Acheampong amejitahidiChelsea leo imekutana na ukuta wa Berlin na viungo wetu na winga hawakuwa wabunifu. Ukuta huo wa Palace umesababisha mchezo kupooza sana. Mchezaji pekee aliyeonyesha kufanya mchezo kuwa hai ni Estevao Willian alipoingia badala ya Gittens dakika ya 54. Nyuma ukosefu wa Colwill umekuwa dhahiri. Chalobah na Acheampong hawajiamini kwenye kupiga pasi zile za kuvunja msatri wa viungo wa Palace na matokeo yake pasi za kupean nyuma tu hadi umeoboa sana
😳😁😁😁 Lile kombe liliwadanganya mkadhani mna tu nyie hamna utofauti na Eibar.
Yeah. Kwenye kuzuia kajitahidi sana ila kwenye kupenyeza pasi zile za vunja mstari alijaribu mara mbili kidogo atufungishe goli, wenzake walikuwa sharp kuzuia. Baada ya hapo akaamua kucheza kwa tahadhari sana bila kupiga mipira mbele. Ukweli ni kwamba tutahitaji CCB, Acheampong anatakiwa mechi za size yake ili akue bila preshaAcheampong amejitahidi
Mechi mzima, Enzo nimemwona dkk ya 70 na dkk 78 akiwa anatoka 😂Adam Wharton kamfanya Enzo leo aonekane kama Jonas Mkude
🤣🤣Mechi mzima, Enzo nimemwona dkk ya 70 na dkk 78 akiwa anatoka 😂
Tusipende kutoa hukumu kwa mechi mojaGittens hamna kitu, afadhali aliyoingia Estêvão game likaanza kuchangamka.
Palace wamecheza kibingwa sana, wangekuwa wanaingia sana kwenye goli pinzani wangeondoka na point tatu leo mapema sana.
Enzo hayuko fiti kabisa na nililiona hili tangu pre seasonYeah. Kwenye kuzuia kajitahidi sana ila kwenye kupenyeza pasi zile za vunja mstari alijaribu mara mbili kidogo atufungishe goli, wenzake walikuwa sharp kuzuia. Baada ya hapo akaamua kucheza kwa tahadhari sana bila kupiga mipira mbele. Ukweli ni kwamba tutahitaji CCB, Acheampong anatakiwa mechi za size yake ili akue bila presha
Nadhani hata Ww mwnyw umeona utofauti Gittens Akiwepo, na estavao alivyoingia.Tusipende kutoa hukumu kwa mechi moja
Ndio lakini huwezi kumuhukumu Bado hajaizoea ligi hivi unakumbuka Thiago Silva alivyoanza game yake ya Kwanza Chelsea ilikuaje au CaicedoNadhani hata Ww mwnyw umeona utofauti Gittens Akiwepo, na estavao alivyoingia.
Utapeli wake uko wapiEnzo Fernandez tapeli
HawaHawa Palace waliwanyang'anya kombe mdomoni..Leo mabingwa walikutana wakasalimiana kibingwa.🤣🤣🤣🤣🤣Tuliwaambia lile kombe halina faida yoyote
Yule mwenye jezi no 08 unamuogopa au umesahauMimi si huwa nawambia hapa? Nikiwambia mchezaji fulani ni takataka muwe mnaelewa, nafuatilia sana michezo na wachezaji.
Narudia tena, hawa wachezaji ni matakataka.
Nicolas Jackson
Christopher Nkunku
Liam Delap
Jamie Gittens
Romeo Lavia
Wesley Fofana
Jorrel Hato
Benoit Badiashile
Axel Disasi
Robert Sanchez