Ebu mcheki hap Tosin kwenye build up ya Brentford, mzigo mzito sana. Robert Sánchez analazimika kuiokoa Chelsea kutokana na beki wake mwenyewe; Tosin amekuwa mzigo mkubwa kwa kikosi na anawaweka kwenye hatari mara kwa mara.Tunaongoza HT kwa 1-0 ila tumeshushiwa mishale kama nyuki. UZembe wa Brentford na umahiri wa Caicedo ndio umetuokoa
Leo James na Palmer hawako mchezoni, Tosin ni spana mkononi, muda wowote atatutosa
ningemshauri Rosenior afanye mabadiliko aingie Santos badala ya Palmer, Enzo aende mbele.
HajafungaNgoja tuone
Arsenal mlichoambulia jana ni dakika 96 mkizurura kwenye mapori ya West Bridgford kama watalii wasio na Google Maps, na hamkuweza kupata njia ya kutoka. Bado mkiwa mmechanganyikiwa, mkitafuta “bounce‑back” ambayo haikuwahi kufika. Mwishoni, mlisherehekea tu clean sheet nyingine. Hongereni sana. Leo Aston Villa wanashinda na kufanya gape kuwa 4 points. Nightmare ya Man City inafifia anakuja monster wa Villa ParkMlichopata jana ni ile new manager bounce. It explains ni kivipi mliafford kupata magoli mawili na mkaamini yule dogo ni mzuri mkampa namba game dhidi ya Brentford.
But we all know y'all are shit. Lampard bado begi la nguo kaliweka standby.
Inabidi uwe haujui mpira kiasi kikubwa mno ili ulichoandika ukiamini kwa nguvu zote.Arsenal mlichoambulia jana ni dakika 96 mkizurura kwenye mapori ya West Bridgford kama watalii wasio na Google Maps, na hamkuweza kupata njia ya kutoka. Bado mkiwa mmechanganyikiwa, mkitafuta “bounce‑back” ambayo haikuwahi kufika. Mwishoni, mlisherehekea tu clean sheet nyingine. Hongereni sana. Leo Aston Villa wanashinda na kufanya gape kuwa 4 points. Nightmare ya Man City inafifia anakuja monster wa Villa Park
Wewe huo utumbo unaoandikaga ndii much know sana eh! Arse AnalInabidi uwe haujui mpira kiasi kikubwa mno ili ulichoandika ukiamini kwa nguvu zote.
Mpira siyo hisia. Kuna takwimu. Kuna observation. Kuna historia.
Tumia hivyo vikuongoze.
Kosa kosa zake pale mbele umeziona lknHajafunga
Hehehe iangalie timu yako ikipambana kupata nafasi ya CL.Wewe huo utumbo unaoandikaga ndii much know sana eh! Arse Anal
We jamaa kamdomo ni kareeefu kila mahali upo, yaani umeshajiaminisha Arsenal wanabeba kombe!! Punguza pupa Arsenal haiwez kuambulia chochote. Tunza hii.Hehehe iangalie timu yako ikipambana kupata nafasi ya CL.
Wakati ule Arsenal mkihemea nafasi ya 8 na europa nyingi mmeshiriki mmeshindwa kuweka impact, hii misimu miwili ya CL ndio mnajiona mabingwa wa mara zote wa PL na UCL, timu yenyewe ya kugangia njaa tu, ikipita msimu huu mbebe kombe msibebe mtateseka sana huko mbeleni.Hehehe iangalie timu yako ikipambana kupata nafasi ya CL.
| Arsenal | Chelsea |
|---|---|
| 2005–2014 ukame wa makombe | Chelsea walishinda makombe mengi: EPL (2005, 2010), UCL (2012), UEL (2013), FA Cups |
| 2007/08 kuporomoka mwishoni | Chelsea walimaliza 2, wakafika fainali ya UCL |
| 2011 – kipigo cha 8–2 | Chelsea walimaliza 2, msimu thabiti bila kombe |
| 2013 – kufungwa fainali ya Carling Cup | Chelsea walishinda Europa League |
| 2015–2017 kuporomoka kwa enzi ya Wenger | 2015/16 Chelsea walimaliza 10 (shida), 2016/17 wakashinda EPL |
| 2016/17 – nafasi ya 5 | Chelsea walishinda Premier League |
| 2017/18 – nafasi ya 6 | Chelsea walimaliza 5 , wakashinda FA Cup |
| 2018/19 – kupoteza fainali ya Europa | Chelsea waliwafunga Arsenal na kushinda Europa League |
| 2018/19 – nafasi ya 5 | Chelsea walimaliza 3 + wakashinda Europa League |
| 2019 – Emery kufukuzwa | Chelsea walimaliza 4 chini ya Lampard |
| 2019/20 – nafasi ya 8 | Chelsea walimaliza 4 + wakafika fainali ya FA |
| 2020/21 – nafasi ya 8 | Chelsea walishinda Champions League |
| 2021 – kukosa Ligi za Ulaya | Chelsea walimaliza 3 + wakafika fainali mbili |
| 2022/23 kuporomoka kwenye mbio za ubingwa | Chelsea walimaliza 12 - Timu kuuzwa na mabadiliko makubwa ya kimfumo, kiuongozi na wachezaji |
| 2023/24 kupoteza ubingwa siku ya mwisho | Chelsea walimaliza 6 |
| 2024/25 kutolewa UCL na Bayern | Chelsea walishinda Conference league na FIFA Club World Cup |
Angalau naongea ukweli. At the mean time iangalie timu yako ikipambana kupata nafasi ya CLWe jamaa kamdomo ni kareeefu kila mahali upo, yaani umeshajiaminisha Arsenal wanabeba kombe!! Punguza pupa Arsenal haiwez kuambulia chochote. Tunza hii.
Angalau naongea ukweli. At the mean time iangalie timu yako ikipambana kupata nafasi ya CL