Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ngoja Leo nitangaze kabisa Sina Imani Tena Maresca, huyu kocha ni Kama vile hajui Nini anataka huu msimu huwezi kuwa bingwa Kama unashindwa kuifunga team mbovu Kama Man U, sub zake zinaonesha ni kocha wa middle table kosa la Kwanza selection yake ya kikosi ilikuwa sio nzuri unamchezesha vipi Estevao Left winger wakati hiyo nafasi una Garnacho na Gittens pili kitendo cha kumn'gan'gania Enzo Fernandez wakati kiwango chake kimeshuka kinaonesha ni kocha aliyekosa ambitious za kuwin game. Tulivyopata red card zile sub alizofanya ya kuwatoa Estevao na Pedro Neto kwa pamoja imeonesha ni kocha alikosa maarifa lakini cha ajabu zaidi ni kitendo cha kumuingiza George badala Garnacho pia niliishiwa pawa kabisa. Nawaambia tu mashabiki wenzangu tusiwe na matarajio yoyote msimu huu Kama Maresca ataendelea kuwa kocha wetu.Na speech zake huwa hazihamasishi team kupambana
Maresca anaweza kuwa ni tatizo mojawapo ila tatizo sugy liko kwa wale wa SD, tumeshindwa tatua matatizo yetu sugu tumeacha,CB,GK, Proven LW tumeaacha wote hao

As long as wale SD wapo tutaendelea hivi hivi,Ukishakuwa na SD wanaotoka team ndogo basi na akili zao zinawaza huko huko,

Tulihitaji 3 WC player wakutuelevate kutoka hapa tulipo na kutupeleka mbele,

Yule Maresca kujifanya anaakili nyingi kumbe hamna kitu. Yani How unawatoa Neto na Estevao kwa pamoja wakat unahitaj watu wenye pace na kushambulia kwa kushtukiza Na unahitaj runner
 
Ngoja Leo nitangaze kabisa Sina Imani Tena Maresca, huyu kocha ni Kama vile hajui Nini anataka huu msimu huwezi kuwa bingwa Kama unashindwa kuifunga team mbovu Kama Man U, sub zake zinaonesha ni kocha wa middle table kosa la Kwanza selection yake ya kikosi ilikuwa sio nzuri unamchezesha vipi Estevao Left winger wakati hiyo nafasi una Garnacho na Gittens pili kitendo cha kumn'gan'gania Enzo Fernandez wakati kiwango chake kimeshuka kinaonesha ni kocha aliyekosa ambitious za kuwin game. Tulivyopata red card zile sub alizofanya ya kuwatoa Estevao na Pedro Neto kwa pamoja imeonesha ni kocha alikosa maarifa lakini cha ajabu zaidi ni kitendo cha kumuingiza George badala Garnacho pia niliishiwa pawa kabisa. Nawaambia tu mashabiki wenzangu tusiwe na matarajio yoyote msimu huu Kama Maresca ataendelea kuwa kocha wetu.Na speech zake huwa hazihamasishi team kupambana
Akijichanganya kidogo Decemver afiki game zetu 4 zijqzo zitadefine msim wetu huu Lincoln,brighton,Benfica Liverpool,
 
Maresca anaweza kuwa ni tatizo mojawapo ila tatizo sugy liko kwa wale wa SD, tumeshindwa tatua matatizo yetu sugu tumeacha,CB,GK, Proven LW tumeaacha wote hao

As long as wale SD wapo tutaendelea hivi hivi,Ukishakuwa na SD wanaotoka team ndogo basi na akili zao zinawaza huko huko,

Tulihitaji 3 WC player wakutuelevate kutoka hapa tulipo na kutupeleka mbele,

Yule Maresca kujifanya anaakili nyingi kumbe hamna kitu. Yani How unawatoa Neto na Estevao kwa pamoja wakat unahitaj watu wenye pace na kushambulia kwa kushtukiza Na unahitaj runner

Kwa upande wa kipa, mambo ni magumu sana.
Mike Penders ndiye kipa namba moja—anaaminika na anaongoza kwa utulivu. Kununua kipa mwingine wa kiwango hicho ni sawa na kumzibia njia au kumuuza kitu ambayo haikuwa kwenye mpango kazi.

