Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi zote tulizokutana hivi karibuni Chelsea kapiga mpira mkubwa zaidi ya Arsenal ila kinachotucost nikutotumia nafasi vizuri
Asante kwa kuliona hilo, ni uzembe wa wachezaji wetu kutokua makini wanapambana halafu wanakuja kufungwa kizembe kbs. ila sio kwamba eti hao viazi ni wakaaali kama anavyosema jamaa.
 
Wanetu kazeni matracle mshinde, wafungeni hawa mbwa Arsenal..

Kikosi kiko poa ila beki mko uchi kabisa... hakuna kitu...

Kazeni basi !
 
Average age ya kikosi cha Arsenal kilichoanza leo ni miaka 26. Average age ya kikosi cha Chelsea ni miaka 23.

Si ajabu hiki ninachokiona leo
 
🤣🤣🤣 Ila michezaji ya Chelkenge ina ufala mwingi sana, ikishafika mbele inalainika utafikiri imepakwa mafuta ya nazi kwenye masabuli.
Kenge kabisa nyinyi.
 

Attachments

  • 1747661742053.jpg
    1747661742053.jpg
    98.7 KB · Views: 2
Pedro neto h mechi alikuwa anarukaruka tuu ila hii red card ameonewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom