lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Kushindwa kwa Chelsea hayapo kwa Liam Rosenior.
Wachezaji hawa wanazima data uwanjani kila mara - faulo za kipumbavu, sifuri, na Neto anafanya faulu na kupewa kadi ya njano mbili ndani ya dakika tatu.
Kushindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal inasema yote.
Je, kocha huyo wa set pieces analipwa ya nini? Tulikuwa na kona 10 na tukafunga bao moja. Walikuwa na kona 5 na kufunga mabao mawili.
Wachezaji hawa wanazima data uwanjani kila mara - faulo za kipumbavu, sifuri, na Neto anafanya faulu na kupewa kadi ya njano mbili ndani ya dakika tatu.
Kushindwa kuifunga timu dhaifu ya Arsenal inasema yote.
Je, kocha huyo wa set pieces analipwa ya nini? Tulikuwa na kona 10 na tukafunga bao moja. Walikuwa na kona 5 na kufunga mabao mawili.