Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🤣🤣🤣 Pipi tunakuomba tuko chini ya miguu yako mechi ijayo dhidi ya Chelkenge usifanye prediction😁😁😁
Man united 2 vs Chelsea 1
Screenshot_20250920-203744.png
 
Maresca mpk sasa hatumdai, ndani ya muda mfupi ameshatupatia makombe. Ningekushauri ungeelekeza nguvu zako kw kigiwi kwanza, mana ana miaka nane mpk sasa halafu hana mafanikio yoyote.
Mzee Carragher aliliita lile ni Micky mouse cup ...mashindano timu zimeenda kutalii Marekani mnaita kombe.....lile lilikuwa ni bonanza mkuu....sasa ndo upo kwny makombe halisi....j5 mmedundwa na jana mmedundwa....tunaangalia mechi ijayo mnacheza na nani tuchungulie tena🤠🤠🤠
 
Ngoja Leo nitangaze kabisa Sina Imani Tena Maresca, huyu kocha ni Kama vile hajui Nini anataka huu msimu huwezi kuwa bingwa Kama unashindwa kuifunga team mbovu Kama Man U, sub zake zinaonesha ni kocha wa middle table kosa la Kwanza selection yake ya kikosi ilikuwa sio nzuri unamchezesha vipi Estevao Left winger wakati hiyo nafasi una Garnacho na Gittens pili kitendo cha kumn'gan'gania Enzo Fernandez wakati kiwango chake kimeshuka kinaonesha ni kocha aliyekosa ambitious za kuwin game. Tulivyopata red card zile sub alizofanya ya kuwatoa Estevao na Pedro Neto kwa pamoja imeonesha ni kocha alikosa maarifa lakini cha ajabu zaidi ni kitendo cha kumuingiza George badala Garnacho pia niliishiwa pawa kabisa. Nawaambia tu mashabiki wenzangu tusiwe na matarajio yoyote msimu huu Kama Maresca ataendelea kuwa kocha wetu.Na speech zake huwa hazihamasishi team kupambana
 
Mzee Carragher aliliita lile ni Micky mouse cup ...mashindano timu zimeenda kutalii Marekani mnaita kombe.....lile lilikuwa ni bonanza mkuu....sasa ndo upo kwny makombe halisi....j5 mmedundwa na jana mmedundwa....tunaangalia mechi ijayo mnacheza na nani tuchungulie tena🤠🤠🤠
FIFA Club world cup na UEROPA comference cup sawa ni micky mouse cup, ndani ya miaka nane tapeli kiwigi anayo hayo mangapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom