Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liam kafanya kazi na Santos msimu uliopita na akamfaidisha sana kwa kuwa sehemu muhimu ya mafanikio yake mwaka jana. Nilitegemea hiki nachokiona sasa hivi.

Tatizo lililopo Palmer chini ya Maresca alicheza namba 10 sasa hivi hana namna inabidi acheze nafasi yake iliyomtambulisha halafu Santos na Enzo wacheze midfield. Haya mambo utekelezaji wake unachukua muda na haya ndio matatizo ya kubadilisha makocha.
Rosenior Hana Shida Yeyote
Starting XI yake nzuri kabisa, very strong kulingana na viwango vilivyoko Chelsea
Shida naona hawa wachezaji saa nyingine wanahitaji kocha mkali. Maresca alikuwa saa nyingine yuko sawa kwenye ufahidhina wake.
Huwezi kukuta timu inacheza vizuri na kufunga goli zuri halafu from nowhere inaanza kucheza rubish kilege lege.
Wakati wakiamua kucheza kitimu tunapata ushindi. Mfano tulipocheza na Napoli.
Ila wakianza kucheza much know sana kila forward anataka kufunga ili aonekane superstar ndipo tunapoanza kuanguka
Hawa wachezaji wasipojitoa na kucheza kwa mfano basi tena.
  1. Palmer
  2. Enzo
  3. Neto
  4. Caicedo - Anajitahidi
  5. Santos
  6. Fofana
  7. Chalobah
  8. James
  9. Sanchez
 
Wanetu mmpambane walau big 4 muione, villa king'ang'anizi, utd anajipata, Liverpool ameanza kuzinduka. ....

Msije mkaishia conference league
 
Kwani draw tyr imefanyika?
HCKVPAhWUAAnIp-.jpg
 
Hii ndo raha ya EPL

Mzunguko wa pili mambo hua tofauti sana, tusishangae wolves akabaki Kwenye ligi.
 
Hii ndo raha ya EPL

Mzunguko wa pili mambo hua tofauti sana, tusishangae wolves akabaki Kwenye ligi.
Mathematically wanaweza ila logically hawataweza
Mechi 9 bado
Wakizidi sana watashinda mechi 3
Droo 2
Kufungwa 5
Points 11
Jumla ya points 13+11 = 24
Rival wao wa kushuka daraja kati ya wawili mmoja tayari ana points 25 ambao ni Westham
Wolves sasa hivi wao wanacheza EPL for fun only
 
Kesho Mazagazaga fc kama kawaida yetu kuruka ruka na kukanyagana uwanjani. kipigo hakikwepeki.
ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa
 
ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa
Bahati nzur kesho mimi sitaweza kuangalia hii gamu kwa sababu za kiufundi 😂 🤣
 
ARsenal nimewaona game yao kiukweli ni wagumu sana. Ila hiyo sio ngao pekee itakayofanya tushindwe. Tunahitaji kutumia vizuri chance tunazotengeneza otherwise tunaenda kumtengenezea njia nzuri kubeba ubingwa kitu ambacho kwetu sio story nzuri kabisa
Wanaugumu gani bana we, viazi tu hao.game zote tumecheza nao tunawatawala kila kitu isipokua tu kushinda,wanapata kona zao za vurugu zile wanashinda.
Hao viazi wako wanaingia safari hii wanataka kushinda game, hiyo ndio hukumu yao. Wakufunguka tu wanaacha mapaja wazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom