Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kila nikikumbuka Tuliaminishwa Simon anaitaka Chelsea tuu kufa kupona nachoka 😂
Chelsea ndio wameonesha hawapo serious maana Wameingia makubaliano na mchezaji alafu hawataki kupeleka dau kwa RB Leipzig ukiwa Kama mchezaji wewe unafanyaje alafu chakushangaa wamefanya fasta kwa Garnacho
 
Kama Chelsea hawatasajili mchezaji mwingine baada ya kumkosa Xavi Simons watakuwa wametuangusha sana mashabiki Kama hamuoneshi kumkubali mchezaji kwanini mlimuahidi mchezaji mtamsajili hii mantiki sijaelewa
 
Chelsea ndio wameonesha hawapo serious maana Wameingia makubaliano na mchezaji alafu hawataki kupeleka dau kwa RB Leipzig ukiwa Kama mchezaji wewe unafanyaje alafu chakushangaa wamefanya fasta kwa Garnacho
Epuka kuwa negative kwa sasa ili baadaye usije kulasimika kuyarudia matapishji yako mwenyewe.
Aliyefanya uamuzi wa kutomsajili Xavi Simons alifanya hivyo kwa manufaa ya timu. Hatuwezi kujua kama media walikuwa wakiongeza chumvi.
SABABU INAWEWZA KUWA NI:
1) Kunaweza kuwa kuna chaguo bora zaidi.
2) Sheria za UEFA zinaweza kuwa zimezuia kumsajili.
3) Mchezaji anaweza akawa na kasoro ambayo sisi hatukujua.
4) Kocha anaweza kuwa hakumtaka. Na hapa nasikia kocha anampendelea Fermin Lopez zaidi
 
Tulikuwa na hasira kama hii ya kumkosa Xavi Simons wakati ule wa Jhon Durán na Andre Onana. Nini kilitokea baadaye?
 
Timu hili Kila mchezaji analikimbia Xavi Simons amelikimbia tena kakimbilia timu ya majogoo aisee ni aibu
 
Kama Chelsea hawatasajili mchezaji mwingine baada ya kumkosa Xavi Simons watakuwa wametuangusha sana mashabiki Kama hamuoneshi kumkubali mchezaji kwanini mlimuahidi mchezaji mtamsajili hii mantiki sijaelewa
Kiuhalisia mchezaji tunayemuhitaji kwa sasa ni beki mzoefu wa kati huko mbele ni kocha na wachezaji tu washindwe wao
 
Tulikuwa na hasira kama hii ya kumkosa Xavi Simons wakati ule wa Jhon Durán na Andre Onana. Nini kilitokea baadaye?
Shida Wala sio kumkosa Xavi tunajiuliza kwanini team imepoteza muda mrefu kwa mchezaji ambaye inaonesha hawamuhitaji kwanini hatukufungua room kwa wachezaji wengine ambao wanaona uongozi na kocha wanafaa.Maana navyojua Mimi lazima uwe na options
 
Shida Wala sio kumkosa Xavi tunajiuliza kwanini team imepoteza muda mrefu kwa mchezaji ambaye inaonesha hawamuhitaji kwanini hatukufungua room kwa wachezaji wengine ambao wanaona uongozi na kocha wanafaa.Maana navyojua Mimi lazima uwe na options
Yule Gittens msimu ujao mtamuuza....nishaanza Kuona dalili mbaya hakyanani
 
Nadhan SD wamezingua sana issue ya Xavi Simon huwez msubirisha mchezaj mwez mzima ukimwmabia nkunku akiondoka deal lako linakamilika halaf nkunku deal linakamilika unaprioritise Garnacho, Nadhan wameonyesga DISRESPECT kwa Xavi Simon, Hata ningekuwa mimi ningefanya maamuzi hayo huwez subir mwez mzima unapewa matumaini halaf baadae unaona mchezaj flan anasajiliwa .
 
