Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa namna ninavyoona Chelsea tumeshamkosa Xavi Simons
Chelsea wanawataka wachezaji watatu
Garnacho, hili ni kama 95% kukamilika
Xavi Simons bado gap ya ada niu kubwa sana kutoka mil 50 ya Chelsea kwenda Mil 70 ya RB Leipzig
Fermin Lopez - Chelsea wametoa ofa ya euro mil 58 ambayo ilikataliwa. Barcelona wanataka mil 70
Taarifa zaidi hii hapa
Chelsea wameripotiwa kupendekeza ofa ya Euro milioni 65 kumsajili Fermin López kutoka FC Barcelona. Hii ni zabuni iliyorekebishwa, kutoka kwa euro milioni 58 za awali, na ni malipo ya kudumu—hayajahusishwa na bonasi za utendajikazi au nyongeza.
Hata hivyo, Barcelona wanashikilia uthabiti wa thamani ya Euro milioni 70, na meneja Hansi Flick anataka kuweka Fermin kama sehemu ya mipango yake. Mchezaji huyo mwenyewe ameonyesha nia ya kusalia Camp Nou, lakini ofa ya Chelsea inajumuisha mshahara mnono—unaoripotiwa kuwa jumla ya Euro milioni 15 kwa msimu, zaidi ya mara mbili ya mapato yake ya sasa.
-Beinginsports
 
Katika utangulizi wa droo ya Ligi ya Mabingwa leo usiku itahusisha tuzo maalum kukabidhiwa kwa Chelsea kwa "kushinda yote" baada ya Conference League kukamilisha mkusanyiko wao wa UEFA.
1756383151737.png
 
Chelsea wanawataka wachezaji watatu
Garnacho, hili ni kama 95% kukamilika
Xavi Simons bado gap ya ada niu kubwa sana kutoka mil 50 ya Chelsea kwenda Mil 70 ya RB Leipzig
Fermin Lopez - Chelsea wametoa ofa ya euro mil 58 ambayo ilikataliwa. Barcelona wanataka mil 70
Taarifa zaidi hii hapa
Chelsea wameripotiwa kupendekeza ofa ya Euro milioni 65 kumsajili Fermin López kutoka FC Barcelona. Hii ni zabuni iliyorekebishwa, kutoka kwa euro milioni 58 za awali, na ni malipo ya kudumu—hayajahusishwa na bonasi za utendajikazi au nyongeza.
Hata hivyo, Barcelona wanashikilia uthabiti wa thamani ya Euro milioni 70, na meneja Hansi Flick anataka kuweka Fermin kama sehemu ya mipango yake. Mchezaji huyo mwenyewe ameonyesha nia ya kusalia Camp Nou, lakini ofa ya Chelsea inajumuisha mshahara mnono—unaoripotiwa kuwa jumla ya Euro milioni 15 kwa msimu, zaidi ya mara mbili ya mapato yake ya sasa.
-Beinginsports
Euro 70M kwa mmchezaji wa rotation ni kubwa sana, timu itunze pesa kila msimu fursa sokoni hazikosekani ijikite kwenye kuuza basi
 
Chelsea wanawataka wachezaji watatu
Garnacho, hili ni kama 95% kukamilika
Xavi Simons bado gap ya ada niu kubwa sana kutoka mil 50 ya Chelsea kwenda Mil 70 ya RB Leipzig
Fermin Lopez - Chelsea wametoa ofa ya euro mil 58 ambayo ilikataliwa. Barcelona wanataka mil 70
Taarifa zaidi hii hapa
Chelsea wameripotiwa kupendekeza ofa ya Euro milioni 65 kumsajili Fermin López kutoka FC Barcelona. Hii ni zabuni iliyorekebishwa, kutoka kwa euro milioni 58 za awali, na ni malipo ya kudumu—hayajahusishwa na bonasi za utendajikazi au nyongeza.
Hata hivyo, Barcelona wanashikilia uthabiti wa thamani ya Euro milioni 70, na meneja Hansi Flick anataka kuweka Fermin kama sehemu ya mipango yake. Mchezaji huyo mwenyewe ameonyesha nia ya kusalia Camp Nou, lakini ofa ya Chelsea inajumuisha mshahara mnono—unaoripotiwa kuwa jumla ya Euro milioni 15 kwa msimu, zaidi ya mara mbili ya mapato yake ya sasa.
-Beinginsports
Kwanini tusistick na Xavi Simons ambaye tunamakubaliano nae kuliko kuangaika na Lopez hatuna uhakika nae na ndio maana nimeona tudharua hii itafanya Xavi Simons kukubali offer ya spurs
 
Euro 70M kwa mmchezaji wa rotation ni kubwa sana, timu itunze pesa kila msimu fursa sokoni hazikosekani ijikite kwenye kuuza basi
Kabisa hata barca haanzi huyu
Katika utangulizi wa droo ya Ligi ya Mabingwa leo usiku itahusisha tuzo maalum kukabidhiwa kwa Chelsea kwa "kushinda yote" baada ya Conference League kukamilisha mkusanyiko wao wa UEFA.
View attachment 3456307
Saa ngapi hii mkuu
 
Wapinzani wa Chelsea kwenye UEFA Champions League hii hapa
Hisia, presha, na matumaini yote yamechanganyika. 😭💙

Tunawakaribisha Barcelona pale Stamford Bridge... lakini safari hii ni ya moto kweli kweli. 🔥

Orodha nzima ya wapinzani hii hapa:
  1. Barcelona (Nyumbani) – Historia inajirudia, macho yote kwa Stamford Bridge.
  2. Bayern Munich (Ugenini) – Kibarua kigumu kwenye baridi ya Bavaria.
  3. Benfica (Nyumbani) – Mashambulizi ya Kireno yanatua London.
  4. Atalanta (Ugenini) – Kasi ya Italia inatusubiri Bergamo.
  5. Ajax (Nyumbani) – Vijana wa Amsterdam wanakuja na falsafa ya soka safi.
  6. Napoli (Ugenini) – Joto la Napoli na presha ya Diego Maradona Stadium.
  7. Pafos (Nyumbani) – Nafasi ya kupumua kidogo, lakini tusipuuze.
  8. Qarabag (Ugenini) – Safari ndefu hadi Azerbaijan, hakuna mechi rahisi.
1756399684665.png
 
Chelsea wanawataka wachezaji watatu
Garnacho, hili ni kama 95% kukamilika
Xavi Simons bado gap ya ada niu kubwa sana kutoka mil 50 ya Chelsea kwenda Mil 70 ya RB Leipzig
Fermin Lopez - Chelsea wametoa ofa ya euro mil 58 ambayo ilikataliwa. Barcelona wanataka mil 70
Taarifa zaidi hii hapa
Chelsea wameripotiwa kupendekeza ofa ya Euro milioni 65 kumsajili Fermin López kutoka FC Barcelona. Hii ni zabuni iliyorekebishwa, kutoka kwa euro milioni 58 za awali, na ni malipo ya kudumu—hayajahusishwa na bonasi za utendajikazi au nyongeza.
Hata hivyo, Barcelona wanashikilia uthabiti wa thamani ya Euro milioni 70, na meneja Hansi Flick anataka kuweka Fermin kama sehemu ya mipango yake. Mchezaji huyo mwenyewe ameonyesha nia ya kusalia Camp Nou, lakini ofa ya Chelsea inajumuisha mshahara mnono—unaoripotiwa kuwa jumla ya Euro milioni 15 kwa msimu, zaidi ya mara mbili ya mapato yake ya sasa.
-Beinginsports
Mchezaji ameshasema anataka kuichezea baca, wanahangaika nae ya nini, huyo hata akija atakua hajitumi.
 
Hama hamna timu ni utopolo tu
Tukutane Darajani, acha porojo za geto
Wapinzani wa Chelsea kwenye UEFA Champions League hii hapa
Hisia, presha, na matumaini yote yamechanganyika. 😭💙

Tunawakaribisha Barcelona pale Stamford Bridge... lakini safari hii ni ya moto kweli kweli. 🔥

Orodha nzima ya wapinzani hii hapa:
  1. Barcelona (Nyumbani) – Historia inajirudia, macho yote kwa Stamford Bridge.
  2. Bayern Munich (Ugenini) – Kibarua kigumu kwenye baridi ya Bavaria.
  3. Benfica (Nyumbani) – Mashambulizi ya Kireno yanatua London.
  4. Atalanta (Ugenini) – Kasi ya Italia inatusubiri Bergamo.
  5. Ajax (Nyumbani) – Vijana wa Amsterdam wanakuja na falsafa ya soka safi.
  6. Napoli (Ugenini) – Joto la Napoli na presha ya Diego Maradona Stadium.
  7. Pafos (Nyumbani) – Nafasi ya kupumua kidogo, lakini tusipuuze.
  8. Qarabag (Ugenini) – Safari ndefu hadi Azerbaijan, hakuna mechi rahisi.
View attachment 3456581
 
Xavi Simons huyo anaenda Spurs, Jamaa wanaenda spidi ya chitah, wako tayari kutoa zaidi ya pauni mil 60
 
Newcastle wameamua kuruka na huyu dogo Nick Woltemade kwa €80m ambaye Bayern Munich walishindwa ndio wakaamua kwenda na Nicolas Jackson. Naona kama Newcastle wanawakomoa Bayern Munich vile
1756405536880.png
 
🚨🔵 HABARI MPYA: HERE WE GO
Alejandro Garnacho kujiunga na Chelsea, ni rasmi!
✅ Makubaliano yamekamilika kati ya #CFC na Manchester United.
Garnacho alitaka Chelsea tu. Atasaini mkataba wa miaka 7 na ada ya uhamisho karibu £40 milioni.
Mpango wa muda mrefu. Blue imepata moto! 🔥💙 #Garnacho #ChelseaFC #Usajili2025

1756406736024.png
 
Wapinzani wa Chelsea kwenye UEFA Champions League hii hapa
Hisia, presha, na matumaini yote yamechanganyika. 😭💙

Tunawakaribisha Barcelona pale Stamford Bridge... lakini safari hii ni ya moto kweli kweli. 🔥

Orodha nzima ya wapinzani hii hapa:
  1. Barcelona (Nyumbani) – Historia inajirudia, macho yote kwa Stamford Bridge.
  2. Bayern Munich (Ugenini) – Kibarua kigumu kwenye baridi ya Bavaria.
  3. Benfica (Nyumbani) – Mashambulizi ya Kireno yanatua London.
  4. Atalanta (Ugenini) – Kasi ya Italia inatusubiri Bergamo.
  5. Ajax (Nyumbani) – Vijana wa Amsterdam wanakuja na falsafa ya soka safi.
  6. Napoli (Ugenini) – Joto la Napoli na presha ya Diego Maradona Stadium.
  7. Pafos (Nyumbani) – Nafasi ya kupumua kidogo, lakini tusipuuze.
  8. Qarabag (Ugenini) – Safari ndefu hadi Azerbaijan, hakuna mechi rahisi.
View attachment 3456581
Hapo hisia, mateso imechanganyika kivipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom