Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimemuangalia Romeo Lavia kwenye mechi yake na Leeds under 21 oya jamaa ni machine ile mbaya hii ndio sababu kwanini Chelsea haimuuzi huyu jamaa amecheza Kama vile hajatoka kwenye majeraha na ndio Yuko hivyo. Ujui wake utafanya pia Caicedo awe anapumzishwa maana kacheza mechi nyingi sana mpaka za Carabao

WELCOME BACK MY FAVORITE PLAYER
 
romeo-lavia-chelsea-premier-league-953726879.webp
 
View attachment 3546742
We’re proud to announce that IFS is now the Principal Partner of the current FIFA Club World Cup Champions, ChelseaFC on a multi-year deal. IFS will also be the club’s Official Front-of-Shirt Sponsor through the 2025/26 season.
Hivi kwanini huwa Wana wanawapa mkataba mfupi wadhamini wakuu kwenye jezi?
 
Hakuna Estêvão Willian na Cucurella amejeruhiwa, kwa hiyo Gusto atacheza kama LB huku Jorrel Hato akiwa benchi.


1771686053955.png
 
Kwa aina hii ya uchezaji, hatuwezi kuwashinda Arsenal. Imethibitishwa.
FT
Chelsea 1 - 1 Burnley
 
Epl hakuna mnyonge. .... intensity iko juu sana ! Ndio maan ni league best in the world!
Poleni majirani, sisi tunafurahi tukiona kibanda cha mwenzetu kinaungua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom