Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kinachojiri Stamford Bridge sasa hivi kabla ya mechi, mashabiki wengi wa Chelsea wamejitokeza kwenye bmaandamano ya kuwataka wamiliki na wakurugenzi waondoke waiachie Chelsea.
#EghbaliOut
#BoehlyOut
#EghbaliMustGo
#ChelseaProtest
#ClearlakeOut
1768657104699.png
1768657067080.png

1768656972860.png
 
Chelsea vs Brentford
4-2-3-1
------Joao--------

Garnacho --- Palmer -- Neto

--Enzo ---Caicedo--

Cucurella--Tosin--Chalobah--Jame

----------Sanchez---------
Subs:
1) Jourgensen
2) Acheampong
3) Badiashile
4) Fofana
5) Hato
6) Santos
7) George
8) Delap
9) Guiu
 
Akifunga dhidi yetu leo, Igor Thiago anaweza kabisa kuwafanya wamiliki wa Chelsea waanze kumfikiria kwa usajili. Tayari amefunga mabao 16 katika mechi 21 alizoanza Brentford; mabao manne tu nyuma ya Haaland aliyefunga 20 katika mechi 21.
Ngoja tuone
 
Tunaongoza HT kwa 1-0 ila tumeshushiwa mishale kama nyuki. UZembe wa Brentford na umahiri wa Caicedo ndio umetuokoa

Leo James na Palmer hawako mchezoni, Tosin ni spana mkononi, muda wowote atatutosa
ningemshauri Rosenior afanye mabadiliko aingie Santos badala ya Palmer, Enzo aende mbele.
 
Tunaongoza HT kwa 1-0 ila tumeshushiwa mishale kama nyuki. UZembe wa Brentford na umahiri wa Caicedo ndio umetuokoa

Leo James na Palmer hawako mchezoni, Tosin ni spana mkononi, muda wowote atatutosa
ningemshauri Rosenior afanye mabadiliko aingie Santos badala ya Palmer, Enzo aende mbele.
Ebu mcheki hap Tosin kwenye build up ya Brentford, mzigo mzito sana. Robert Sánchez analazimika kuiokoa Chelsea kutokana na beki wake mwenyewe; Tosin amekuwa mzigo mkubwa kwa kikosi na anawaweka kwenye hatari mara kwa mara.

 
Mlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.

But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
 
Mlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.

But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
Arsenal mlichoambulia jana ni dakika 96 mkizurura kwenye mapori ya West Bridgford kama watalii wasio na Google Maps, na hamkuweza kupata njia ya kutoka. Bado mkiwa mmechanganyikiwa, mkitafuta “bounce‑back” ambayo haikuwahi kufika. Mwishoni, mlisherehekea tu clean sheet nyingine. Hongereni sana. Leo Aston Villa wanashinda na kufanya gape kuwa 4 points. Nightmare ya Man City inafifia anakuja monster wa Villa Park
 
Arsenal mlichoambulia jana ni dakika 96 mkizurura kwenye mapori ya West Bridgford kama watalii wasio na Google Maps, na hamkuweza kupata njia ya kutoka. Bado mkiwa mmechanganyikiwa, mkitafuta “bounce‑back” ambayo haikuwahi kufika. Mwishoni, mlisherehekea tu clean sheet nyingine. Hongereni sana. Leo Aston Villa wanashinda na kufanya gape kuwa 4 points. Nightmare ya Man City inafifia anakuja monster wa Villa Park
Inabidi uwe haujui mpira kiasi kikubwa mno ili ulichoandika ukiamini kwa nguvu zote.

Mpira siyo hisia. Kuna takwimu. Kuna observation. Kuna historia.

Tumia hivyo vikuongoze.
 
Inabidi uwe haujui mpira kiasi kikubwa mno ili ulichoandika ukiamini kwa nguvu zote.

Mpira siyo hisia. Kuna takwimu. Kuna observation. Kuna historia.

Tumia hivyo vikuongoze.
Wewe huo utumbo unaoandikaga ndii much know sana eh! Arse Anal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom