Asante kwa kuliona hilo, ni uzembe wa wachezaji wetu kutokua makini wanapambana halafu wanakuja kufungwa kizembe kbs. ila sio kwamba eti hao viazi ni wakaaali kama anavyosema jamaa.Mechi zote tulizokutana hivi karibuni Chelsea kapiga mpira mkubwa zaidi ya Arsenal ila kinachotucost nikutotumia nafasi vizuri