MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 655
- 823
Timu ya UEFA na aina ga huyu kocha siioni
Chelsea itakamiwa sana na timu nyingi msimu huu kwa sababu ya kombe la dunia. Timu zinazocheza kwa kufunguka hazitatupa shida sana zaidi ya zile za kupaki makonetanAkijichanganya kidogo Decemver afiki game zetu 4 zijqzo zitadefine msim wetu huu Lincoln,brighton,Benfica Liverpool,
Kuachwa point 2 sio shida Kama huwezi kushinda mechi zako, unakumbuka msimu uliyopita tulishika nafasi Hadi ya pili ulitegemea tutakuja kugombea nafasi ya nneArsenal wametuacha point 2 tu, kumbuka hilo
Ni kweli tuna wachezaji baadhi sio level ya Chelsea lakini kwa kiasi kikubwa tuna wachezaji wazuri Reece James, Colwil, Cucurella, Caicedo, Lavia, Santos, Garnacho, Gusto, Joao Pedro, Estevao, Neto, Essugo n.k wanatosha kufanya team iwe nzuri hata Enzo Fernandez tunayemlaumu ni mchezaji mzuri sema ametumika sana na hili tumeliona hata pre-season ni vile tu kocha anakaza fuvu. Kuna Mambo kocha anatuangusha hata hiyo Liverpool ina wachezaji wakawaida baadhi ya sehemu sema inabebwa team spirit walionayo ndio kitu ambacho sisi tumekosaLembu jaribu kukubali uhalisia
Huwezi kwenda kushindana na timu kama Liverpool wakati huo kuna lundo la matakataka. Hebu angalia matakataka tuliyo nayo.
Kwanza kabisa ni kocha tulie nae huyu ni takataka hamna kocha mule na hana viwango vya kufundisha timu Kama Chelsea, huyo anabidi aende championship huko ndio level zake.
Joao Pedro, Garnacho, Guiu, Liam Delap, Enzo Fernandez, Jamie Gittens, Facundo, Lavia, George, Fofana, Tosin, Hato, Sanchez hawa wote hawana level ya kucheza Chelsea, ni bahati tu wamejikuta wapo Chelsea.
Hatutashinda mechi zote kwa sababu sisi sio title contender kama Arsenal na Liverpool. Maresca leo kwenye interview kasema kazi msimu huu ni kuendelea kuwainua viwango wachezaji.Kuachwa point 2 sio shida Kama huwezi kushinda mechi zako, unakumbuka msimu uliyopita tulishika nafasi Hadi ya pili ulitegemea tutakuja kugombea nafasi ya nne
Wachezaji wote ni wazuri, kocha saa nyingine anazingua na amri zake 10Ni kweli tuna wachezaji baadhi sio level ya Chelsea lakini kwa kiasi kikubwa tuna wachezaji wazuri Reece James, Colwil, Cucurella, Caicedo, Lavia, Santos, Garnacho, Gusto, Joao Pedro, Estevao, Neto, Essugo n.k wanatosha kufanya team iwe nzuri hata Enzo Fernandez tunayemlaumu ni mchezaji mzuri sema ametumika sana na hili tumeliona hata pre-season ni vile tu kocha anakaza fuvu. Kuna Mambo kocha anatuangusha hata hiyo Liverpool ina wachezaji wakawaida baadhi ya sehemu sema inabebwa team spirit walionayo ndio kitu ambacho sisi tumekosa
Chelsea tumeshinda mechi 2 droo mbili tukafungwa moja tena hii ya Manure ilikuwa ni lazima tu hatuna bahati nao poale Old Trafford tangu 2013Kuachwa point 2 sio shida Kama huwezi kushinda mechi zako, unakumbuka msimu uliyopita tulishika nafasi Hadi ya pili ulitegemea tutakuja kugombea nafasi ya nne
Joao Pedro?Lembu jaribu kukubali uhalisia
Huwezi kwenda kushindana na timu kama Liverpool wakati huo kuna lundo la matakataka. Hebu angalia matakataka tuliyo nayo.
Kwanza kabisa ni kocha tulie nae huyu ni takataka hamna kocha mule na hana viwango vya kufundisha timu Kama Chelsea, huyo anabidi aende championship huko ndio level zake.
Joao Pedro, Garnacho, Guiu, Liam Delap, Enzo Fernandez, Jamie Gittens, Facundo, Lavia, George, Fofana, Tosin, Hato, Sanchez hawa wote hawana level ya kucheza Chelsea, ni bahati tu wamejikuta wapo Chelsea.
Tukianza kupoteza ambitious za kuchukua ubingwa tutaanza kupoteza wachezaji wetu Bora na tutashindwa kushawishi big names Kuna club yetuHatutashinda mechi zote kwa sababu sisi sio title contender kama Arsenal na Liverpool. Maresca leo kwenye interview kasema kazi msimu huu ni kuendelea kuwainua viwango wachezaji.
Maoni yangu
Ili msimu ujao wakiimarika kama Noni Madueke anauzwa kwa faida
Wamiliki hawana mpango na makombe, hayo makombe ni gharama labda kama yakijileta yenyewe kama Conference na CWC
Msimu uliopita tulishinda vikombe vikubwa viwili, imetia motiosha sana, nadhani pia msimu huu tunaweza shinda kikombe mojawapo ila sio ligi. Tuwe wakweli bado hatujafika huko na hasa kwa sababu ya viraka bado ni vingi na Kocha bado anaendeleza ujinga wa msimu uliopita wa kung'ang'ana na wachezaji walioshuka fomu zao na kulazimisha out of position isiyofanya kazi na kuwaweka benchi muda mrefu wachezaji muhimu. Nahisi ndio maan ahata Jackson akakimbiaTukianza kupoteza ambitious za kuchukua ubingwa tutaanza kupoteza wachezaji wetu Bora na tutashindwa kushawishi big names Kuna club yetu
Ila hapo hata mimi iliniudhi kweli, Tukubali Tosin na Chalobah sio tactical defender nanaona kama vile ni slow learnersKuna michezaji mingine ni mitakataka kbs, ukiambiwa huko nyuma alikua anasubiri nini wakati wenzie hawapo, na minywele yake yenye rangi ya moto.View attachment 3477535