Sioni kipya kocha alichokuja nacho ni maresca V2 unless uniambie wachezaji wote ni below averageSioni kosa la Liam Rosenior kwenye hizi mechi Chelsea anaboronga
Naona tu wachezaji wa Chelsea masihara hapa na pale
Faulu za kijinga jinga tu bila kuchukua tahadhari
Neto ndani ya dk 3 kadi mbili za njano
Chelsea imeshindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal
Wachezaji wa Chelsea ni wasanii sana
Wanpotakiwa kuchukua hatua hawafanyi maamuzi
Kona za kijinga unafungwa kiasi hicho, huyo kocha wa set pieces anakula mshahara wa bure tu
Na kama uwezo wake wa kuhamasisha wachezaji ndio huu basi tunamaliza chini ya Brentford