Sijui kwa nini huyu kipara recently huwa yuko seriously na mechi kubwa. Alafu mechi za kuchukua point 3 anajifanya Einstein
Tosin,Chalobah, Badiashile unawaweka pamoja kwenye mechi ya EPL seriously? Wakati huo muhimili wa kucover mabeki ana kadi nyekundu
Gusto na James unawapumzisha Wakati wanashare number lakini unamuanzisha Cucurella (ambaye ni kama hana wa kumpumzisha)then unamuanzisha Chalobah kama beki wa kulia hapa akili ya kocha unaona kabisa ni full pilot experiment
Nafasi anazopewa Tosin na haimprove kwa umri wake ni better akapatiwa Achempong
Hatuwezi shinda kila mechi lakini kuna mechi tunapoteza kwa makosa ya kitoto ya kocha na hata sio kuzidiwa mbinu na mpinzani Mfano ni leo na sub ya Tosin game ya Sunderland