Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyeweMpaka tuseme. Tutaendelea kushonwa kisawasawa.
Sababu ya kutocheza janaHakuna Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Chelsea vs Arsenal
4-2-3-1
------Marc Guiu--------
Neto --- Joa Pedro -- Estevao
--Enzo ---Santos--
Cucurella--Chalobah--Fofana--Josh
----------Sanchez---------
Subs:
1) Jourgensen
2) Badiashile
3) Tosin
4) Hato
5) Esugo
6) Buonanotte
7) Garnacho
8) George
9) Mheuka
Mkuu hata wangekuwepo hao wachezaji tungefungwa tu na Arsenal. Kuna mechi tumecheza na Arsenal wapo hao wachezaji na bado tukashindwa kupata points. Sababu ni nini wamiliki hawaumii kama sisi tunavyoumia wao wanaangalia zaudi biashara yao. Kuanzia maandalizi ya timu na maono yao kwa makocha na wachezaji haileti mwanga kwamba kuna siku za neema tuzingojee.Levi Colwill tayari hatuna na leo hawa hawakuwepo, mlitaka kocha aingie acheze mwenyewe
Hakukuwa na Cole Palmer, Reece James, Jamie Gittens, Malo Gusto, Moises Caicedo, Liam Delap
Arsenal walichezesha kikosi chao kamili. Naamini wakiwemo wachezaji muhimu na tukacheza kama leo na Sanchez akaacha ukichaa wake tutaifunga Arsenal hata nyumbani kwao