Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi napenda kuanza kwa kusuasua hivi. Hii inajengeka akilini kwa waxhezaji na kocha nini wanatakiwa kufanya kwenye hii marathon English Premier League. Naamini timu yetu sio mbaya kama ambavyo wengi wanasema humu.

Hii sare inaamsha hisia ya upambanaji kuelekea mechi zinazokuja
 
Mimi napenda kuanza kwa kusuasua hivi. Hii inajengeka akilini kwa waxhezaji na kocha nini wanatakiwa kufanya kwenye hii marathon English Premier League. Naamini timu yetu sio mbaya kama ambavyo wengi wanasema humu.

Hii sare inaamsha hisia ya upambanaji kuelekea mechi zinazokuja
Asante sana mkuu kwa kuweka point na busara na positivity
Chelsea imecheza pre season 2 tu, Palace wamecheza pre season 8
Hawakupata muda wa kutosha kupumzika baada ya fainali mbili kubwa
Wamekutana na timu inayoongoza kupaki mabasi, malori na makoteina sehemu moja
Ni timu inayoongoza kwenye kupres kwa adabu na mpangilio mzuri
Ni mabingwa wa FA wamewatoa Man City
Mabingwa waq Communityu Shield kwa kuwafunga Liverpool
So hii inatosha kuonyesha kuwa Chelsea bado iko vizuri jamani, ndio ile ile iliyoshinda FIFA Club World Cup na ndio ile ile iliyowatandika Leverkusen 3-0 na AC Milan 4-1
 
Asante sana mkuu kwa kuweka point na busara na positivity
Chelsea imecheza pre season 2 tu, Palace wamecheza pre season 8
Hawakupata muda wa kutosha kupumzika baada ya fainali mbili kubwa
Wamekutana na timu inayoongoza kupaki mabasi, malori na makoteina sehemu moja
Ni timu inayoongoza kwenye kupres kwa adabu na mpangilio mzuri
Ni mabingwa wa FA wamewatoa Man City
Mabingwa waq Communityu Shield kwa kuwafunga Liverpool
So hii inatosha kuonyesha kuwa Chelsea bado iko vizuri jamani, ndio ile ile iliyoshinda FIFA Club World Cup na ndio ile ile iliyowatandika Leverkusen 3-0 na AC Milan 4-1
Aiseee.....
 
Asante sana mkuu kwa kuweka point na busara na positivity
Chelsea imecheza pre season 2 tu, Palace wamecheza pre season 8
Hawakupata muda wa kutosha kupumzika baada ya fainali mbili kubwa
Wamekutana na timu inayoongoza kupaki mabasi, malori na makoteina sehemu moja
Ni timu inayoongoza kwenye kupres kwa adabu na mpangilio mzuri
Ni mabingwa wa FA wamewatoa Man City
Mabingwa waq Communityu Shield kwa kuwafunga Liverpool
So hii inatosha kuonyesha kuwa Chelsea bado iko vizuri jamani, ndio ile ile iliyoshinda FIFA Club World Cup na ndio ile ile iliyowatandika Leverkusen 3-0 na AC Milan 4-1
Sasa watu wanatuchukulia poa poa sana. Ngoja tuipate kasi yetu watatueleza
 
Gittens hamna kitu, afadhali aliyoingia Estêvão game likaanza kuchangamka.

Palace wamecheza kibingwa sana, wangekuwa wanaingia sana kwenye goli pinzani wangeondoka na point tatu leo mapema sana.
Umeangalia upande mmoja tu WAo kuingia golini kwetu sana ndo ingefungua mianya maana walikuwa wamebana wapo tight sana na huenda Chelsea ndo ingempa uwezekano wa kuondoka na point 3 ..kwa kuwa na kina estevao, palmer , Joao Pedro refer mechi ya psg kipindi Cha kwanza goli 3 za haraka crystal walielewa hatari ya Chelsea wakaamua kucheza hvyo
 
Huyu tapeli LAVIA tangu ametua Chelsea sasa imetia miaka 2

Amecheza mechi hazifiki 20
Alizoanza first 11 mechi 9
Mechi 7 pekee amecheza zaid ya dkik 45
 

Attachments

  • 20250818_201245.jpg
    20250818_201245.jpg
    529.4 KB · Views: 15
Huyu tapeli LAVIA tangu ametua Chelsea sasa imetia miaka 2

Amecheza mechi hazifiki 20
Alizoanza first 11 mechi 9
Mechi 7 pekee amecheza zaid ya dkik 45
Huyu na mwenzie Fofana hawana tofauti na wale wa rusha kwnye namba hii. Ila watu wa humu hawataki kusikia kabisa kusikia ukiwaambia majamaa ni matapeli.
 
Huyu na mwenzie Fofana hawana tofauti na wale wa rusha kwnye namba hii. Ila watu wa humu hawataki kusikia kabisa kusikia ukiwaambia majamaa ni matapeli.

Muwe na utu na nafsi. Romeo Lavia na Wesley Fofana hawakuchagua kuwa majeruhi—majeraha yanavuruga taaluma, ndoto, na maisha.

Ni mnyama tu anayemshambulia mtu aliyepatwa na ajali. Hebu jiulize: je, umewahi kumshambulia ndugu yako anayebebwa tu nyumbani kwenu kwa sababu ya ajali?

Tuwaheshimu binadamu. Tuwaachie waliolazwa mikononi mwa madaktari, sisi tujikite kwa walioko wazima. Hakuna mchezaji anayejifanya majeruhi au tapeli.

