lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Gary O'Neil amekubali kuwa kocha wa Strasbourg akisubiri kurasimishwa kwa uteuzi wake. Masharti tayari yamewekwa kati ya Strasbourg na O'Neil.
Gary O'Neill, atatia saini mkataba wake katika RC Strasbourg ndani ya masaa chache zijazo.
O'Neill alichagua mradi wa Ufaransa licha ya kuwa katika vita vya kupata ajira kati ya vilabu viwili vya Ligi Kuu ya Uingereza.
Strasbourg wamekubali makubaliano ya kimsingi kwa Gary O'Neil kuwa kocha wao mkuu baada ya kuondoka kwa Liam Rosenior aliyepata kandarasi ya kuinoa klabu ya Chelsea ya Uingereza!
Gary O'Neill, atatia saini mkataba wake katika RC Strasbourg ndani ya masaa chache zijazo.
O'Neill alichagua mradi wa Ufaransa licha ya kuwa katika vita vya kupata ajira kati ya vilabu viwili vya Ligi Kuu ya Uingereza.
Strasbourg wamekubali makubaliano ya kimsingi kwa Gary O'Neil kuwa kocha wao mkuu baada ya kuondoka kwa Liam Rosenior aliyepata kandarasi ya kuinoa klabu ya Chelsea ya Uingereza!