Kwa mabeki wa kati, hali ni hiyo hiyo.
Tuna Mamadou Sarr na Aaron Anselmino—wote wana kiwango cha Levi Colwill. Kununua CB mwingine kwa sasa ni kujipiga chenga na kujifunga goli.

Msimu huu tunahitaji uvumilivu.
Lengo letu liwe kubaki ndani ya Top 4, tukibeba angalau vikombe vidogo kama Carabao au FA.
Kuihusu kubeba Ligi kuu? Tusiweke presha, tukaugua ugonjwa wa moyo bure.

Kumhusu Maresca
Safari hii hata wale waliokuwa wakimtetea kweli wanakiri jana alifanya makosa makubwa sana. Aliua uwezo wa Chelsea kushambulia kwa sababu ya panic subs. Hata hivyo haimfanyi kuwa kocha mbaya, naye anajifunza kwenye ukocha bado ni mchanga. Naomba awe anajua makoza yake na ajirekebisha.
Hakutakiwa kumtoa Cole Palmer, uso wa Palmer ulionyesha kabisa
Hakutakiwa kumtoa Neto na Eszetvao, Enzo angetolewa na mfumo alioutaka ungebadilishwa kwenye hiyo dakika ya 4.. Nasdema Enzo kwa sababu amekuwa kwenye low form tangu CWC
 
Akijichanganya kidogo Decemver afiki game zetu 4 zijqzo zitadefine msim wetu huu Lincoln,brighton,Benfica Liverpool,

Hatafukuzwa—ubovu wake haujafikia kiwango cha kufukuzwa kazi.
Naona Chelsea bado ina nafasi ya kufanya vizuri. Kuanzia ligi vibaya ni sawa na kujikwaa; na kujikwaa si mwisho wa safari.

Kilichotokea Munich na Old Trafford ni somo kwa wachezaji na kocha.
Kwenye kipigo cha Munich, makosa makubwa yalikuwa kwa wachezaji—kocha alihusika kidogo tu kwenye uteuzi wa kikosi na mpango wa mchezo (game plan).

Lakini kwenye mechi ya Old Trafford, kocha alibeba mzigo mkubwa wa lawama—hasa kwenye mabadiliko ya wachezaji aliyopfanya dakika ya nne kwa kum watoa Esetvao na Pedro Neto na baadaye kumtoa Cole Palmer na uteuzi wa kikosi kumuweka Chalobah na kumacha Acheampong. Acheampong alistahili kuanza badala ya Chalobah.
Andrey Santos anahitaji kupewa nafasi—ama kwa kubadilishana na Enzo, au Enzo akae benchi kwa muda.

Neto pia hakustahili kuanza kama LW.
Yeye hucheza vizuri akiwa RW, na hilo kocha anatakiwa kuliona.
Kwa mechi ile, Garnacho angefaa zaidi upande wa kushoto.

Hitimisho:
Chelsea ina vipaji, lakini kocha anatakiwa kuwa makini zaidi kwenye uteuzi na mabadiliko. Msimu bado ni mkubwa na mrefu—lakini makosa haya yasiposhughulikiwa mapema, yanaweza kuigharimu sana Chelsea. Na ikiwa serious sana mwisho wa msimu anaweza kutadhminiwa aidha aendelee au kandarasi yake ifikie mwisho
 
