Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unajua Xavi Simons alifika muda akawa anawafollow wachezaji wa Chelsea haikuishia hapo pia alicomment pia kwenye page ya Chelsea Instagram kwenye utambulisho wa Joel Hato alafu unataka tusiamini media kweli?
Naona Chelsea hawakupenda jinsi RB Leipzig wanavyofanya biashara, na Chelsea kumbuka juzi juzi tu walipigwa faini na kupewa masharti ya kuwasaini UEFA wachezaji wapya. Mimi naona sababu kubwa ndio hiyo. Chelsea hawakutaka kumnunu8a Simons kwa pesa kubwa ukichukulia pingamizi ya UEFA na pia anakuja kuwa backup ya Cole Palmer
 
HABARI KUU ZA HIVI PUNDE:

Chelsea wanafanyia kazi ya kumsajili Facundo Buonanotte kutoka Brighton. Huyu ni kinda wa miaka 20 na anacheza kama Attacking Midfilder. Anatokea taifa la Argentina
@FabrizioRomano
View attachment 3457617
Taarifa zingine zinasema kuwa huyu dogo wanaomtaka ni Bluieco labda ili wampeleke Strassbourg
 
BREAKING: Fermin López atatangaza uamuzi kuhusu mustakabali wake pale Barcelona katika taarifa maalum muda wowote kuanzia sasa
1756474560563.png
 
HABARI KUU ZA HIVI PUNDE:

Chelsea wanafanyia kazi ya kumsajili Facundo Buonanotte kutoka Brighton. Huyu ni kinda wa miaka 20 na anacheza kama Attacking Midfilder. Anatokea taifa la Argentina
@FabrizioRomano
View attachment 3457617
Chelsea wanamchukua kkwa mkopo. Hii inaonyesha kuwa dili la Xavi Simons Chelsea waliachia makusudi kwa sababu hawakutaka kutumia pesa nyingi. Hapo masharti ya UEFA yanafanya kazi
 
Chelsea wanamchukua kkwa mkopo. Hii inaonyesha kuwa dili la Xavi Simons Chelsea waliachia makusudi kwa sababu hawakutaka kutumia pesa nyingi. Hapo masharti ya UEFA yanafanya kazi
Vipi kuhusu kuonesha interest ya kumsajili Lopez kwani huyu Hana bei kubwa?
 
Issue ya Xavi imekuaje nashangaa kusikia anaenda Tot? Katika wachezaji sijafuatilia ni huyu na sielewi kwanini akaishia kwenda North London
 
🔴 BREAKING NEWS: Julio Enciso sasa ni mchezaji wa BlueCo rasmi — Here we go imethibitishwa! 🔵
✅ Makubaliano yamekamilika na Brighton, vipimo vya afya vimefanyika kwa mafanikio 100%. Enciso amesaini mkataba hadi mwaka 2030.
📍 Anaelekea Strasbourg mara moja kwa mkataba wa kudumu, huku akihifadhiwa kwa uwezekano wa baadaye kujiunga na Chelsea.
-Fabrizio Romano
1756495954264.png
 
🔴 HABARI MPYA KABISA (Swahili): Facundo Buonanotte kuelekea Chelsea — Here we go imethibitishwa! 🔵🇦🇷
📑 Makubaliano ya mkopo yamekamilika, bila kipengele cha kununua mchezaji kudumu.
❗️ Taarifa zinaeleza kuwa Chelsea watakuwa na nafasi ya kulinganisha ofa za baadaye na kumchukua Buonanotte endapo watakubaliana na Brighton.
🕵️‍♂️ Habari ya kipekee, imethibitishwa rasmi.
Fabrizio Romano
1756496297325.png
 
TAKATAKA
HABARI MPYA KABISA (Swahili): Facundo Buonanotte kuelekea Chelsea — Here we go imethibitishwa!
Makubaliano ya mkopo yamekamilika, bila kipengele cha kununua mchezaji kudumu.
️ Taarifa zinaeleza kuwa Chelsea watakuwa na nafasi ya kulinganisha ofa za baadaye na kumchukua Buonanotte endapo watakubaliana na Brighton.
Habari ya kipekee, imethibitishwa rasmi.
Fabrizio Romano
View attachment 3458124
 
Yule dogo amini nakwambia pale Spurs ata kiwasha sana mpaka tutamkumbuka. Xavi ni mchezaji mzuri.
Kati ya watu watakaoukua wameumia dili la Simon kufa we utakua umeumia sana we jamaa, yaan maisha bana. Wakat ww unahuzunika mimi nimefurahia. Kale katoto hakana tofauti na madueke.
 
🔴 HABARI MPYA KABISA:
Hakuna mawasiliano wala mazungumzo yanayoendelea kati ya Chelsea na Fermin López. 🔵
Chelsea walionyesha nia kidogo na kuwasiliana na wakala wake siku chache zilizopita — lakini hapo ndipo ilipoishia. Mazungumzo hayakuendelea.
Fermin hajawahi kuzingatiwa kama mbadala wa Xavi Simons, na kwa sasa, hakuna kinachoendelea kati ya Chelsea na kiungo huyo wa Barcelona.
-Fabrizio Romano
1756501841513.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom