Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kipindi cha kwanza kimepoa.. timu zote zinacheza kwa kuviziana na kusubira makosa mpk yatokee.
 
My boy Gittens he we go
Gittens wako bado ni mbichi sana, Ligi ndio ameanza na anaonekana anayo safari ndefu sana. Naona Garnancho akija ataanza mechi nyingi kuliko yeye. Ngoja tuone kipindi cha pili George akiingia ataleta nini.
 
Mnaocheki mpira tathimini zenu ni za muhimu sana, naona mpk dk.80 bado bila bila.
 
Kocha inambidi amkataze Gusto kupiga mashuti golini. Awe anatoa pasi tu
 
Mnaocheki mpira tathimini zenu ni za muhimu sana, naona mpk dk.80 bado bila bila.
Chelsea leo imekutana na ukuta wa Berlin na viungo wetu na winga hawakuwa wabunifu. Ukuta huo wa Palace umesababisha mchezo kupooza sana. Mchezaji pekee aliyeonyesha kufanya mchezo kuwa hai ni Estevao Willian alipoingia badala ya Gittens dakika ya 54. Nyuma ukosefu wa Colwill umekuwa dhahiri. Chalobah na Acheampong hawajiamini kwenye kupiga pasi zile za kuvunja msatri wa viungo wa Palace na matokeo yake pasi za kupean nyuma tu hadi umeoboa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom