Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila kwenye makocha waliofanikiwa hawa watoe aiseee Ole Gunnar Solskjær,Julian Nagelsmann & Mikel Arteta. Kupeleka timu big4 ni mafanikio?
🤠🤠🤠....unahaha sana mkuu....ngoja anyanyue kwapa msimu huu ndo uelewe show sasa....tunawakumbusha zimebaki siku kadhaa tukutane tena
 
Niliwahi kusema zike mechi tulizokua tunapoteza kwa complications za Maresca gharama yake ndio hii sasa. Tunaanza round ya pili kwa ugumu wakati ambao timu nyingine zimeshapiga hesabu zao sawasawa. Sisi ndio tunakua wagawa point na top four ndio tushatoka
 
Si
Niliwahi kusema zike mechi tulizokua tunapoteza kwa complications za Maresca gharama yake ndio hii sasa. Tunaanza round ya pili kwa ugumu wakati ambao timu nyingine zimeshapiga hesabu zao sawasawa. Sisi ndio tunakua wagawa point na top four ndio tushatoka
Mwaka juzi jan tulikuwa namba 10 wakati wa Januari
League Position
  • Position: 10th
  • Points: 28
  • Goal Difference: +2
Match Record (21 Games)
  • Played: 21
  • Wins: 8
  • Draws: 4
  • Losses: 9
Mwaka jana January baada ya mechi 21 tulikuwa namba 5 kwa points 37

League Position
  • Position: 5th
  • Points: 37
  • Goal Difference: +15
Match Record (21 Games)
  • Wins: 10
  • Draws: 7
  • Losses: 4
  • Goals: 41 scored, 26 conceded
Mwaka huu January baada ya mechi 21 tuko namba 8 kwa points 31

League Position
  • Position: 8th
  • Points: 31
  • Goal Difference: +10
Match Record (21 Games)
  • Wins: 8
  • Draws: 7
  • Losses: 6
Tumefanya vibaya msimu huu
Mwaka jana Maresca alichaji timu kuanzia March hadi mei mechi kama 14 tlishinda 12
Sijui kama msimu huu tutaweza kuchaji tena na kocha mgeni, mchanga. Changamoto ni kubwa kuliko msimu uliopita
1767866098000.png
 
Unadhani ni rahisi hayo mafanikio. Kuna timu hazijawahi hata kucheza uefa.

Kuna hizo timu kubwa kutokushiriki uefa tu inapoteza thamani.

Jiulize pamoja na Arsenal kutokuchukua ubingwa kwa nini bado inakuwa ni timu bora zaidi.

Usikariri sana.
Kupeleka timu big4 ni mafanikio gani?! Ni utapeli, kama ni hivyo angeorodhesha makocha wote ambao walishapeleka timu big4.

Yaani uulizwe kati ya City na Arsenal ipi bora, useme Arsenal?! Ubora wa Arsenal upo kwnye nini? Kwenye kugombea big4?
 
Amesema kuwa timu inayopigania mataji, ukilinganisha na timu ilipotoka. Mbona huelewi simple logic wewe
Mbona kila timu inaenda kwnye mashindano kushindania mataji?, huyo tapeli kila siku anawadanganya na wameshakua kama mazuzu wake.
 
🤠🤠🤠....unahaha sana mkuu....ngoja anyanyue kwapa msimu huu ndo uelewe show sasa....tunawakumbusha zimebaki siku kadhaa tukutane tena
Nyie kubeba hamuwezi, kama una hivyo fikra zitoe usije ukapata kisukari mana chance y nyie kukosa ni kubwa kuliko kupata.

Ugopa sana kocha anaevaa miwani, mtapgwa mchakae.
 
Nyie kubeba hamuwezi, kama una hivyo fikra zitoe usije ukapata kisukari mana chance y nyie kukosa ni kubwa kuliko kupata.

Ugopa sana kocha anaevaa miwani, mtapgwa mchakae.
Uzuri ni kwmba ndani ya siku chache tunawafata pale kwenu🤠🤠🤠....makonzi ya ulimi ni lazima yatembee....Kocha avae miwani au Dera sisi hayatuhusu....kuwadunda kuko palepale....na safari hii atawatungua Kai mikazo
 
Matokeo ya mechi zilizopita 10 za Chelsea:
🟥 Leeds United 3-1 Chelsea
⬜ Bournemouth 0-0 Chelsea
🟥 Atalanta 2-1 Chelsea
🟩 Chelsea 2-0 Everton
🟩 Cardiff City 1-3 Chelsea
⬜ Newcastle 2-2 Chelsea
🟥 Chelsea 1-2 Aston Villa
⬜ Chelsea 2-2 Bournemouth
⬜ Manchester City 1-1 Chelsea
🟥 Fulham 2-1 Chelsea
 
Uzuri ni kwmba ndani ya siku chache tunawafata pale kwenu🤠🤠🤠....makonzi ya ulimi ni lazima yatembee....Kocha avae miwani au Dera sisi hayatuhusu....kuwadunda kuko palepale....na safari hii atawatungua Kai mikazo
Msisahau kwnye kikosi chenu asikosekane Skelly jana game na liva kaupga mwingi sana mpk nikamkumbuka Salah alipaswa awepo jana game ingekua ya moto zaidi.
 
Matokeo ya mechi zilizopita 10 za Chelsea:
🟥 Leeds United 3-1 Chelsea
⬜ Bournemouth 0-0 Chelsea
🟥 Atalanta 2-1 Chelsea
🟩 Chelsea 2-0 Everton
🟩 Cardiff City 1-3 Chelsea
⬜ Newcastle 2-2 Chelsea
🟥 Chelsea 1-2 Aston Villa
⬜ Chelsea 2-2 Bournemouth
⬜ Manchester City 1-1 Chelsea
🟥 Fulham 2-1 Chelsea
Tuko ovyo sana.
 
Enzo Maresca dhidi ya Liam Rosenior
Maresca anataka uvumilivu, maendeleo, mradi wa muda mrefu, na ulinzi wa wachezaji wachanga.
Rosenior anadai uharaka, viwango, shinikizo, na ushindani wa haraka.

Maresca: "Wape muda."
Rosenior: "Wakati umekwisha - cheza vizuri sasa."
Comparison Table Maresca vs Rosnior 2024-2026-1.jpg
 
Leo usiku wa saa tano, Liam Rosenior anafungua kwa futari safi na laini kabisa
1768059557397.png
 
Chelsea yangu imepotea. Sizioni siku njema mbeleni kwa namna wamiliki na sera zao. Tusiweke matumaini sana hii timu ishakua biashara ya watu. Mapenzi tuyaache tu
 
Chelsea FC vs Charlton
Manager: Liam Rosenior
Lineup: 4-2-3-1

------Guiu--------

Garnacho-----Buonanotte--Gittens

--Santos-----Caicedo----

Hato--Badiashile--Tosin--Achempong

-------Jorgensen-------
Subs:
  1. Sanchez
  2. Fofana
  3. Chalobah
  4. Essugo
  5. Enzo
  6. Neto
  7. Estevao
  8. Joao Pedro
  9. Delap
 
FT
Charlton 1-5 Chelsea
Nini maoni yako kuhusu mchezo wa kwanza na ushindi wa kwanza kwa Liam Rosenior?
1768082879908.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom