lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,692
- 25,907
Rosenior Hana Shida YeyoteLiam kafanya kazi na Santos msimu uliopita na akamfaidisha sana kwa kuwa sehemu muhimu ya mafanikio yake mwaka jana. Nilitegemea hiki nachokiona sasa hivi.
Tatizo lililopo Palmer chini ya Maresca alicheza namba 10 sasa hivi hana namna inabidi acheze nafasi yake iliyomtambulisha halafu Santos na Enzo wacheze midfield. Haya mambo utekelezaji wake unachukua muda na haya ndio matatizo ya kubadilisha makocha.
Starting XI yake nzuri kabisa, very strong kulingana na viwango vilivyoko Chelsea
Shida naona hawa wachezaji saa nyingine wanahitaji kocha mkali. Maresca alikuwa saa nyingine yuko sawa kwenye ufahidhina wake.
Huwezi kukuta timu inacheza vizuri na kufunga goli zuri halafu from nowhere inaanza kucheza rubish kilege lege.
Wakati wakiamua kucheza kitimu tunapata ushindi. Mfano tulipocheza na Napoli.
Ila wakianza kucheza much know sana kila forward anataka kufunga ili aonekane superstar ndipo tunapoanza kuanguka
Hawa wachezaji wasipojitoa na kucheza kwa mfano basi tena.
- Palmer
- Enzo
- Neto
- Caicedo - Anajitahidi
- Santos
- Fofana
- Chalobah
- James
- Sanchez