Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Gary O'Neil amekubali kuwa kocha wa Strasbourg akisubiri kurasimishwa kwa uteuzi wake. Masharti tayari yamewekwa kati ya Strasbourg na O'Neil.

Gary O'Neill, atatia saini mkataba wake katika RC Strasbourg ndani ya masaa chache zijazo.

O'Neill alichagua mradi wa Ufaransa licha ya kuwa katika vita vya kupata ajira kati ya vilabu viwili vya Ligi Kuu ya Uingereza.

Strasbourg wamekubali makubaliano ya kimsingi kwa Gary O'Neil kuwa kocha wao mkuu baada ya kuondoka kwa Liam Rosenior aliyepata kandarasi ya kuinoa klabu ya Chelsea ya Uingereza!
1767731949832.png
 
Mbona kama tumeruka kojo tumekanyaga kubwa?!

Kapewa mkataba wa miongo mingapi?

Makopcha walioanza bila uzoefu mkubwa kama Liam Rosenior na wakafanya vizuri (Msimu 1–3)

1) Pep Guardiola – 37 (Barcelona, 2008) – kutoka Barcelona B
  • Treble (La Liga, Copa del Rey, UCL) msimu wa kwanza
  • La Liga mara 2
  • UCL mara 1
  • Super Cup, Club World Cup
2) Zinedine Zidane – 43 (Real Madrid, 2016) – kutoka Real Madrid Castilla
  • Champions League mara 3 mfululizo
  • La Liga mara 1
  • UEFA Super Cup mara 2
  • Club World Cup mara 2
3) Mikel Arteta – 37 (Arsenal, 2019) – kutoka Assistant Coach Man City
  • FA Cup
  • Community Shield
  • Kuibadilisha Arsenal kuwa timu ya kupigania EPL (top‑4 return)
4) Hansi Flick – 54 (Bayern Munich, 2019) – kutoka Assistant Coach Bayern
  • Sextuple (Bundesliga, Pokal, UCL, Super Cup, Club World Cup, German Super Cup)
  • Bundesliga mara 2
5) Roberto Di Matteo – 41 (Chelsea, 2012) – kutoka Assistant Coach Chelsea
  • Champions League
  • FA Cup
6) Julian Nagelsmann – 28 (Hoffenheim, 2016) – kutoka Hoffenheim U19
  • Aliokoa timu kushuka daraja
  • Aliwapeleka Hoffenheim UCL kwa mara ya kwanza
  • Top‑4 Bundesliga
7) Steven Gerrard – 38 (Rangers, 2018) – kutoka Liverpool U18
  • Scottish Premiership (Invincibles – bila kupoteza mechi)
  • Kuvunja utawala wa Celtic
8) Ole Gunnar Solskjær – 45 (Man United, 2018) – kutoka Molde
  • Rekodi ya ushindi mfululizo mwanzo
  • Kumtoa PSG UCL ugenini
  • EPL nafasi ya 2
9) André Villas‑Boas – 32 (Porto, 2010) – kutoka Académica
  • Treble (Liga, Cup, Europa League)
  • Rekodi ya kutopoteza mechi nyingi Ulaya
10) Xabi Alonso – 40 (Bayer Leverkusen, 2022) – kutoka Real Sociedad B
  • Bundesliga bila kupoteza mechi (Invincibles)
  • Europa League
  • DFB Pokal
11) Vincent Kompany – 38 (Bayern Munich, 2024) – kutoka Burnley
  • Anafanya vizuri na Bayern Munich msimu wake wa kwanza
12) Enzo Maresca – 44 (Chelsea, 2024) – kutoka Leicester City
  • Kuirudisha Chelsea Top 4 ndani ya msimu mmoja
  • Kushinda UEFA Conference League
  • Kushinda FIFA Club World Cup
 
Makopcha walioanza bila uzoefu mkubwa kama Liam Rosenior na wakafanya vizuri (Msimu 1–3)

1) Pep Guardiola – 37 (Barcelona, 2008) – kutoka Barcelona B
  • Treble (La Liga, Copa del Rey, UCL) msimu wa kwanza
  • La Liga mara 2
  • UCL mara 1
  • Super Cup, Club World Cup
2) Zinedine Zidane – 43 (Real Madrid, 2016) – kutoka Real Madrid Castilla
  • Champions League mara 3 mfululizo
  • La Liga mara 1
  • UEFA Super Cup mara 2
  • Club World Cup mara 2
3) Mikel Arteta – 37 (Arsenal, 2019) – kutoka Assistant Coach Man City
  • FA Cup
  • Community Shield
  • Kuibadilisha Arsenal kuwa timu ya kupigania EPL (top‑4 return)
4) Hansi Flick – 54 (Bayern Munich, 2019) – kutoka Assistant Coach Bayern
  • Sextuple (Bundesliga, Pokal, UCL, Super Cup, Club World Cup, German Super Cup)
  • Bundesliga mara 2
5) Roberto Di Matteo – 41 (Chelsea, 2012) – kutoka Assistant Coach Chelsea
  • Champions League
  • FA Cup
6) Julian Nagelsmann – 28 (Hoffenheim, 2016) – kutoka Hoffenheim U19
  • Aliokoa timu kushuka daraja
  • Aliwapeleka Hoffenheim UCL kwa mara ya kwanza
  • Top‑4 Bundesliga
7) Steven Gerrard – 38 (Rangers, 2018) – kutoka Liverpool U18
  • Scottish Premiership (Invincibles – bila kupoteza mechi)
  • Kuvunja utawala wa Celtic
8) Ole Gunnar Solskjær – 45 (Man United, 2018) – kutoka Molde
  • Rekodi ya ushindi mfululizo mwanzo
  • Kumtoa PSG UCL ugenini
  • EPL nafasi ya 2
9) André Villas‑Boas – 32 (Porto, 2010) – kutoka Académica
  • Treble (Liga, Cup, Europa League)
  • Rekodi ya kutopoteza mechi nyingi Ulaya
10) Xabi Alonso – 40 (Bayer Leverkusen, 2022) – kutoka Real Sociedad B
  • Bundesliga bila kupoteza mechi (Invincibles)
  • Europa League
  • DFB Pokal
11) Vincent Kompany – 38 (Bayern Munich, 2024) – kutoka Burnley
  • Anafanya vizuri na Bayern Munich msimu wake wa kwanza
12) Enzo Maresca – 44 (Chelsea, 2024) – kutoka Leicester City
  • Kuirudisha Chelsea Top 4 ndani ya msimu mmoja
  • Kushinda UEFA Conference League
  • Kushinda FIFA Club World Cup
Ila kwenye makocha waliofanikiwa hawa watoe aiseee Ole Gunnar Solskjær,Julian Nagelsmann & Mikel Arteta. Kupeleka timu big4 ni mafanikio?
 
