Nimemuangalia Romeo Lavia kwenye mechi yake na Leeds under 21 oya jamaa ni machine ile mbaya hii ndio sababu kwanini Chelsea haimuuzi huyu jamaa amecheza Kama vile hajatoka kwenye majeraha na ndio Yuko hivyo. Ujui wake utafanya pia Caicedo awe anapumzishwa maana kacheza mechi nyingi sana mpaka za Carabao
WELCOME BACK MY FAVORITE PLAYER
WELCOME BACK MY FAVORITE PLAYER