Hii tabia ya kushambulia majeruhi ikome kabisa. Ushabiki wenye sumu kama huu ni wa kupiga vita. Tuwe mashabiki wa kweli—wenye huruma, heshima, na akili. ⚽💙
 
Msimu mpya umeanza na haya ndiyo mabadiliko unayotakiwa kuyajua kuhusu msimu huu wa ligi kuu Uingereza msimu wa 2025-2026;
1. Endapo kipa akidaka mpira, kisha akaendelea kuushika bila kuuweka chini au kuanzisha mchezo kwa sekunde 8 basi timu yake itaadhibiwa kwa mpinzani kupewa faida ya kupiga kona.

2. Manahodha pekee ndiyo wanaruhusiwa kumfata mwamuzi kumlalamikia tofauti na hapo mchezaji mwingine akimfata refa bila kuitwa au akaenda kwa kuonyesha utovu wa nidhamu, ataonyeshwa kadi ya njano. Kama nahodha ni kipa basi kabla ya mechi, timu itampendekeza mchezaji mwingine ambaye yeye ndiye ataruhusiwa kufanya mazungumzo na mwamuzi.

3. Kama ikitokea mchezaji anayetakiwa kupiga penati, akaugusa mpira mara mbili wakati wa kupiga basi mchezaji ataruhusiwa kurudia kupiga tena.

4. Kwa baadhi ya mechi, marefa watakuwa wakitumja kamera zao kama ilivyokuwa kwenye FIFA Club World Cup, kwenye baadhi ya matukio tulivyokuwa tunaonyeshwa kupitia kamera zilizopo kwenye sare za marefa.

5. Waamuzi watakuwa na vipaza sauti ili kuelezea baadhi ya maamuzi waliyoyafanya uwanjani.
 
Msimu mpya umeanza na haya ndiyo mabadiliko unayotakiwa kuyajua kuhusu msimu huu wa ligi kuu Uingereza msimu wa 2025-2026;
1. Endapo kipa akidaka mpira, kisha akaendelea kuushika bila kuuweka chini au kuanzisha mchezo kwa sekunde 8 basi timu yake itaadhibiwa kwa mpinzani kupewa faida ya kupiga kona.

2. Manahodha pekee ndiyo wanaruhusiwa kumfata mwamuzi kumlalamikia tofauti na hapo mchezaji mwingine akimfata refa bila kuitwa au akaenda kwa kuonyesha utovu wa nidhamu, ataonyeshwa kadi ya njano. Kama nahodha ni kipa basi kabla ya mechi, timu itampendekeza mchezaji mwingine ambaye yeye ndiye ataruhusiwa kufanya mazungumzo na mwamuzi.

3. Kama ikitokea mchezaji anayetakiwa kupiga penati, akaugusa mpira mara mbili wakati wa kupiga basi mchezaji ataruhusiwa kurudia kupiga tena.

4. Kwa baadhi ya mechi, marefa watakuwa wakitumja kamera zao kama ilivyokuwa kwenye FIFA Club World Cup, kwenye baadhi ya matukio tulivyokuwa tunaonyeshwa kupitia kamera zilizopo kwenye sare za marefa.

5. Waamuzi watakuwa na vipaza sauti ili kuelezea baadhi ya maamuzi waliyoyafanya uwanjani.
Hii ya kupiga penalti inahitaji maelezo zaidi
Ikiwa mpiga penalti atagusa mara mbili, yaani miguu yote mbili ikagusa mpira haya yanatokea
1) Kama mguso ni wa bahati mbaya hata kama mpira umeingia wavuni, refa ataamuru penalti irudiwe - hii ya bahati mbaya ni mchezaji akislip wakati anapiga mpira miguu yote ikagusa mpira
2) Kama mguso ni wa makusudi, refa atawapa indirect kick timu pinzani - hii ya makusudi ni mguu wa kwanza upeleke mpira kwenye mguu wa pili kabla ya kwenda golini
 
Hivi ni kwanini Jackson akianza uwa tunapata nafasi nyingi ila tunashindwa kuzitumia vizuri hasipokuwepo uwanjani tunafika goli la mpinzani kwa mbinde
Jackson ni ball career mzuri, tatizo lake ni umaliziaji tu
Hii mechi ya Crystall Palace haiwezi kabisa kuonyesha kama tumemiss Jackson, ni mapema mno. Wale Palce walipaki kiasi kwamba hata Jackson angepotezwa. Kumbuka mechi kama mbili zilizopita kabla ya hii ya jumapili Chelsea na Palace walidroo pia
 
Muwe na utu na nafsi. Romeo Lavia na Wesley Fofana hawakuchagua kuwa majeruhi—majeraha yanavuruga taaluma, ndoto, na maisha.

Ni mnyama tu anayemshambulia mtu aliyepatwa na ajali. Hebu jiulize: je, umewahi kumshambulia ndugu yako anayebebwa tu nyumbani kwenu kwa sababu ya ajali?

Tuwaheshimu binadamu. Tuwaachie waliolazwa mikononi mwa madaktari, sisi tujikite kwa walioko wazima. Hakuna mchezaji anayejifanya majeruhi au tapeli.

Hii tabia ya kushambulia majeruhi ikome kabisa. Ushabiki wenye sumu kama huu ni wa kupiga vita. Tuwe mashabiki wa kweli—wenye huruma, heshima, na akili. ⚽💙
Yani binadam tunakosa utu kabisa, sijui tunaelekea wapi ushabiki ukizidi usio na kujua matatizo ya mchezaji sio mzuri na haufai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom