Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Zama za Mrusi game za Arsenal zilikuwa boys vs mens(Chelsea) sasa hivi sisi ndio tumekuwa boys fighting spirit hakuna tena wachezaji wanao win duels ni caseido na James pekee wengine ni mayai mayai ajabu sasa timu imejaa kadi nyekundu nyepesi
Chelsea kinara wa kadi nyekundu Epl 25/26
 
😠😠😠 Chelkenge mkitumwa kufanya kazi mue mnasikiliza maelekezo umbwa nyie.
 

Attachments

  • 1772394345891.jpg
    1772394345891.jpg
    110.2 KB · Views: 20
Leo hii ghafla Chelsea haijui kwamba kuna ball hand na hand ball. Hawajui kwamba hua inaangaliwa dhamira kabla ta kuucheza mpira.

Our bitches
 
Hawa chelkenge huwa tunajipigia tu imagine huu msimu tumekutana mara 4 na wameshinda kutufunga hata mara moja😅

Hovyo kabisa
 
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
 
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu ambacho ni ndoto za alinacha....poleni majirani🤠🤠
Tutakuja jirani mtupe na mbwinu za kuwahonga marefa.
 
20260302_003045.jpg

Arsenal wamebebwa ila hata sisi ni misukule tulitakiwa tuwatandike hivyo hivyo na refa wao, tulikua tumeshawaziba pumzi kbs. kuwa na michezaji mi senge senge kama Delap!! ndio imetufikisha hapa, angekua Jackon hapo.
20260302_003045.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom