na Nani sasa😅
 
Kuna kitu watu wanashindwa kuelewa. Hakuna timu inaweza kuwa na quality pkayers sample ya Palmer, Enzo, Caicedo, James au Colwill na wakaishia kukaa benchi. Tatizo lililopo wale tunaotegemea kama bench warmer wakipata nafasi ya kucheza ndio wabovu zaidi.

Yaani gap kati ya Quality players na average player ni kubwa ndio maana tunaona wakianza kina Cucurella wakaja kutoka timu inaelemewa.
 
Kwanamna nilivyoona tunacheza binafsi siwezi kumlaumu kocha kabisa. Liam yuko vizuri tu ila wachezaji wetu ndio tatizo na ana kazi kubwa ya kufanya hapo
 
Vyanzo vilivyo karibu na Chelsea FC vinasema kuwa klabu hiyo inaamini kuwa usajili na uwiano wa jumla wa kikosi haujakidhi matarajio msimu huu, hivyo basi kufanyiwa tathmini ya kimkakati kabla ya kampeni ya 2026/27.

Takwimu za juu zinaeleweka kutathmini wachezaji kadhaa ambao hawachezi vizuri, huku kuondoka kukitarajiwa kama sehemu ya mpango mpana wa kuboresha kikosi.

View attachment 3547682
Foffana 80+M, waliohusika kwenye hili deal walipiga pesa za wazembe 😂

Huyo nae gittens nae waliohusika matapel tuu
 
Kwanamna nilivyoona tunacheza binafsi siwezi kumlaumu kocha kabisa. Liam yuko vizuri tu ila wachezaji wetu ndio tatizo na ana kazi kubwa ya kufanya hapo

nae ana shida yake kiasi.. bado hajaweza kuwa combine enzo na palmer wacheze pamoja ikiwa ataendelea na mido ya caicedo na santos.
 
nae ana shida yake kiasi.. bado hajaweza kuwa combine enzo na palmer wacheze pamoja ikiwa ataendelea na mido ya caicedo na santos.
Liam kafanya kazi na Santos msimu uliopita na akamfaidisha sana kwa kuwa sehemu muhimu ya mafanikio yake mwaka jana. Nilitegemea hiki nachokiona sasa hivi.

Tatizo lililopo Palmer chini ya Maresca alicheza namba 10 sasa hivi hana namna inabidi acheze nafasi yake iliyomtambulisha halafu Santos na Enzo wacheze midfield. Haya mambo utekelezaji wake unachukua muda na haya ndio matatizo ya kubadilisha makocha.
 
Liam kafanya kazi na Santos msimu uliopita na akamfaidisha sana kwa kuwa sehemu muhimu ya mafanikio yake mwaka jana. Nilitegemea hiki nachokiona sasa hivi.

Tatizo lililopo Palmer chini ya Maresca alicheza namba 10 sasa hivi hana namna inabidi acheze nafasi yake iliyomtambulisha halafu Santos na Enzo wacheze midfield. Haya mambo utekelezaji wake unachukua muda na haya ndio matatizo ya kubadilisha makocha.
Rosenior Hana Shida Yeyote
Starting XI yake nzuri kabisa, very strong kulingana na viwango vilivyoko Chelsea
Shida naona hawa wachezaji saa nyingine wanahitaji kocha mkali. Maresca alikuwa saa nyingine yuko sawa kwenye ufahidhina wake.
Huwezi kukuta timu inacheza vizuri na kufunga goli zuri halafu from nowhere inaanza kucheza rubish kilege lege.
Wakati wakiamua kucheza kitimu tunapata ushindi. Mfano tulipocheza na Napoli.
Ila wakianza kucheza much know sana kila forward anataka kufunga ili aonekane superstar ndipo tunapoanza kuanguka
Hawa wachezaji wasipojitoa na kucheza kwa mfano basi tena.
  1. Palmer
  2. Enzo
  3. Neto
  4. Caicedo - Anajitahidi
  5. Santos
  6. Fofana
  7. Chalobah
  8. James
  9. Sanchez
 
Wanetu mmpambane walau big 4 muione, villa king'ang'anizi, utd anajipata, Liverpool ameanza kuzinduka. ....

Msije mkaishia conference league
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom