bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,576
- 1,936
Chelsea tuko vizuriii... Kombe ni letuu
Hiki ndicho nimekiona style ya uchezaji ya Liam Rosenior haina utofauti na ya maresca ni vile vile ila utofauti wake upo kwenye utekelezaji ya Liam Rosenior ipo sharpness matukio kwa haraka bila kukaa na mpira muda mwingi, risk passes (uthubutu wa kupiga pass za mbele), nimeona pia wachezaji wanapiga sana nje ya box,mpira wake upo direct.Kama umeangalia tupe chambuzi, bado ni kocha maback pass?
🚨 Mwandishi:Hiki ndicho nimekiona style ya uchezaji ya Liam Rosenior haina utofauti na ya maresca ni vile vile ila utofauti wake upo kwenye utekelezaji ya Liam Rosenior ipo sharpness matukio kwa haraka bila kukaa na mpira muda mwingi, risk passes (uthubutu wa kupiga pass za mbele), nimeona pia wachezaji wanapiga sana nje ya box,mpira wake upo direct.
Kingine kuwatumia wachezaji ambao Marseca aliwakataa kabisa kwa sababu zake binafsiHiki ndicho nimekiona style ya uchezaji ya Liam Rosenior haina utofauti na ya maresca ni vile vile ila utofauti wake upo kwenye utekelezaji ya Liam Rosenior ipo sharpness matukio kwa haraka bila kukaa na mpira muda mwingi, risk passes (uthubutu wa kupiga pass za mbele), nimeona pia wachezaji wanapiga sana nje ya box,mpira wake upo direct.
Jana nilitoka safari ya uchovu sana, japo niliingia nyumbani asubuhi ial ilipofika wakati wa kuangalia menchi ile inaanza tu nikasinzia, nakuja kuamka ni dakika ya 89 ilikuwa tayari ni 3-1, mara Pedro Neto kafunga la Nne mara Estevao Willian alimchenga kipa akasabisha penalty mara Enzo Fernandez akafunga goli la 5 kwa penalti na mpira ukaisha kihivyo. So sikuangalia mpira kabisaKama umeangalia tupe chambuzi, bado ni kocha maback pass?
Kama inawalipa wafanyabiashara watajenga. Yan timu yetu inaenda kugeuzwa kama Borrusia Dortmund, Brighton, Ajax.Watujengee kwanza uwanja wa kisasa, tuachane na kiberiti
Mkuu bado mapema sana kuyajua yo Liam. Tumpe muda tuHiki ndicho nimekiona style ya uchezaji ya Liam Rosenior haina utofauti na ya maresca ni vile vile ila utofauti wake upo kwenye utekelezaji ya Liam Rosenior ipo sharpness matukio kwa haraka bila kukaa na mpira muda mwingi, risk passes (uthubutu wa kupiga pass za mbele), nimeona pia wachezaji wanapiga sana nje ya box,mpira wake upo direct.
Hawa wamarekani biashara yao ngumu sana.Kama inawalipa wafanyabiashara watajenga. Yan timu yetu inaenda kugeuzwa kama Borrusia Dortmund, Brighton, Ajax.
Yan ni aina ya timu zipo kwenye ligi kuleta ushindani kidogo ila sio kubeba ubingwa. Wanaibuliwa wachezaji then wanakuja kuuzwa, ikishindikana kuuzwa ndio wanakua wafia timu sasa
Wao walishapiga hesabu zao za miaka 10 mbele. Sisi kimbelembele chetu kuleta mapenzi kwenye timu. Wanabaki kuheshimu mashabiki kwa ajili ya kulinda brand ya timu, kuongeza endorsement, lakini pia kuuza bidhaa zote za Chelsea.Hawa wamarekani biashara yao ngumu sana.
Hayo Mambo mengine ni pamoja na kufanya press na kuwin second balls ni moja ya changamoto tulikuwa tunakosa chini ya Maresca hasa linapokuja tukicheza na team ndogo.Nimependa huyu kocha anajiamini sana na kuniamini kwake kumekuja ni kwasababu tunawachezaji wazuri na hili huwa nawaambia sana watu Chelsea anapoteza games sio kwasababu ana Wachezaji wabaya la hasha ni ile Hali Wachezaji hawana Ari ya upambanaji na ukitaka kuthibitisha tuna Wachezaji wazuri angalia tunapocheza dhidi ya wakubwa Quality tunayoonesha Kuna namna ambavyo Maresca alishindwa kuwajengea Wachezaji target za kuachivu ndio maana viwango vya wachezaji vinabadilika badilika🚨 Mwandishi:
"Wewe na Enzo Maresca mnaonekana kucheza kwa njia inayofanana. Je, itakuwa ni issue ya timu kuimarika zaidi ya kubadilika sana?"
🎙🔵 Liam Rosenior: Hii ni timu iliyoshinda Kombe la Dunia la Klabu. Hiyo ilikuwa miezi mitano iliyopita. Hii ni timu iliyoshinda Conference league mwaka jana. Sisi ni timu nzuri. Sisi ni timu nzuri. Wamefunzwa vyema. Sijafanya siri ya hilo tangu mwanzo.
Kuna mambo mengine kwenye soka zaidi ya mbinu. Mbinu ni kipengele kimojawapo. mpangilio, mifumo, mbinu, yote ni mambo muhimu. Lakini kuna mambo mengine ambayo ninahisi labda tunaweza kuboresha. Na hilo ndilo tutaendelea kulifanyia kazi pamoja na upande wa kimbinu wa mchezo."
Maoni yangu
Mambo hayo mengine anayozungumzia ni:
1) Kuinua ari na molai ya mchezaji
2) Kuwekeza kwa wasaidizi wake na wachezaji hali chanya na mentaliti ya ushindi kila mechi
Haya mambo hayakutusisitizwa sana na Enzo Maresca, aliyebaki kusema tu hii ni timu changa, ni process, tunaweza kushindania makombe baada ya miaka 5 hadi 10. Bora kaondoka hata kama alikuwa anafanya vizuri
😂😂😂Sitaki kumuona Liam Rosenior karibu na mwanamke wangu, ana mazungumzo matamu kupita kiasi" 🤣🤣🤣
Mimi nimemjibu mshikaji hapo aliyetaka uchambuzi wa hiyo mechiMkuu bado mapema sana kuyajua yo Liam. Tumpe muda tu
ukitoka kwenye mfungo lazima kwanza upate kisusio ndipo utafute Big fishAcha kuonea dagaa FA, onea kambale EPL.
Huyu kocha anamapenzi na club na hata ukizingatia pia huwa baadhi mechi amezicheki kipindi cha Enzo Maresca ndio maana ana details za kutosha anajua wapi pakurekebishaRosenior on whether Arsenal in a semi-final is the biggest game of his managerial career:
"Every game I do I do to my maximum, even a pre-season friendly, so I am not looking at it like that. It's just my next game."
Swahili
Rosenior kuhusu kama Arsenal katika nusu fainali ndio mchezo mkubwa zaidi katika maisha yake ya ukocha:
"Kila mechi ninafanya kwa kiwango cha juu, hata mechi ya kirafiki ya pre-season, kwa hivyo siangalii hivyo. Ni mechi yangu inayofuata tu."
View attachment 3529066