Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Garnacho alikuwa wa moto usiku wa jana dhidi ya Arsenal kwenye nusu fainali ya Carabao Cup mechi ya kwanza. Dakika 33, magoli 2, rating 9.2. Alikuwa wa tofauti kabisa.

1768458019824.png
 
Hakuna Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap

Chelsea vs Arsenal

4-2-3-1

------Marc Guiu--------

Neto --- Joa Pedro -- Estevao

--Enzo ---Santos--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Josh

----------Sanchez---------
Subs:
1) Jourgensen
2) Badiashile
3) Tosin
4) Hato
5) Esugo
6) Buonanotte
7) Garnacho
8) George
9) Mheuka
Sababu ya kutocheza jana

1) Cole Palmer - - Had a minor thigh strain; the game came too early for him. Expected back in training on Friday.
2) Reece James - Had a painful knock on his hip; it was too sore for him to play.
3) Jamie Gittens - fell sick (Fever/high temperature) the night before kickoff
4) Malo Gusto - He was ill
5) Moises Caicedo - Suspended
6) Liam Delap - fell sick (Fever/high temperature) four hours before kickoff
 
Ndo ivo kijana wetu Cole mabaridi ameshakuwa injury prone? Mna kumbukumbu lini mara ya mwisho amecheza mechi 10 consecutively ??? Sitaki kuzungumzia kiwango chake hata hzo mechi mbili moja wodini......

Hamna timu hapa.... kocha tapeli huyu, bora mngebaki na kichwa ngumu maresca alikuwa ameshaanza kuweka mifumo na miundo flani flani
 
Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyewe
Hakukuwa na Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Arsenal walichezesha kikosi chao kamili. Naamini wakiwemo wachezaji muhimu na tukacheza kama leo na Sanchez akaacha ukichaa wake tutaifunga Arsenal hata nyumbani kwao
Mkuu hata wangekuwepo hao wachezaji tungefungwa tu na Arsenal. Kuna mechi tumecheza na Arsenal wapo hao wachezaji na bado tukashindwa kupata points. Sababu ni nini wamiliki hawaumii kama sisi tunavyoumia wao wanaangalia zaudi biashara yao. Kuanzia maandalizi ya timu na maono yao kwa makocha na wachezaji haileti mwanga kwamba kuna siku za neema tuzingojee.
 
Tunahitaji kushinda kwa tofauti ya goli mbili ili tukacheze fainali na Man City. Kama itakua ni goli 1 basi tunaenda dakika 30 za nyongeza.
Huo ushindi mnautolea wapi mkuu....jana ndo mmeaga mashindano rasmi....jaribuni Tena FA cup huko labda....ila ule mpira mnaocheza sasahivi hautakaa uwapeleke popote....Sanchez atawachomesha sana ...hawezi kufanya build up kutoka nyuma...ana wenge sana yule mwamba
 
Msisahau kwnye kikosi chenu asikosekane Skelly jana game na liva kaupga mwingi sana mpk nikamkumbuka Salah alipaswa awepo jana game ingekua ya moto zaidi.
We bwege upo??🤠🤠....sasa Wacha nikutabirie kitu kingine....hyu Kocha wenu miwani Hana mda mrefu pale EPL mtamtimua....ule mpira mnaocheza kutokea nyuma kitawalamba sana....labda mtafute golikipa wa kueleweka ...sio Sanchez....nyinyi bdo watoto wadogo sana mbele yetu
 
Mkuu hata wangekuwepo hao wachezaji tungefungwa tu na Arsenal. Kuna mechi tumecheza na Arsenal wapo hao wachezaji na bado tukashindwa kupata points. Sababu ni nini wamiliki hawaumii kama sisi tunavyoumia wao wanaangalia zaudi biashara yao. Kuanzia maandalizi ya timu na maono yao kwa makocha na wachezaji haileti mwanga kwamba kuna siku za neema tuzingojee.
Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo

Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.

Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
 
Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo

Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.

Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Labda mfunge kula mkuu....siku mtakapokubali ukweli kwmba muache kujipa matumaini hewa na kujenga timu ya ukweli hapo ndo mtakapokuja kufanikiwa....vngnevyo amkeni kwny hzo ndoto kabla hamjachafua mashuka kwa mikojo ndugu zetu
 
Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyewe
Hakukuwa na Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Arsenal walichezesha kikosi chao kamili. Naamini wakiwemo wachezaji muhimu na tukacheza kama leo na Sanchez akaacha ukichaa wake tutaifunga Arsenal hata nyumbani kwao
Mshindwe kuzifuka Brighton na Brentford mkiwa nyumbani kwenu ndo me muifunge Arsenal Emirates.
We jamaa unachekesha Sana 😂
 
Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo

Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.

Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Hizi zako ni ndoto nyevu tu
 
Kwenye games 9 za mwisho Chelsea haijapata ushindi dhidi ya Arsenal. Msimu huu wote hakuna timu imeifunga Arsenal Fly Emirates.

Chelsea ilikua serious na Carabao mpaka ikaanzisha first choice keeper. Kwenye kikosi chao wachezaji watatu siyo regular starters, yule Acheampong, Santos na Guiu. Kikosi cha jana cha Chelsea thamani yake kinaizidi cha Arsenal kwa 70Milion unaspend kama mpumbavu.

Waliobaki wengine ni wale better than Rice, better than Saka, better than Saliba na akianza Fofana na Chalobah lazima tupate clean sheet.

Mashabiki wamebarikiwa midomo kuliko akili "Hakuepo Palmer, James, Caicedo" wakiwepo hua wanafanya nini? Tangu 2018 unaburuzwa kazi kutafuta visingizio na kufurahia small victories wakati wenzenu wanasogea mbele.

Mmeshindwa kutufunga tulikua kumi.

Mmetufunga ila umeona Estevao alivyodribble?

What the fvck kubabake?

Kocha ana maneno ya kitoto mara aelezee maana ya manage mara aongelee positives za kipigo. Mwingine aliyeongelea positives za kipigo ni Amorim.

Ajiulize mwenzake yupo wapi
 
Mkuu Chelsea imecheza na Arsenal nyakati tofauti kabisa kwa maana ya wachezaji, makocha na mifumo. Last game tulikuwa 10 men na bado tuliwaenyesha wakadroo

Mechi ya jana goli la kwanza likuwa ni clear offside na errors za Sanchez. May be goli la tatu ndio pekee kulkikuwa na clear move ya Arsenal kufunga goli.

Mechi ya marudiano tutawafunga intesity na wachezaji muhimu wakirudi. Hii ni imani yangu and I am stand correct
Mkuu nimeishuhudia Chelsea yangu katika nyakati tofauti tofauti. Ninachoandika hapa sio chuki naipenda Chelsea kuliko timu yoyote bara la ulaya. Kinachoendelea sasa ivi hakina tofauti yoyote na kilichowahi kufanyika toka hawa wanunue timu kwa Roman.

Hatujawahi kuwa wanyonge kiasi hiki kwa Arsenal au timu yoyote. Hayo makosa unayoongelea yatarekebishwa kesho utashangaa siku ya fainali yanajirudia tena. Kwasababu uongozi umebadilika hawajui machungu na furaha juu ya kile tunachopitia.
 
Mkuu nimeishuhudia Chelsea yangu katika nyakati tofauti tofauti. Ninachoandika hapa sio chuki naipenda Chelsea kuliko timu yoyote bara la ulaya. Kinachoendelea sasa ivi hakina tofauti yoyote na kilichowahi kufanyika toka hawa wanunue timu kwa Roman.

Hatujawahi kuwa wanyonge kiasi hiki kwa Arsenal au timu yoyote. Hayo makosa unayoongelea yatarekebishwa kesho utashangaa siku ya fainali yanajirudia tena. Kwasababu uongozi umebadilika hawajui machungu na furaha juu ya kile tunachopitia.
Ninachozungumza hapa ni kwamba. Mwenendo huu unaoendelea sasahivi ni taratibu culture yetu inapotea mbele yetu. Haya makombe tunayobeba ya mechi 6-9 yanatufumba tusahau kinachobaki ni ili mradi tunabeba makombe. Ila consistency tunapoteza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom