Hata kama tungeshinda mechi hii na ya Leeds bado top 5 ni ndoto kwa fixture za mwezi April na MayNyinyi mtabaki tp four kweli kwa mwendo huu?
Hata kama tungeshinda mechi hii na ya Leeds bado top 5 ni ndoto kwa fixture za mwezi April na MayNyinyi mtabaki tp four kweli kwa mwendo huu?
EPL kweli ni ngumu ila sio kwa mechi hii ni vile tu siku hizi mediocre players wamejaa kwenye timu zinazojiita za daraja la juuEpl hakuna mnyonge. .... intensity iko juu sana ! Ndio maan ni league best in the world!
Poleni majirani, sisi tunafurahi tukiona kibanda cha mwenzetu kinaungua
Kocha mwenyewe jinga kabisa, yaani baada ya red card kafanya sub za kipuuzi, angetuliza wenge ata bila sub wangekula hat mbili.EPL kweli ni ngumu ila sio kwa mechi hii ni vile tu siku hizi mediocre players wamejaa kwenye timu zinazojiita za daraja la juu
Next match bro hatuwezi kuwa na Standard na Arsenal maana tukifanya hivyo hatutabeba makombe tena 🤣Arsenal ndiyo standard au siyo
Tatizo wachezaji waliacha kukaza baada tu ya kufunga goli. wamekuwa legelege sana. Sub ya Tosin ilikuwa ya kipumbavu sana. Hakukuwa pia na haja ya sub ya Josh kwa James.Kocha mwenyewe jinga kabisa, yaani baada ya red card kafanya sub za kipuuzi, angetuliza wenge ata bila sub wangekula hat mbili.
Hawa Burnley ni wabovu kupita kiasi. Tumeshindwa kuwafunga basi tena, hizi mechi 11 zilizobaki ndio zitakuwa rahisi kweli?Epl hakuna mnyonge. .... intensity iko juu sana ! Ndio maan ni league best in the world!
Poleni majirani, sisi tunafurahi tukiona kibanda cha mwenzetu kinaungua
Kocha jinga siyo?Kocha mwenyewe jinga kabisa, yaani baada ya red card kafanya sub za kipuuzi, angetuliza wenge ata bila sub wangekula hat mbili.
Kuna interview alihojiwa Liam juu ya kukutana na Arsenal FA akajibu hatamani kukutana na Arsenal kwakua atafungwa kwa mara ya tatu na haitapendeza.Next match bro hatuwezi kuwa na Standard na Arsenal maana tukifanya hivyo hatutabeba makombe tena 🤣
Halafu akamalizia sub yake na DELAP!! dah!Tatizo wachezaji waliacha kukaza baada tu ya kufunga goli. wamekuwa legelege sana. Sub ya Tosin ilikuwa ya kipumbavu sana. Hakukuwa pia na haja ya sub ya Josh kwa James.
Kama Arteta tu.Kocha jinga siyo?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kama Arteta tu.
Kocha hadi sasa hajapoteza mechi za ligi, kila mtu atashinda mechi zake, wew ena timu yako je?😂😂😂 Kenge za darajani zimeanza kuharisha damu.
Hivi wazee mpo serious kweli na top 4 au mmeridhika wenyewe na conference league?
Kwa hii fixtures yenu ya kumaliza naona kabisa mna kila dalili ya kumfukuza kocha.
Sahihi mkuu .... sijui ni ngekewa ama ni nini .... wachezaji wa kawaida sana wapo hizi timu zetu kubwaEPL kweli ni ngumu ila sio kwa mechi hii ni vile tu siku hizi mediocre players wamejaa kwenye timu zinazojiita za daraja la juu
Ni kweli mna fixture ngumu, ila Epl haitabiriki...unaweza kuvuna points kwenye mechi ngumu, zile nyepesi ukabanwa mbavuHawa Burnley ni wabovu kupita kiasi. Tumeshindwa kuwafunga basi tena, hizi mechi 11 zilizobaki ndio zitakuwa rahisi kweli?
- Arsenal
- Aston Villa
- Newcastle United
- Everton
- Manchester City
- Manchester United
- Brighton & Hove Albion
- Nottingham Forest
- Liverpool
- Tottenham Hotspur
- Sunderland
Kwahiyo akiendelea na ujinga huyu Liam msimu ujao na yeye atashika nafasi ya kwanza?Kama Arteta tu.
🤣🤣🤣 Mkuu ile nafasi ya pili sisi tunaitaka kwa udi na uvumba, haiwezekani Arsenyau msimu wa 4 mfulululizo wanaitia unajisi hio nafasi halafu sisi tunawaangalia tu.Kocha hadi sasa hajapoteza mechi za ligi, kila mtu atashinda mechi zake, wew ena timu yako je?
Arsenal bingwa hata kama hatupendi🤣🤣🤣 Mkuu ile nafasi ya pili sisi tunaitaka kwa udi na uvumba, haiwezekani Arsenyau msimu wa 4 mfulululizo wanaitia unajisi hio nafasi halafu sisi tunawaangalia tu.
Niliwategemea ndugu zangu mpambane walau hata mchukue nafasi ya 3 ili Arsenyau apambanie nafasi ya 4 ila nawaona kabisa mnaniangusha.