Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wako kwenye hatua za juu za kutaka kumsajili Jérémy Jacquet katika dirisha hili la Januari, na mawasiliano ya awali tayari yamefanyika
Wasifu wake
  • Jina:Jérémy Jacquet
  • Tarehe ya Kuzaliwa: 13 Julai 2005
  • Umri: Miaka 20
  • Uraia: Ufaransa (asili ya Guadeloupe)
  • Mahali alipozaliwa: Bondy, Ufaransa
  • Urefu: 1.90 m
  • Mguu anaotumia zaidi: Kulia
  • Namba ya jezi: 97 (Stade Rennais)
  • Nafasi Anayocheza: Beki wa kati (Centre-Back)
Sifa za ziada:
Kwa urefu wake anamudu sana mipira ya juu
Uwezo wa kupambana ardhini na hewani
Ni mtulivu na anjua kuusoma mchezo
Maamuzi mazuri kwa umri wake
1768600728367.jpeg
 
Chelsea wako kwenye hatua za juu za kutaka kumsajili Jérémy Jacquet katika dirisha hili la Januari, na mawasiliano ya awali tayari yamefanyika
Wasifu wake
  • Jina:Jérémy Jacquet
  • Tarehe ya Kuzaliwa: 13 Julai 2005
  • Umri: Miaka 20
  • Uraia: Ufaransa (asili ya Guadeloupe)
  • Mahali alipozaliwa: Bondy, Ufaransa
  • Urefu: 1.90 m
  • Mguu anaotumia zaidi: Kulia
  • Namba ya jezi: 97 (Stade Rennais)
  • Nafasi Anayocheza: Beki wa kati (Centre-Back)
Sifa za ziada:
Kwa urefu wake anamudu sana mipira ya juu
Uwezo wa kupambana ardhini na hewani
Ni mtulivu na anjua kuusoma mchezo
Maamuzi mazuri kwa umri wake
View attachment 3530869
Chelsea pia pamoja na kumsajili CB wanataka kumsajili kiungo au mshambuliaji fursa ikiruhusu katika dirisha hili la January 2026
@SkySports
 
Wachezaji wazuri wanachukuliwa na timu zingine tu, Semenyo yuleee,basi chukua namba tisa ya Brentford ile lakini wapi
Akifunga dhidi yetu leo, Igor Thiago anaweza kabisa kuwafanya wamiliki wa Chelsea waanze kumfikiria kwa usajili. Tayari amefunga mabao 16 katika mechi 21 alizoanza Brentford; mabao manne tu nyuma ya Haaland aliyefunga 20 katika mechi 21.
 
Chelsea vs Brentford
4-2-3-1
------Joao--------

Garnacho --- Palmer -- Neto

--Enzo ---Caicedo--

Cucurella--Tosin--Chalobah--Jame

----------Sanchez---------
Subs:
1) Jourgensen
2) Acheampong
3) Badiashile
4) Fofana
5) Hato
6) Santos
7) George
8) Delap
9) Guiu
 
Akifunga dhidi yetu leo, Igor Thiago anaweza kabisa kuwafanya wamiliki wa Chelsea waanze kumfikiria kwa usajili. Tayari amefunga mabao 16 katika mechi 21 alizoanza Brentford; mabao manne tu nyuma ya Haaland aliyefunga 20 katika mechi 21.
Ngoja tuone
 
Tunaongoza HT kwa 1-0 ila tumeshushiwa mishale kama nyuki. UZembe wa Brentford na umahiri wa Caicedo ndio umetuokoa

Leo James na Palmer hawako mchezoni, Tosin ni spana mkononi, muda wowote atatutosa
ningemshauri Rosenior afanye mabadiliko aingie Santos badala ya Palmer, Enzo aende mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom