Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,782
Hawa wamiliki ni shida lakini pia kocha matatizo mengine kajitakia mwenyewe anafanya rotation za ajabu timu mpaka inakosa kikosi cha kwanza kila mechi anafanya mistake za ajabuMaresca amedhibitisha kuwa ni kocha mzuri na angekuwa mzuri zaidi kama angepewa wachezaji aliowataka. Difensi ni eneo kubwa ambalo Maresca ana ugomvi mkubwa na uongozi. Maeneo yote matatu ya Mabeki, kiungo na ushambuliaji una watoto zaidi na ilihitaji angalau mchezaji mmoja mmoja mzuri mwenye uzoefu angalu kuanzia miaka 25 badala yake analetewa Tosin wa bure soko0ni na mzito kupita maelezo.
Alitaka mawinga wenye kuweza kuwapita mabeki kwenye 1V1 akaletewa Garanacho ambaye hawezi kazi hiyo na Gittens ambaye bvado yuko mbichi kabisa. Alitaka striker aina ya Jackson ila clinical mwnye kuweza kukaa na mpira na kuwaptoka mabeki, Jackosn kaondoka akaletewa Joaoi Pedro, Delap na Marc Guiu. Wote hao hawasogeleo hata kidogo kwenye profile aliyotaka Maresca. Alitaka replacement ya Levi Colwill uongozi ukanyamaza kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Sasa mabeki hawa wanaachia magoli tu kama malaya. Caicedo nna Enzo wakichoka replacement hakuna. Cole Palmer akiumia tumeletewa Facundo kutoka Brighton. Kama Maresca akiondoka naomba iwe fundisho kwa hawa wamiliki kuwa hakuna kocha mzuri atakayekubaliana na utumbo wao