Shida Wala sio kumkosa Xavi tunajiuliza kwanini team imepoteza muda mrefu kwa mchezaji ambaye inaonesha hawamuhitaji kwanini hatukufungua room kwa wachezaji wengine ambao wanaona uongozi na kocha wanafaa.Maana navyojua Mimi lazima uwe na options
Usiziamini sana media
 
Nadhan SD wamezingua sana issue ya Xavi Simon huwez msubirisha mchezaj mwez mzima ukimwmabia nkunku akiondoka deal lako linakamilika halaf nkunku deal linakamilika unaprioritise Garnacho, Nadhan wameonyesga DISRESPECT kwa Xavi Simon, Hata ningekuwa mimi ningefanya maamuzi hayo huwez subir mwez mzima unapewa matumaini halaf baadae unaona mchezaj flan anasajiliwa .
Ndg yuangu habari za kupotea tumekumisi sana
Ushauri wangu ni huu
Tusiziamini sana media kwamba Chelsea ilimsubirisha. Inaweza kuwa mchezaji ndie kajisubirisha na wala Chelsea hawakuwa na dili naye
Hadi sasa Chelsea haijawahi kupeleka posa zaidi ya mipasho ya mdomo tu.
Xavi Simon angekuja kuwa backup ya Palmer kwa sababu hawezi kucheza LW na striker role ina wenyewe. Sasa mchezaji wa Backup kumnunua kwa mil 60 sio fair.
Pia nasikia Maresca anampenda Fermin Lopez zaidi ya Xavi SimonsTusubiri kwanza tusiwe na harakla ya kuhukumu
 
Kiuhalisia mchezaji tunayemuhitaji kwa sasa ni beki mzoefu wa kati huko mbele ni kocha na wachezaji tu washindwe wao
Labda sababu kuu ya kumuacha Xavi Simons pia ni hiyo. Kwanza Simons ilikuwa tu ni luxury buy, hakuwa na umuhimu zaidi. Hiyo Namba 10 anaweza kucheza Jopa Pedro, Enzo Fernandez Esetevao Willian mbali na Cole Palmer
 
Mchezaji ukishamnunua zaidi ya £45mil kumuuza baada ya msimu 1 unahitaji miujiza
Gittens bado mdogo sana, kuanza kuwaza kumuuza kwa umri wake labda kama atakuwa na attude mbaya. Akishindwa kufight sanasana atapelekwa mkopo
 
Dili hilo la Xavi Simons kwenda Spurs limekamilika
Yajayo mazuri zaidi,
Hatuwezi kujua kwa nini Wamiliki na SDs hawakupeleka bid hata moja kwa zaidi ya mwezi mzima tunapakiwa taarifa tu kuwa Somons ameichagua Chelsea tu
Labda kuna kitu wameona au kuna vipaumbele bora zaidi
View attachment 3457242
Bora mana, haka katoto sijawah kukakubali hata kidogo, kachoyo hatarii.
 
Alejandro Garnacho ameshamaliza kupima afya yake pale London na Man United imeshasaini documents zote. Anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka saba
 
Ndg yuangu habari za kupotea tumekumisi sana
Ushauri wangu ni huu
Tusiziamini sana media kwamba Chelsea ilimsubirisha. Inaweza kuwa mchezaji ndie kajisubirisha na wala Chelsea hawakuwa na dili naye
Hadi sasa Chelsea haijawahi kupeleka posa zaidi ya mipasho ya mdomo tu.
Xavi Simon angekuja kuwa backup ya Palmer kwa sababu hawezi kucheza LW na striker role ina wenyewe. Sasa mchezaji wa Backup kumnunua kwa mil 60 sio fair.
Pia nasikia Maresca anampenda Fermin Lopez zaidi ya Xavi SimonsTusubiri kwanza tusiwe na harakla ya kuhukumu
Unajua Xavi Simons alifika muda akawa anawafollow wachezaji wa Chelsea haikuishia hapo pia alicomment pia kwenye page ya Chelsea Instagram kwenye utambulisho wa Joel Hato alafu unataka tusiamini media kweli?
 
HABARI KUU ZA HIVI PUNDE:

Chelsea wanafanyia kazi ya kumsajili Facundo Buonanotte kutoka Brighton. Huyu ni kinda wa miaka 20 na anacheza kama Attacking Midfilder. Anatokea taifa la Argentina
@FabrizioRomano
1756474128919.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom