Ww kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyoYaani hao ndio wachezaji unategemea wakupe ubingwa?!! Madueke Efusii
Huwa mnabishaga hivyo hivyo, ila mkiwanunua kutoka chelsea wanawaeka hao mnaowasifia benchi. Arse88 mna ushabiki kuliko uhalisia.
Inachofurahisha tupo nafasi ya ngapi huko shimon ila mwisho wa msimu tunaondoka na chochote nyie vilaza mnaondoka mikono mitupu.Ww kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyo
Tunampango wa kumpandisha city kwa sababu mna midomo sanaWw kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyo
Mbona chache hizo! tunataka 8 kama zile zenu, unazikumbuka?Ninarudia tena.
City akishinda chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekaniChelsea tatizo lao ni kocha tu wanatakiwa wamfukuze kocha, Bora wamlete Fabriga.
Chochote ndo kombe gani mkuu🤠🤠....bwabwaja sana ila tafadhali sana j2 tunaomba sana iwe London is always blue🤠🤠...msituangushe ndugu zetu wazee wa pira singeliInachofurahisha tupo nafasi ya ngapi huko shimon ila mwisho wa msimu tunaondoka na chochote nyie vilaza mnaondoka mikono mitupu.
Ningekua kocha jpili Vs City ningepanga kikosi cha nne huko, akina Sterling. Yaani nyie mnategemea mtabeba ubingwa kwa akili zenu timamu kbs!!!
Hyo mechi City akijitahidi ni draw🤠ðŸ¤Tunampango wa kumpandisha city kwa sababu mna midomo sana
Hawana uwezo wa kumfunga yeyoteHyo mechi City akijitahidi ni draw🤠ðŸ¤
Zikifika 8 na wewe una vocha yakoMbona chache hizo! tunataka 8 kama zile zenu, unazikumbuka?
Sisi tutashinda mechi zetu Tu, nyie mkidondosha point kwa City itakuwa shida yenu wala sio yetu😅Tunampango wa kumpandisha city kwa sababu mna midomo sana
Tangu atangaze kuwa hana tena uungwaji mkono kutoka kwa uongozi wa juu—hasa baada ya mechi dhidi ya Atalanta—nahisi kabisa moyo wa Maresca haupo Chelsea tena. Kitendo chake cha kukataa kuzungumza na waandishi wa habari kinaonyesha mambo yamefika mwisho. Mkataba wake unaisha Juni 2029.Enzo Maresca hakuwa mgonjwa baada ya mchezo na Bournemouth. Alichagua kutohudhuria press conference na waandishi wa habari baada ya mechi kwa sababu yuko katikati ya kufanya maamuzi magumu ya chaguzi zake katika klabu.
~
@JacobsBen
View attachment 3523314
Taarifa mpya, Maresca anataka kuondoka wala hatasubiri kufukuzwa. Maresca ni kocha mzuri wanaomchanganya na wamiliki ambao wako obssessed na model ya Brighton kwenye kufanya faida.Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani
Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo sinisawa na kuanza upya, Haitaji uwe na PHD kuona shida ya team tetu iko wapi.
Unaspend 1BN na bado team badi ina mapengo na bado haiko tayar kuwania EPL
Maresca amedhibitisha kuwa ni kocha mzuri na angekuwa mzuri zaidi kama angepewa wachezaji aliowataka. Difensi ni eneo kubwa ambalo Maresca ana ugomvi mkubwa na uongozi. Maeneo yote matatu ya Mabeki, kiungo na ushambuliaji una watoto zaidi na ilihitaji angalau mchezaji mmoja mmoja mzuri mwenye uzoefu angalu kuanzia miaka 25 badala yake analetewa Tosin wa bure soko0ni na mzito kupita maelezo.Kibarua cha Enzo Maresca kiko mashakani kufuatia mfululizo wa matokeo mabovu na sintofahamu inayoendelea kati yake, bodi ya uongozi na wamiliki wa klabu. Hali hii imezua maswali makubwa kuhusu mustakabali wake ndani ya timu.
View attachment 3523327
Acha kumtetea kocha ni kizibo, na rotation zake za kipuuzi. Ni kikosi gani anataka tofauti na alichonacho , huwezi ukawa na kikosi chote akina messi.Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani
Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo sinisawa na kuanza upya, Haitaji uwe na PHD kuona shida ya team tetu iko wapi.
Unaspend 1BN na bado team badi ina mapengo na bado haiko tayar kuwania EPL