Huwa akirudi anakiwasha hiko ndicho nampendeaKwamba huyu jamaa ana miaka chini ya 21 😂 haya
Huwa akirudi anakiwasha hiko ndicho nampendeaKwamba huyu jamaa ana miaka chini ya 21 😂 haya
Si anatestiwa mitambo baada ya kupata injury huyo player ni mwamba haswa utaona shughuli yake na ndio maana Chelsea Wana Imani naeKwamba huyu jamaa ana miaka chini ya 21 😂 haya
Hata sijui kwanini wakati zamani ilikua tifauti!! Kama Sumsung tulikaa nayo mpk basii.Hivi kwanini huwa Wana wanawapa mkataba mfupi wadhamini wakuu kwenye jezi?
Anakiwasha game mbili anarudi kitandani, unampendea nini msimu una game mbili?Huwa akirudi anakiwasha hiko ndicho nampendea
Arsenal ndiyo standard au siyoKwa aina hii ya uchezaji, hatuwezi kuwashinda Arsenal. Imethibitishwa.
FT
Chelsea 1 - 1 Burnley
Hata darasani unajipima na kilaza mwenzio, ulitaka aseme City?Arsenal ndiyo standard au siyo
Siku hizi jf tunaingia bila vpn?Hata darasani unajipima na kilaza mwenzio, ulitaka aseme City?
Aseme anayemhusudu kwa performanceHata darasani unajipima na kilaza mwenzio, ulitaka aseme City?
Hata kama tungeshinda mechi hii na ya Leeds bado top 5 ni ndoto kwa fixture za mwezi April na MayNyinyi mtabaki tp four kweli kwa mwendo huu?
EPL kweli ni ngumu ila sio kwa mechi hii ni vile tu siku hizi mediocre players wamejaa kwenye timu zinazojiita za daraja la juuEpl hakuna mnyonge. .... intensity iko juu sana ! Ndio maan ni league best in the world!
Poleni majirani, sisi tunafurahi tukiona kibanda cha mwenzetu kinaungua
Kocha mwenyewe jinga kabisa, yaani baada ya red card kafanya sub za kipuuzi, angetuliza wenge ata bila sub wangekula hat mbili.EPL kweli ni ngumu ila sio kwa mechi hii ni vile tu siku hizi mediocre players wamejaa kwenye timu zinazojiita za daraja la juu
Next match bro hatuwezi kuwa na Standard na Arsenal maana tukifanya hivyo hatutabeba makombe tena 🤣Arsenal ndiyo standard au siyo
Tatizo wachezaji waliacha kukaza baada tu ya kufunga goli. wamekuwa legelege sana. Sub ya Tosin ilikuwa ya kipumbavu sana. Hakukuwa pia na haja ya sub ya Josh kwa James.Kocha mwenyewe jinga kabisa, yaani baada ya red card kafanya sub za kipuuzi, angetuliza wenge ata bila sub wangekula hat mbili.