Hiki ndicho nimekiona style ya uchezaji ya Liam Rosenior haina utofauti na ya maresca ni vile vile ila utofauti wake upo kwenye utekelezaji ya Liam Rosenior ipo sharpness matukio kwa haraka bila kukaa na mpira muda mwingi, risk passes (uthubutu wa kupiga pass za mbele), nimeona pia wachezaji wanapiga sana nje ya box,mpira wake upo direct.Kama umeangalia tupe chambuzi, bado ni kocha maback pass?