Ngoja Leo nitangaze kabisa Sina Imani Tena Maresca, huyu kocha ni Kama vile hajui Nini anataka huu msimu huwezi kuwa bingwa Kama unashindwa kuifunga team mbovu Kama Man U, sub zake zinaonesha ni kocha wa middle table kosa la Kwanza selection yake ya kikosi ilikuwa sio nzuri unamchezesha vipi Estevao Left winger wakati hiyo nafasi una Garnacho na Gittens pili kitendo cha kumn'gan'gania Enzo Fernandez wakati kiwango chake kimeshuka kinaonesha ni kocha aliyekosa ambitious za kuwin game. Tulivyopata red card zile sub alizofanya ya kuwatoa Estevao na Pedro Neto kwa pamoja imeonesha ni kocha alikosa maarifa lakini cha ajabu zaidi ni kitendo cha kumuingiza George badala Garnacho pia niliishiwa pawa kabisa. Nawaambia tu mashabiki wenzangu tusiwe na matarajio yoyote msimu huu Kama Maresca ataendelea kuwa kocha wetu.Na speech zake huwa hazihamasishi team kupambana
Umechemka, naona unaongozwa na hisia tu, next akiishinda Licolin na Brighton utahemuka tena na kusema Maresca ni kocha mzuri
 
Mara ngapi nawambia hapa kuwa Enzo Maresca ni takataka?
Ngoja Leo nitangaze kabisa Sina Imani Tena Maresca, huyu kocha ni Kama vile hajui Nini anataka huu msimu huwezi kuwa bingwa Kama unashindwa kuifunga team mbovu Kama Man U, sub zake zinaonesha ni kocha wa middle table kosa la Kwanza selection yake ya kikosi ilikuwa sio nzuri unamchezesha vipi Estevao Left winger wakati hiyo nafasi una Garnacho na Gittens pili kitendo cha kumn'gan'gania Enzo Fernandez wakati kiwango chake kimeshuka kinaonesha ni kocha aliyekosa ambitious za kuwin game. Tulivyopata red card zile sub alizofanya ya kuwatoa Estevao na Pedro Neto kwa pamoja imeonesha ni kocha alikosa maarifa lakini cha ajabu zaidi ni kitendo cha kumuingiza George badala Garnacho pia niliishiwa pawa kabisa. Nawaambia tu mashabiki wenzangu tusiwe na matarajio yoyote msimu huu Kama Maresca ataendelea kuwa kocha wetu.Na speech zake huwa hazihamasishi team kupambana
 
Hziyech22 acha kulia lia kama ulisoma hili bandiko. Binafsi mimi sina matarajio yoyote yale kwa timu tuliyo nayo, maana matakataka ni mengi sana.
Leo ngoja niwambie ukweli mchungu.

Kila alie shabiki na mpenzi wa Chelsea FC asome hili andiko. Klabu yetu ya Chelsea ni ya kawaida sana wala msijidanganye kuwa tuna ukali wowote ule. Ata ile FIFA Club World Cup tulibahatisha tu.

Klabu yetu haina uwezo wa kupamba na klabu kama Liverpool, Arsenal, Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona, PSG, Inter Milan, Man City, Napoli na nyingine kwenye mashindano yoyote yale, tutaishia kushiriki tu. Kwa sasa level zenu ni Conference League huko, bado hatujawa na uwezo wa kuleta upinzani kwenye UEFA na UEFA Europa League. Huo ndio ukweli ukubali ama ukatae huo ndio uhalisia.

Huwezi kwenda kwenye mashindano makubwa kama UEFA wakati huo huo una lundo la wachezaji ambao ni matakataka tu. Wenzako wana silaha kweli kweli mfano, Harry Kane, Mohammed Sarah, Lamine Yamal, Mbappe Haaland na wengine wengi kuwaandikia wote sito weza. Wakati huo sisi tuna matakataka akina Enzo Maresca, Sanchez, Enzo Fernandez, Liam Delap, Jamie Gittens, Romeo Lavia, Facundo Buonanotte, Malo Gusto, Jorrel Hato na matakataka mengine.

Huwa nashangaa sana unakuta mtu hapa jukuani ana kaza mshipa kabisa eti kwa hilo lundo la matakataka kuna mahala watatufikisha, kwa kweli inasikitisha sana. Inapaswa tuelewe na tukubali wanao tuhalibia timu ni hawa wapuuzi walio uziwa hii timu. Hizi sajili za hovyo hovyo alafu wakati huo tukitaka matokeo chanja ni sawa na kuokota embe chini ya mnazi.

Klabu nyingine zinafanya sajili za maana eti sisi tunaenda kusajili watu kama Liam Delap, Jamie Gittens alafu unategemea upate matokeo chanya tunaacha wachezaji wazuri wa kutupa hiyo chanya tunakimbilia matakataka ambao ata hawajulikani walikuwa wanafanya nini hapo kabla.

Hapa hamna timu ya kuleta upinzani kwenye UEFA na EPL, level zetu saizi ni kina Sunderland, West Ham, Wolves, Leeds na wengine kama hao. Huwezi fika level za ukubwa wakati huohuo una lundo la matakataka.

Huo ndio ukweli mchungu, ukubali ama ukatae ila tambua huo ndio uhalisia wenyewe. Mtu anae fahamu na mpenzi wa mpira hawezi pingana na huu ukweli. Tizama kuanzia kikosi tulicho nacho na uchezaji tunao cheza kisha tathmini tunaweza kuwa bora mbele ya hao miamba. Sisi bado sana.
 
Kwa upande wa kipa, mambo ni magumu sana.
Mike Penders ndiye kipa namba moja—anaaminika na anaongoza kwa utulivu. Kununua kipa mwingine wa kiwango hicho ni sawa na kumzibia njia au kumuuza kitu ambayo haikuwa kwenye mpango kazi.

Kwa mabeki wa kati, hali ni hiyo hiyo.
Tuna Mamadou Sarr na Aaron Anselmino—wote wana kiwango cha Levi Colwill. Kununua CB mwingine kwa sasa ni kujipiga chenga na kujifunga goli.

Msimu huu tunahitaji uvumilivu.
Lengo letu liwe kubaki ndani ya Top 4, tukibeba angalau vikombe vidogo kama Carabao au FA.
Kuihusu kubeba Ligi kuu? Tusiweke presha, tukaugua ugonjwa wa moyo bure.

Kumhusu Maresca
Safari hii hata wale waliokuwa wakimtetea kweli wanakiri jana alifanya makosa makubwa sana. Aliua uwezo wa Chelsea kushambulia kwa sababu ya panic subs. Hata hivyo haimfanyi kuwa kocha mbaya, naye anajifunza kwenye ukocha bado ni mchanga. Naomba awe anajua makoza yake na ajirekebisha.
Hakutakiwa kumtoa Cole Palmer, uso wa Palmer ulionyesha kabisa
Hakutakiwa kumtoa Neto na Eszetvao, Enzo angetolewa na mfumo alioutaka ungebadilishwa kwenye hiyo dakika ya 4.. Nasdema Enzo kwa sababu amekuwa kwenye low form tangu CWC
Kumtoa Palmer alikuwa sahihi kwasababu alipata injury
 
Umechemka, naona unaongozwa na hisia tu, next akiishinda Licolin na Brighton utahemuka tena na kusema Maresca ni kocha mzuri
Kama unaifuatilia team yetu tangu mwanzo karibia kila game tuanza slow dhidi ya opponent hata ya man u tulianza hivyo hivyo, fuatilia speech za kocha haongei Kama ni kocha wa team kubwa ya Chelsea hizi dalili ndio zinanifanya nikose Imani kabisa na kocha
 
Kama unaifuatilia team yetu tangu mwanzo karibia kila game tuanza slow dhidi ya opponent hata ya man u tulianza hivyo hivyo, fuatilia speech za kocha haongei Kama ni kocha wa team kubwa ya Chelsea hizi dalili ndio zinanifanya nikose Imani kabisa na kocha
Arsenal wametuacha point 2 tu, kumbuka hilo
 
Hziyech22 acha kulia lia kama ulisoma hili bandiko. Binafsi mimi sina matarajio yoyote yale kwa timu tuliyo nayo, maana matakataka ni mengi sana.
Jila timu ina matakataka, hata Liverpool inayo wengi tu
Huweiz unda timu isyo na matakataka
 
Cole Palmer atashinda Ballon d'Or mwaka 2025!
Ameiongoza Chelsea kutwaa makombe mawili ya kimataifa—UEFA Conference League na FIFA Club World Cup—ndani ya muda wa: Wiki: 29; Siku: 203; na Saa: 4,872
Kutoka kuwa kijana wa matumaini hadi kuwa nyota wa dunia. Historia imeandikwa!
1758480454596.png
 
Labda Ballon d'Or ya bonyokwa
Cole Palmer atashinda Ballon d'Or mwaka 2025!
Ameiongoza Chelsea kutwaa makombe mawili ya kimataifa—UEFA Conference League na FIFA Club World Cup—ndani ya muda wa: Wiki: 29; Siku: 203; na Saa: 4,872
Kutoka kuwa kijana wa matumaini hadi kuwa nyota wa dunia. Historia imeandikwa!
View attachment 3477150
 
Lembu jaribu kukubali uhalisia

Huwezi kwenda kushindana na timu kama Liverpool wakati huo kuna lundo la matakataka. Hebu angalia matakataka tuliyo nayo.

Kwanza kabisa ni kocha tulie nae huyu ni takataka hamna kocha mule na hana viwango vya kufundisha timu Kama Chelsea, huyo anabidi aende championship huko ndio level zake.

Joao Pedro, Garnacho, Guiu, Liam Delap, Enzo Fernandez, Jamie Gittens, Facundo, Lavia, George, Fofana, Tosin, Hato, Sanchez hawa wote hawana level ya kucheza Chelsea, ni bahati tu wamejikuta wapo Chelsea.
Jila timu ina matakataka, hata Liverpool inayo wengi tu
Huweiz unda timu isyo na matakataka
 
Lembu jaribu kukubali uhalisia

Huwezi kwenda kushindana na timu kama Liverpool wakati huo kuna lundo la matakataka. Hebu angalia matakataka tuliyo nayo.

Kwanza kabisa ni kocha tulie nae huyu ni takataka hamna kocha mule na hana viwango vya kufundisha timu Kama Chelsea, huyo anabidi aende championship huko ndio level zake.

Joao Pedro, Garnacho, Guiu, Liam Delap, Enzo Fernandez, Jamie Gittens, Facundo, Lavia, George, Fofana, Tosin, Hato, Sanchez hawa wote hawana level ya kucheza Chelsea, ni bahati tu wamejikuta wapo Chelsea.
Mashabiki wa Chelsea tunatofautiana sana. kuna wengine waliota ndoto Chelsea ni title contender. Sisi sio title contender tukashindane la Liverpool, Arsenal ndio wanashindanie kombe. Sisi ni top 4 tu tukamilishe ujengaji wa timu. Hivyo viraka mnavyosema tutaviziba msimu ujao. Msiwe na haraka. Mambo mazuri hayahitaji haraka. Mimi binafsi nilikuwa na ndoto ya kugombea ubingwa msimu huu ila sarakasi ya kutosajili beki baada ya Colwill kuumia niliitoa hilo. Pia bado Maresca ni rigid kwenye kufanya rotation. Unamuweka kwenye benchi Andrey Santos wakati fomu ya Enzo sio nzuri kabisa kwa mechi tano mfululizo. Forget about title. tubaki kwenye top 4 ndio realistic.
 
Lembu jaribu kukubali uhalisia

Huwezi kwenda kushindana na timu kama Liverpool wakati huo kuna lundo la matakataka. Hebu angalia matakataka tuliyo nayo.

Kwanza kabisa ni kocha tulie nae huyu ni takataka hamna kocha mule na hana viwango vya kufundisha timu Kama Chelsea, huyo anabidi aende championship huko ndio level zake.

Joao Pedro, Garnacho, Guiu, Liam Delap, Enzo Fernandez, Jamie Gittens, Facundo, Lavia, George, Fofana, Tosin, Hato, Sanchez hawa wote hawana level ya kucheza Chelsea, ni bahati tu wamejikuta wapo Chelsea.
Tusubiri tuone kama hawana ila sio msimu huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom