Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kushindwa kwa Chelsea hayapo kwa Liam Rosenior.

Wachezaji hawa wanazima data uwanjani kila mara - faulo za kipumbavu, sifuri, na Neto anafanya faulu na kupewa kadi ya njano mbili ndani ya dakika tatu.

Kushindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal inasema yote.
Je, kocha huyo wa set pieces analipwa ya nini? Tulikuwa na kona 10 na tukafunga bao moja. Walikuwa na kona 5 na kufunga mabao mawili.
 
Chelkengee,
Yanamacendeee,
Kumbe macengeeee,
Nyinyi ng'ombe kabisaaa.
 

Attachments

  • 1772390091928.jpg
    1772390091928.jpg
    131.9 KB · Views: 4
Sioni kosa la Liam Rosenior kwenye hizi mechi Chelsea anaboronga
Naona tu wachezaji wa Chelsea masihara hapa na pale
Faulu za kijinga jinga tu bila kuchukua tahadhari
Neto ndani ya dk 3 kadi mbili za njano
Chelsea imeshindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal
Wachezaji wa Chelsea ni wasanii sana
Wanpotakiwa kuchukua hatua hawafanyi maamuzi
Kona za kijinga unafungwa kiasi hicho, huyo kocha wa set pieces anakula mshahara wa bure tu
Sioni kipya kocha alichokuja nacho ni maresca V2 unless uniambie wachezaji wote ni below average
Na kama uwezo wake wa kuhamasisha wachezaji ndio huu basi tunamaliza chini ya Brentford
 
Arsenal dhaifu walicheza 12 na kuwafunga Chelsea ambao kwa kweli hawako serious. Sijui hata wachezaji wanawaza wanataka nini kwenye hii ligi

Arsenal man of the match huyu hapa: anaitwa Darren England
1772390780311.png
 
Kwa uchezaji huu hatutawaweza Arsenal maadam tu refa na VAR wao wanaona sawa
Wachezaji wanashikwa wasisogee na mbaya zaidi Declan Rice pamoaj na kumkamata Hato asiucheze huo mpira wa kona, alidhubutu pia kupiga kwa mkono ili tu aondoe kwa Hato na VAR wao wakanyamazia



1772391485536.png
1772391494769.png
1772391554554.png
 
Zama za Mrusi game za Arsenal zilikuwa boys vs mens(Chelsea) sasa hivi sisi ndio tumekuwa boys fighting spirit hakuna tena wachezaji wanao win duels ni caseido na James pekee wengine ni mayai mayai ajabu sasa timu imejaa kadi nyekundu nyepesi
 
Kila tukiwapiga wanasema hakuepo yule ama huyu.

Leo kisingizio eti refa
 
Kushindwa kwa Chelsea hayapo kwa Liam Rosenior.

Wachezaji hawa wanazima data uwanjani kila mara - faulo za kipumbavu, sifuri, na Neto anafanya faulu na kupewa kadi ya njano mbili ndani ya dakika tatu.

Kushindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal inasema yote.
Je, kocha huyo wa set pieces analipwa ya nini? Tulikuwa na kona 10 na tukafunga bao moja. Walikuwa na kona 5 na kufunga mabao mawili.
Week mbili nyuma unatamani Chelsea icheze kama Arsenal week hii Arsenal ni timu dhaifu.

Wiki zote Arsenal inashine
 
Zama za Mrusi game za Arsenal zilikuwa boys vs mens(Chelsea) sasa hivi sisi ndio tumekuwa boys fighting spirit hakuna tena wachezaji wanao win duels ni caseido na James pekee wengine ni mayai mayai ajabu sasa timu imejaa kadi nyekundu nyepesi
Chelsea kinara wa kadi nyekundu Epl 25/26
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom