Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🚨🔵 HABARI MPYA: HERE WE GO
Alejandro Garnacho kujiunga na Chelsea, ni rasmi!
✅ Makubaliano yamekamilika kati ya #CFC na Manchester United.
Garnacho alitaka Chelsea tu. Atasaini mkataba wa miaka 7 na ada ya uhamisho karibu £40 milioni.
Mpango wa muda mrefu. Blue imepata moto! 🔥💙 #Garnacho #ChelseaFC #Usajili2025

View attachment 3456678
Yani timu yenu nafasi moja ina zaidi ya watu 6
 
Xavi Simon kalikataa hili timu kaenda zake spurs kweli hii timu inagundu Kila mchezaji anaikataa
 
Mashabiki wa Chelsea, tusikubali kufungwa na drama za Xavi Simons na Fermin Lopez.
Tusisahau kuwa Kendry Páez anarudi msimu ujao baada ya mkopo utakaofanikiwa sana na huenda akachukua nafasi hiyo kikamilifu. Pia, Dastan Satpaev anakuja msimu ujao na atamsukuma Joao Pedro kuingia kwenye nafasi ya namba 10. Mustakabali wa buluu ni salama huko mbele! 💙
Nina imani na wamiliki na SDs
VIVA Chelsea
Live long The Blues
 
Mashabiki wa Chelsea, tusikubali kufungwa na drama za Xavi Simons na Fermin Lopez.
Tusisahau kuwa Kendry Páez anarudi msimu ujao baada ya mkopo utakaofanikiwa sana na huenda akachukua nafasi hiyo kikamilifu. Pia, Dastan Satpaev anakuja msimu ujao na atamsukuma Joao Pedro kuingia kwenye nafasi ya namba 10. Mustakabali wa buluu ni salama huko mbele! 💙
Nina imani na wamiliki na SDs
VIVA Chelsea
Live long The Blues
Hayo ni ya baadae sisi tunataka matokeo ya Sasa tuna michuano mingi tunahitaji tuwe na kikosi kikali
 
Hayo ni ya baadae sisi tunataka matokeo ya Sasa tuna michuano mingi tunahitaji tuwe na kikosi kikali
Xavi Simons anaenda Spurs na dili la Fermin Lopez haliwezekani, Barcelona wamepandisha dau hadi Euro mil 90 kuonyesha kwamba hawataki kumuuza.
 
Xavi Simons anaenda Spurs na dili la Fermin Lopez haliwezekani, Barcelona wamepandisha dau hadi Euro mil 90 kuonyesha kwamba hawataki kumuuza.
Dili hilo la Xavi Simons kwenda Spurs limekamilika
Yajayo mazuri zaidi,
Hatuwezi kujua kwa nini Wamiliki na SDs hawakupeleka bid hata moja kwa zaidi ya mwezi mzima tunapakiwa taarifa tu kuwa Somons ameichagua Chelsea tu
Labda kuna kitu wameona au kuna vipaumbele bora zaidi
1756455877698.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom