IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,755
- 7,130
Tafuteni wachezaji wa kueleweka. Huyu Caicedo hatowasaidia chochote
😀😀Katumaliza leo
Hasira zetu tunazihamishia kwa Man UPoleni sana
Alwatani Mbeumo anawanywea Alkasus🤠🤠....mechi ijayo labda mshinde njaa...ila sio kushinda gameHasira zetu tunazihamishia kwa Man U
Mna beki line mbovu kuliko kitu chchte kile....yule Chalobah na Tosin ni wafanyakazi hewa wale...nyny kila siku mnasajili mawinga....ila mabeki hamshuhuliki kabisa....mtadundwa sana msimu huuHuyu Mgosi ashauza mechi mpuuzi huyu, Gusto wa nini?!!
Hahahahaha acha kututisha broooo
🤣🤣🤣 Kudundwa udundwe na wengine halafu hasira zako uhamishie kwetu, kwanza sisi hatujawahi kua na ugomvi na mtu hebu kuweni waungwana basi.Hasira zetu tunazihamishia kwa Man U
Lakini pia kumbuka katoa assist ya Cole Palmer sisi mchezaji anayetuangusha ni huyo Enzo Fernandez huyu ameshakuwa mzigo kwenye teamKatumaliza leo
Nawakumbusha tu majirani mpo nafasi ya 32 mpk sasa kwny msimamo....mdogomdogo mtafika tu msijaliLakini pia kumbuka katoa assist ya Cole Palmer sisi mchezaji anayetuangusha ni huyo Enzo Fernandez huyu ameshakuwa mzigo kwenye team
Nafikiri hii nguvu ungeenda kuwakumbusha wenzako hili kombe halijawahi kufika EmiratesNawakumbusha tu majirani mpo nafasi ya 32 mpk sasa kwny msimamo....mdogomdogo mtafika tu msijali



huwa nawambia hapa kila siku kwamba huyo jamaa ni takataka lakini mnakaza fuvu. Sasa naona mnaanza kuelewa
Lakini pia kumbuka katoa assist ya Cole Palmer sisi mchezaji anayetuangusha ni huyo Enzo Fernandez huyu ameshakuwa mzigo kwenye team