Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Barca wao wanacho angalia ni hela tu, mkifika bei mchezaji anauzwa. Inshu inabaki kwa mchezaji, na Lopez amekataa kuondoka Barca. Kwahiyo huo usajili haupo tena.

Suala la Xavi kuja Chelsea ni mpaka kati ya Jackson na Nkunku watoke bila hivyo sahau kuhusu Simons kuja Chelsea.

Usajili ambao upo kwa asilimia kubwa kufanyika ni wa Garnacho.
Kwanini si Xavi Simons Kwanza badala ya Garnacho?
 
AC Milan naona wako serious kumsajili Nkunku wameanza na dili la Euro mil 30, wanaweza kufika mil 40 pamoja na Addons
Aston Vila na RB Leipzig nao bado wanachechemea ila Milan ndio wako serious. Kesho Asubuhi tutasikia HERE WE GO ya Fabrizio
 
Kuhusu usajili wa Garnacho, Fabrizio anaripoti kuwa ni asilimia 90. ada inaweza fika pauni mil 30-40 pamoja na Addons
 
Bro nime ku reply hapo juu kwamba ili huyo Xavi wako aje inabidi matakataka Jackson na Nkunku yatoke kwanza, bila hivyo sahau kabisa kumuona Xavi wako Chelsea labda kwenye ndoto ukiwa umelala. Ukiona mmoja kati ya hao wawili ameuzwa basi automatically Xavi atakuwa mali ya Chelsea, bila hivyo endelea kulia tu.

Inshu kubwa hapo ni kubalance mahesabu kwenye daftari, endapo Chelsea ikafanya huo usajili bila hao takataka kutoka basi huko mbeleni tutapigwa rungu. Ndio maana unaona hilo dili limekuwa gumu sana, inshu sio hela, hela ipo.

Na suala la takataka Garnacho hilo halihusiani na mahesabu kwenye daftari, kinacho chelewesha hilo dili ni NYUMBU wanataka hela nyingi.
Kwanini si Xavi Simons Kwanza badala ya Garnacho?
 
Bro nime ku reply hapo juu kwamba ili huyo Xavi wako aje inabidi matakataka Jackson na Nkunku yatoke kwanza, bila hivyo sahau kabisa kumuona Xavi wako Chelsea labda kwenye ndoto ukiwa umelala.

Inshu kubwa hapo ni kubalance mahesabu kwenye daftari, endapo Chelsea ikafanya huo usajili bila hao takataka kutoka basi huko mbeleni tutapigwa rungu. Ndio maana unaona hilo dili limekuwa gumu sana, inshu sio hela, hela ipo.

Na suala la takataka Garnacho hilo halihusiani na mahesabu kwenye daftari, kinacho chelewesha hilo dili ni NYUMBU wanataka hela nyingi.
Umeleza vizuri but nilivyosoma kwa Fabrizio ni kwamba ili garnacho na Xavi waje darajani ni lazima Nkuku na Jackson waondoke ndio maana nikahoji hapo inakuaje Chelsea inakamilisha deal la Garnacho ikiwa Nkuku na Jackson bado hawajasepa
 
Mpaka kesho na kesho kutwa Garnacho atakuwa Chelsea, Xavi ndio mpaka hao wawili wauzwe. Kwahiyo usajili wake unaweza kuwa ile siku ya deadline. Fabrizio nae muda mwingine usimuamini sana juzi kati hapa karipoti kuwa Gara inamtaka Akanji, Akanji akavamia hiyo posti na kukanusha. Fabrizio kuona hivyo akafuta ile posti, jaribu kuongeza source za kupata habari.
Umeleza vizuri but nilivyosoma kwa Fabrizio ni kwamba ili garnacho na Xavi waje darajani ni lazima Nkuku na Jackson waondoke ndio maana nikahoji hapo inakuaje Chelsea inakamilisha deal la Garnacho ikiwa Nkuku na Jackson bado hawajasepa
 
Umeleza vizuri but nilivyosoma kwa Fabrizio ni kwamba ili garnacho na Xavi waje darajani ni lazima Nkuku na Jackson waondoke ndio maana nikahoji hapo inakuaje Chelsea inakamilisha deal la Garnacho ikiwa Nkuku na Jackson bado hawajasepa
Garanacho haitaji Nkunku wala Jackson aondoke. Garnacho ni LW nafasi yake tayari iko wazi na ada yake inatarajiwa kuwa ndogo
Anayetakiwa hasa kuondoka ni Nkunku ili Simons aje. Hao ndio wamefanana kwa nafasi wanazocheza mshahara na ada ya uhamisho
 
Man U yatolewa Karabao na timu ya League 2. AIBU kubwa sana
Matokeo Grimsby 2-2 Man United
Matokeo ya penalti
Grimsby Town Football Club 12 pens
Man United 11 pens
1756329640937.png
 
Garanacho haitaji Nkunku wala Jackson aondoke. Garnacho ni LW nafasi yake tayari iko wazi na ada yake inatarajiwa kuwa ndogo
Anayetakiwa hasa kuondoka ni Nkunku ili Simons aje. Hao ndio wamefanana kwa nafasi wanazocheza mshahara na ada ya uhamisho
Kwahiyo hata Jackson alienda kwa mkopo Bayern haisaidii Xavi Simons kusajiliwa?
 
Kwahiyo hata Jackson alienda kwa mkopo Bayern haisaidii Xavi Simons kusajiliwa?
Dili la Nkunku tu ndilo lilikuwa muhimu kwa sababu kwanza litaingiza mapato halafu itaacha no. 10 kwa Palmer na Xavi akija
Ndio maana unaona Chelsea wamekubali mkopo kwa Jackson hakuna mapato yanaingia ila kwa Nkunku Chelsea imegoma kumtoa kwa mkopo. Dili zote mbili zinafanyika ndani ya masaa 24, Jackson kwenda Bayern Munich na Nkunku kwenda AC Milan
 
Hii timu bado inahangaika na takataka kutoka rb Leipzig
Hiyo timu ni matapeli na wapigaji hata huyo takataka mnaetaka aondoke mmetapeliwa na hao jamaa na washajua nyie ndio wateja wao wazuri
 
Hii timu bado inahangaika na takataka kutoka rb Leipzig
Hiyo timu ni matapeli na wapigaji hata huyo takataka mnaetaka aondoke mmetapeliwa na hao jamaa na washajua nyie ndio wateja wao wazuri
Huyo mchezaji City,Bayern, Tottenham walimuulizia na issue ikawa kwa mchezaji kutaka kuja kwa mabingwa wa Dunia hapo dhambi ipo wapi?
 
🚨💣 Christopher Nkunku kwenda AC Milan, HERE WE GO!
Mkataba ulikubaliwa kwa maneno kimsingi kati ya vilabu.

AC Milan na Chelsea wamepanga kuandaa hati leo, ada itakuwa karibu €35m pamoja na nyongeza.

Nkunku alisema ndio kwa mkataba wa miaka 5 jana, kama ilivyobainishwa.

Dau jumla lionafikia €42m, nyongeza zikiwemo.

Chelsea inakubali ada ya awali isiyobadilika ya zaidi ya €35m pamoja na nyongeza.
-Fabrizio Romano
1756378233919.png
 
Huyo mchezaji City,Bayern, Tottenham walimuulizia na issue ikawa kwa mchezaji kutaka kuja kwa mabingwa wa Dunia hapo dhambi ipo wapi?
Dili la Nkunku limekamilika kwa dau la Pauni mil 36.2 pamoja na clause ya mauzo hapo baadaye
Dili la Jackson Chelsea wanasubiria hatma ya Alexander Isak
Dili la Garnacho nalo litakuwa limekamilika nadhani
Naona sasa Chelsea wataelekeza nguvu zote kwa Xavi Simons ambaye RB Leipzig wamemruhusu kuja London kwa Matibabu
Xavi tayari yuko London kwa matibabu aidha ya Spurs au Chelsea. Ameshazikubalia timu zote mbili ila Chelsea ndio kipaumbele yake
Dili la Nkunku tu ndilo lilikuwa muhimu kwa sababu kwanza litaingiza mapato halafu itaacha no. 10 kwa Palmer na Xavi akija
Ndio maana unaona Chelsea wamekubali mkopo kwa Jackson hakuna mapato yanaingia ila kwa Nkunku Chelsea imegoma kumtoa kwa mkopo. Dili zote mbili zinafanyika ndani ya masaa 24, Jackson kwenda Bayern Munich na Nkunku kwenda AC Milan
 
Dili la Nkunku limekamilika kwa dau la Pauni mil 36.2 pamoja na clause ya mauzo hapo baadaye
Dili la Jackson Chelsea wanasubiria hatma ya Alexander Isak
Dili la Garnacho nalo litakuwa limekamilika nadhani
Naona sasa Chelsea wataelekeza nguvu zote kwa Xavi Simons ambaye RB Leipzig wamemruhusu kuja London kwa Matibabu
Xavi tayari yuko London kwa matibabu aidha ya Spurs au Chelsea. Ameshazikubalia timu zote mbili ila Chelsea ndio kipaumbele yake
Kwa namna ninavyoona Chelsea tumeshamkosa Xavi Simons
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom