Usiogope kumwacha mwanamke ukihisi hakuna mwanamke duniani mzuri kumzidi.Haya akitoka Maresca unadhani nani mzuri zaidfi yake wa kumridhi
Usiogope kumwacha mwanamke ukihisi hakuna mwanamke duniani mzuri kumzidi.Haya akitoka Maresca unadhani nani mzuri zaidfi yake wa kumridhi
Kocha wenu ni mbovu acheni kujificha kwenye kivuli cha kikombe uchwara.Unazifunga timu 6 au 5 halafu msimu unatoka mikono mitupu!!, sisi hatunaga uvumilivu na matapeli, kama nyie mnavyomvumilia huyo tapeli wenu Arteta.
Maresca kaja kachukua makombe tunafukuza, atakuja mwingine atachukua,Tapeli wenu yupo tu anawadanganya na phase, hivi mpo phase ya ngapi vile?
Swali langu lilitokana na kudai mtahamisha hasira. Unamhamishia nani hasira ukifungwa nane wiki ijayo wakati hujapiga mtu tano una miaka sasaUnazifunga timu 6 au 5 halafu msimu unatoka mikono mitupu!!, sisi hatunaga uvumilivu na matapeli, kama nyie mnavyomvumilia huyo tapeli wenu Arteta.
Maresca kaja kachukua makombe tunafukuza, atakuja mwingine atachukua,Tapeli wenu yupo tu anawadanganya na phase, hivi mpo phase ya ngapi vile?
Katika kitu kitakupeleka motoni ni kuwapumbaza mashabiki wenzako wa Chelsea.Wewe pambana na Arsennyeto yako ya ngoswe umwachie ngoswe.
Unaweza ukamwacha mke ukakaa bila kuoa, Timu haiwezi kukaa bila kochaUsiogope kumwacha mwanamke ukihisi hakuna mwanamke duniani mzuri kumzidi.
Naona umeamua kuwataja wachezaji unaowakubali kiaina, sawa umesomekaNataka kuona kocha mpya atawapangaje hawa wachezaji bora kuliko wachezaji wa Arsenal na wangapi watajikuta kwa mkopo timu za mikiani.
Caicedo, Lavia na vyura vingine vingine havitacheza akiwepo kocha serious
Malo gusto mtoe Kwenye Hilo group ni mmoja kati ya mchezaji Bora kabisa tulionae kwenye kikosi na ni mchezaji mwenye consistency nzuri ya performance ni aina ya mchezaji anayefit aina nyingi ya uchezajiWachezaji wazuri tu na wataifaa Chelsea kwa muda mrefu
Wachezaji wazuri kwa sababu hatuna mbadala
- Cole Palmer – 23 yrs
- Estevao Willian – 18 yrs
- Moises Caicedo – 24 yrs
- Enzo Fernandez – 24 yrs
- Levi Colwill – 22 yrs
- Josh Acheampong – 19 yrs
Wachezaji wa kubahatisha (ama watakuwa wazuri au tumepigwa)
- Trevoh Chalobah – 26 yrs
- Pedro Neto – 25 yrs
- Joao Pedro – 24 yrs
- Robert Sanchez – 28 yrs
- Benoît Badiashile – 24 yrs
Wachezaji wazuri ila hatutakuwa nao muda mrefu
- Alejandro Garnacho – 21 yrs
- Jamie Gittens – 21 yrs
- Andrey Santos – 21 yrs
- Malo Gusto – 22 yrs
- Jorrel Hato – 19 yrs
- Marc Guiu – 19 yrs
- Liam Delap – 22 yrs
Wachezaji wazuri ila majeruhi imewanyima kucheza
- Marc Cucurella – 27 yrs
- Reece James – 26 yrs
Wachezaji matakataka tu
- Romeo Lavia – 21 yrs
- Wesley Fofana – 25 yrs
- Tosin Adarabioyo – 28 yrs
Wachezaji wazuri tu na wataifaa Chelsea kwa muda mrefu
Wachezaji wazuri kwa sababu hatuna mbadala
- Cole Palmer – 23 yrs
- Estevao Willian – 18 yrs
- Moises Caicedo – 24 yrs
- Enzo Fernandez – 24 yrs
- Levi Colwill – 22 yrs
- Josh Acheampong – 19 yrs
Wachezaji wa kubahatisha (ama watakuwa wazuri au tumepigwa)
- Trevoh Chalobah – 26 yrs
- Pedro Neto – 25 yrs
- Joao Pedro – 24 yrs
- Robert Sanchez – 28 yrs
- Benoît Badiashile – 24 yrs
Wachezaji wazuri ila hatutakuwa nao muda mrefu
- Alejandro Garnacho – 21 yrs
- Jamie Gittens – 21 yrs
- Andrey Santos – 21 yrs
- Malo Gusto – 22 yrs
- Jorrel Hato – 19 yrs
- Marc Guiu – 19 yrs
- Liam Delap – 22 yrs
Wachezaji wazuri ila majeruhi imewanyima kucheza
- Marc Cucurella – 27 yrs
- Reece James – 26 yrs
Wachezaji matakataka tu
- Romeo Lavia – 21 yrs
- Wesley Fofana – 25 yrs
- Tosin Adarabioyo – 28 yrs
Ulimuonya wapi, humu JF au?Nilimuonya Maresca aache kumpanga Garasa Caicedo lakini akakataa ushauri
Enzo Maresca ni mojawapo wa Makocha walioacha kazi Chelsea wakiwa na rekodi nzuri🚨💣 BREAKING: Chelsea na Enzo Maresca wamekubaliana kuachana mara moja. Imefika mwisho.
Taarifa rasmi inatarajiwa kufuata, lakini kila kitu kimekamilika baada ya mvutano kuongezeka ndani ya saa 24/48 zilizopita.
Chelsea sasa inaanza mchakato wa kumtafuta kocha mpya. 🔵🔜
View attachment 3523727