Sababu ya kutocheza janaHakuna Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Chelsea vs Arsenal
4-2-3-1
------Marc Guiu--------
Neto --- Joa Pedro -- Estevao
--Enzo ---Santos--
Cucurella--Chalobah--Fofana--Josh
----------Sanchez---------
Subs:
1) Jourgensen
2) Badiashile
3) Tosin
4) Hato
5) Esugo
6) Buonanotte
7) Garnacho
8) George
9) Mheuka
Mkuu hata wangekuwepo hao wachezaji tungefungwa tu na Arsenal. Kuna mechi tumecheza na Arsenal wapo hao wachezaji na bado tukashindwa kupata points. Sababu ni nini wamiliki hawaumii kama sisi tunavyoumia wao wanaangalia zaudi biashara yao. Kuanzia maandalizi ya timu na maono yao kwa makocha na wachezaji haileti mwanga kwamba kuna siku za neema tuzingojee.Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyewe
Hakukuwa na Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Arsenal walichezesha kikosi chao kamili. Naamini wakiwemo wachezaji muhimu na tukacheza kama leo na Sanchez akaacha ukichaa wake tutaifunga Arsenal hata nyumbani kwao
Huo ushindi mnautolea wapi mkuu....jana ndo mmeaga mashindano rasmi....jaribuni Tena FA cup huko labda....ila ule mpira mnaocheza sasahivi hautakaa uwapeleke popote....Sanchez atawachomesha sana ...hawezi kufanya build up kutoka nyuma...ana wenge sana yule mwambaTunahitaji kushinda kwa tofauti ya goli mbili ili tukacheze fainali na Man City. Kama itakua ni goli 1 basi tunaenda dakika 30 za nyongeza.
We bwege upo??🤠🤠....sasa Wacha nikutabirie kitu kingine....hyu Kocha wenu miwani Hana mda mrefu pale EPL mtamtimua....ule mpira mnaocheza kutokea nyuma kitawalamba sana....labda mtafute golikipa wa kueleweka ...sio Sanchez....nyinyi bdo watoto wadogo sana mbele yetuMsisahau kwnye kikosi chenu asikosekane Skelly jana game na liva kaupga mwingi sana mpk nikamkumbuka Salah alipaswa awepo jana game ingekua ya moto zaidi.
Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadrooMkuu hata wangekuwepo hao wachezaji tungefungwa tu na Arsenal. Kuna mechi tumecheza na Arsenal wapo hao wachezaji na bado tukashindwa kupata points. Sababu ni nini wamiliki hawaumii kama sisi tunavyoumia wao wanaangalia zaudi biashara yao. Kuanzia maandalizi ya timu na maono yao kwa makocha na wachezaji haileti mwanga kwamba kuna siku za neema tuzingojee.
Labda mfunge kula mkuu....siku mtakapokubali ukweli kwmba muache kujipa matumaini hewa na kujenga timu ya ukweli hapo ndo mtakapokuja kufanikiwa....vngnevyo amkeni kwny hzo ndoto kabla hamjachafua mashuka kwa mikojo ndugu zetuMkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo
Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.
Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Mshindwe kuzifuka Brighton na Brentford mkiwa nyumbani kwenu ndo me muifunge Arsenal Emirates.Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyewe
Hakukuwa na Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Arsenal walichezesha kikosi chao kamili. Naamini wakiwemo wachezaji muhimu na tukacheza kama leo na Sanchez akaacha ukichaa wake tutaifunga Arsenal hata nyumbani kwao
Kwa heri mwalimu. Futa ubao. TumeshatolewaTunahitaji kushinda kwa tofauti ya goli mbili ili tukacheze fainali na Man City. Kama itakua ni goli 1 basi tunaenda dakika 30 za nyongeza.
Hizi zako ni ndoto nyevu tuMkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo
Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.
Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Mkuu nimeishuhudia Chelsea yangu katika nyakati tofauti tofauti. Ninachoandika hapa sio chuki naipenda Chelsea kuliko timu yoyote bara la ulaya. Kinachoendelea sasa ivi hakina tofauti yoyote na kilichowahi kufanyika toka hawa wanunue timu kwa Roman.Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo
Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.
Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Ninachozungumza hapa ni kwamba. Mwenendo huu unaoendelea sasahivi ni taratibu culture yetu inapotea mbele yetu. Haya makombe tunayobeba ya mechi 6-9 yanatufumba tusahau kinachobaki ni ili mradi tunabeba makombe. Ila consistency tunapotezaMkuu nimeishuhudia Chelsea yangu katika nyakati tofauti tofauti. Ninachoandika hapa sio chuki naipenda Chelsea kuliko timu yoyote bara la ulaya. Kinachoendelea sasa ivi hakina tofauti yoyote na kilichowahi kufanyika toka hawa wanunue timu kwa Roman.
Hatujawahi kuwa wanyonge kiasi hiki kwa Arsenal au timu yoyote. Hayo makosa unayoongelea yatarekebishwa kesho utashangaa siku ya fainali yanajirudia tena. Kwasababu uongozi umebadilika hawajui machungu na furaha juu ya kile tunachopitia.
Tumekuwa wa hovyo sanaNinachozungumza hapa ni kwamba. Mwenendo huu unaoendelea sasahivi ni taratibu culture yetu inapotea mbele yetu. Haya makombe tunayobeba ya mechi 6-9 yanatufumba tusahau kinachobaki ni ili mradi tunabeba makombe. Ila consistency tunapoteza
😀😃😄