Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,021
- 125,807
Chelkenge n wapuuzi tuu ila refa nae katuua h mechi.Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.
Leo kisingizio eti refa
Chelkenge n wapuuzi tuu ila refa nae katuua h mechi.Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.
Leo kisingizio eti refa
Chelsea kinara wa kadi nyekundu Epl 25/26Zama za Mrusi game za Arsenal zilikuwa boys vs mens(Chelsea) sasa hivi sisi ndio tumekuwa boys fighting spirit hakuna tena wachezaji wanao win duels ni caseido na James pekee wengine ni mayai mayai ajabu sasa timu imejaa kadi nyekundu nyepesi
Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.
Leo kisingizio eti refa
Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.
Leo kisingizio eti refa
Kwa uchezaji huu hatutawaweza Arsenal maadam tu refa na VAR wao wanaona sawa
Wachezaji wanashikwa wasisogee na mbaya zaidi Declan Rice pamoaj na kumkamata Hato asiucheze huo mpira wa kona, alidhubutu pia kupiga kwa mkono ili tu aondoe kwa Hato na VAR wao wakanyamazia
View attachment 3550741
View attachment 3550736View attachment 3550737View attachment 3550738
So hii maana yake nini? Penati au?
Pambaneni mchukue.Njia pekee ya Chelsea kutubu kutokana na “dhambi” zake kwa kufanya vibaya kwenye ligi ni kwa njia moja tu:
kuchukua Kombe la Mabingwa Ulaya.
Maana siwaoni wakimaliza top 7
View attachment 3550942
Cry more 😅Arsenal dhaifu walicheza 12 na kuwafunga Chelsea ambao kwa kweli hawako serious. Sijui hata wachezaji wanawaza wanataka nini kwenye hii ligi
Arsenal man of the match huyu hapa: anaitwa Darren England
View attachment 3550733
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
Si unaona amemkumbatia ni mkewe huyo?So hii maana yake nini? Penati au?
Tutakuja jirani mtupe na mbwinu za kuwahonga marefa.Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