Ila kwenye makocha waliofanikiwa hawa watoe aiseee Ole Gunnar Solskjær,Julian Nagelsmann & Mikel Arteta. Kupeleka timu big4 ni mafanikio?
Amesema kuwa timu inayopigania mataji, ukilinganisha na timu ilipotoka. Mbona huelewi simple logic wewe
 
Ila kwenye makocha waliofanikiwa hawa watoe aiseee Ole Gunnar Solskjær,Julian Nagelsmann & Mikel Arteta. Kupeleka timu big4 ni mafanikio?
Unadhani ni rahisi hayo mafanikio. Kuna timu hazijawahi hata kucheza uefa.

Kuna hizo timu kubwa kutokushiriki uefa tu inapoteza thamani.

Jiulize pamoja na Arsenal kutokuchukua ubingwa kwa nini bado inakuwa ni timu bora zaidi.

Usikariri sana.
 
Ila kwenye makocha waliofanikiwa hawa watoe aiseee Ole Gunnar Solskjær,Julian Nagelsmann & Mikel Arteta. Kupeleka timu big4 ni mafanikio?
Tofauti na hao waliobeba makombe, Arteta na pia Liam Rosenior wanaikuta timu iko hovyo kabisa, so wanatakiwa kujenga na kuweka mentality ya ushindi, ukatili, kucheza kama timu, nidhamu, mbinu, akili na vitu vingi
 
Jana sikuangalia mpira nilikuwa safarini ila kwa maoni ya mashabiki na maeelzo muhimu ya kilichojiri mimi naona makosa makubwa mawili
1) Cucurella kaizamisha mazima Chelsea jana, hakutakiwa kumkamata yule mshambuliaji Wilson, hata angefunga tungekuja kurudisha na inshalla tungefunga la ushindi. Poor decision making kwa mchezaji mzoefu kama Kuku
2) Kosa la pili ni la kocha la team magement, kwenye Line-up ile, Neto hakutakiwa kabisa kucheza kwa sababu alicheza vibaya sana mechi na Man city, badala yake, Estevao alitakiwa kuwepo na Garnacho sub ya second half. Sub ya Hato kwaa kumtoa Andrey Santos ni uamuzi wa kijinga sana, yeye ndiye tegemeo la kuweka balance kuwin mipira pale katikati wakisaidiana na Caicedo. Palmer angetolewa badala yake au hata Delap Chelsea ingekuwa na balance nzuri kama striker ndie angetoswa. Tumsamehe bure kwa sababu ni kocha wa Academy tu

Mambo mazuri kwa mechi ya jana, Palmer anaonyesha kuanza kurudi mdogo mdogo kwenye fitness yake.

Jambo baya: Chelsea ni ya 8 Man U, Newcastle na Brenford wakiwa juu yetu. Hata hivyo muda kama huu msimu uliopita Chelsea ilikuwa napoints 31 katika mechi 21 na kushika nafasi ya 8. Hii ni duplicate ya msimu uliopita. Msimu uliopita tulifanya vibaya December na Jan kwa sababu Nicolaous Jacson na Palmer walikuwa majeruhi. Safari hii Colwill naPalmer walikuwa majeruhi na Colwil bado kurudi. Palmer fitness bado haijarudi, Pia Jackson hatunaye na pengo lake ni dhahiri hata kama haters watakataa, Pressing ya Jackson, positioning yake na uwezo wa kuondoka na mpira na kuwachezeshga wenzake unakosekana sana. Joao Pedro, Delap hawawezi kufany hivyo vitu

Maoni yangu:
Chelsea waingie sokoni kumnunua striker na CB. Yule striker wa Brentford Igo Thiago Chelsea ilipe hata mil 70
Pia Tunahitaji CB, Kumtegemea Tosin na Chalobah ni aibu kubwa na hawa wamiliki roho ngumu kila mechi wapo, tumecheza mechi 5 hatujashinda hata moja, form yetu iko kama ya Burnley iliyo kwenye nafasi ya 19
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom