Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani hao ndio wachezaji unategemea wakupe ubingwa?!! Madueke Efusii

Huwa mnabishaga hivyo hivyo, ila mkiwanunua kutoka chelsea wanawaeka hao mnaowasifia benchi. Arse88 mna ushabiki kuliko uhalisia.
Ww kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyo
 
Ww kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyo
Inachofurahisha tupo nafasi ya ngapi huko shimon ila mwisho wa msimu tunaondoka na chochote nyie vilaza mnaondoka mikono mitupu.

Ningekua kocha jpili Vs City ningepanga kikosi cha nne huko, akina Sterling. Yaani nyie mnategemea mtabeba ubingwa kwa akili zenu timamu kbs!!!
 
Wachezaji wazuri tu na wataifaa Chelsea kwa muda mrefu
  1. Cole Palmer – 23 yrs
  2. Estevao Willian – 18 yrs
  3. Moises Caicedo – 24 yrs
  4. Enzo Fernandez – 24 yrs
  5. Levi Colwill – 22 yrs
  6. Josh Acheampong – 19 yrs
Wachezaji wazuri kwa sababu hatuna mbadala
  1. Trevoh Chalobah – 26 yrs
  2. Pedro Neto – 25 yrs
  3. Joao Pedro – 24 yrs
  4. Robert Sanchez – 28 yrs
  5. Benoît Badiashile – 24 yrs
Wachezaji wa kubahatisha (ama watakuwa wazuri au tumepigwa)
  1. Alejandro Garnacho – 21 yrs
  2. Jamie Gittens – 21 yrs
  3. Andrey Santos – 21 yrs
  4. Malo Gusto – 22 yrs
  5. Jorrel Hato – 19 yrs
  6. Marc Guiu – 19 yrs
  7. Liam Delap – 22 yrs
Wachezaji wazuri ila hatutakuwa nao muda mrefu
  1. Marc Cucurella – 27 yrs
  2. Reece James – 26 yrs
Wachezaji wazuri ila majeruhi imewanyima kucheza
  1. Romeo Lavia – 21 yrs
  2. Wesley Fofana – 25 yrs
Wachezaji matakataka tu
  1. Tosin Adarabioyo – 28 yrs
 
Ww kikundi chako Chao singeli Kiko wapi sasahivi kwny msimamo wa ligi🤣🤣....chondechonde j2 tunataka draw tu kwa City....acheni ufala wa kugawa utamu hovyohovyo
Tunampango wa kumpandisha city kwa sababu mna midomo sana
 
Ninarudia tena.

City akishinda chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
 
Chelsea tatizo lao ni kocha tu wanatakiwa wamfukuze kocha, Bora wamlete Fabriga.
Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani

Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo sinisawa na kuanza upya, Haitaji uwe na PHD kuona shida ya team tetu iko wapi.

Unaspend 1BN na bado team badi ina mapengo na bado haiko tayar kuwania EPL
 
Inachofurahisha tupo nafasi ya ngapi huko shimon ila mwisho wa msimu tunaondoka na chochote nyie vilaza mnaondoka mikono mitupu.

Ningekua kocha jpili Vs City ningepanga kikosi cha nne huko, akina Sterling. Yaani nyie mnategemea mtabeba ubingwa kwa akili zenu timamu kbs!!!
Chochote ndo kombe gani mkuu🤠🤠....bwabwaja sana ila tafadhali sana j2 tunaomba sana iwe London is always blue🤠🤠...msituangushe ndugu zetu wazee wa pira singeli
 
Enzo Maresca hakuwa mgonjwa baada ya mchezo na Bournemouth. Alichagua kutohudhuria press conference na waandishi wa habari baada ya mechi kwa sababu yuko katikati ya kufanya maamuzi magumu ya chaguzi zake katika klabu.
~
@JacobsBen
1767208768047.png
1767209866790.png
 
Enzo Maresca hakuwa mgonjwa baada ya mchezo na Bournemouth. Alichagua kutohudhuria press conference na waandishi wa habari baada ya mechi kwa sababu yuko katikati ya kufanya maamuzi magumu ya chaguzi zake katika klabu.
~
@JacobsBen
View attachment 3523314
Tangu atangaze kuwa hana tena uungwaji mkono kutoka kwa uongozi wa juu—hasa baada ya mechi dhidi ya Atalanta—nahisi kabisa moyo wa Maresca haupo Chelsea tena. Kitendo chake cha kukataa kuzungumza na waandishi wa habari kinaonyesha mambo yamefika mwisho. Mkataba wake unaisha Juni 2029.

Kwa mtazamo wako, ni nani unayeona anaweza kumrithi endapo ataondoka Januari hii?
 
Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani

Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo sinisawa na kuanza upya, Haitaji uwe na PHD kuona shida ya team tetu iko wapi.

Unaspend 1BN na bado team badi ina mapengo na bado haiko tayar kuwania EPL
Taarifa mpya, Maresca anataka kuondoka wala hatasubiri kufukuzwa. Maresca ni kocha mzuri wanaomchanganya na wamiliki ambao wako obssessed na model ya Brighton kwenye kufanya faida.
 
Kibarua cha Enzo Maresca kiko mashakani kufuatia mfululizo wa matokeo mabovu na sintofahamu inayoendelea kati yake, bodi ya uongozi na wamiliki wa klabu. Hali hii imezua maswali makubwa kuhusu mustakabali wake ndani ya timu.

1767210152939.png
 
Kibarua cha Enzo Maresca kiko mashakani kufuatia mfululizo wa matokeo mabovu na sintofahamu inayoendelea kati yake, bodi ya uongozi na wamiliki wa klabu. Hali hii imezua maswali makubwa kuhusu mustakabali wake ndani ya timu.

View attachment 3523327
Maresca amedhibitisha kuwa ni kocha mzuri na angekuwa mzuri zaidi kama angepewa wachezaji aliowataka. Difensi ni eneo kubwa ambalo Maresca ana ugomvi mkubwa na uongozi. Maeneo yote matatu ya Mabeki, kiungo na ushambuliaji una watoto zaidi na ilihitaji angalau mchezaji mmoja mmoja mzuri mwenye uzoefu angalu kuanzia miaka 25 badala yake analetewa Tosin wa bure soko0ni na mzito kupita maelezo.
Alitaka mawinga wenye kuweza kuwapita mabeki kwenye 1V1 akaletewa Garanacho ambaye hawezi kazi hiyo na Gittens ambaye bvado yuko mbichi kabisa. Alitaka striker aina ya Jackson ila clinical mwnye kuweza kukaa na mpira na kuwaptoka mabeki, Jackosn kaondoka akaletewa Joaoi Pedro, Delap na Marc Guiu. Wote hao hawasogeleo hata kidogo kwenye profile aliyotaka Maresca. Alitaka replacement ya Levi Colwill uongozi ukanyamaza kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Sasa mabeki hawa wanaachia magoli tu kama malaya. Caicedo nna Enzo wakichoka replacement hakuna. Cole Palmer akiumia tumeletewa Facundo kutoka Brighton. Kama Maresca akiondoka naomba iwe fundisho kwa hawa wamiliki kuwa hakuna kocha mzuri atakayekubaliana na utumbo wao
 
Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani

Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo sinisawa na kuanza upya, Haitaji uwe na PHD kuona shida ya team tetu iko wapi.

Unaspend 1BN na bado team badi ina mapengo na bado haiko tayar kuwania EPL
Acha kumtetea kocha ni kizibo, na rotation zake za kipuuzi. Ni kikosi gani anataka tofauti na alichonacho , huwezi ukawa na kikosi chote akina messi.

Hivi unajua City wana wachezaji wa kawaida sana! huyo Doku angekua ndio kanunuliwa chelsea sahizi angekua yupo bench na Estevao wanaprotectiwa, Maresca ana wachezaji wazuri tu ila wale wabovu ndio marafiki zake.

Kocha wa hovyo, pasi nyingii wanapasiana mabeki, kuna moja juzi Estevao alimaindi kashafungua anaita kbs apewe pasi Gusto karudisha kati dah! Niliongea na tv kama ananisikia vile mamaee ila kocha ndio kamfundisha hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom