lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Hivi ninyi ni wanyama au vibwengo? unamshambuliaje mtu aliyepatwa na ajali?Mteteee mchejazi wa machela wenzako wakiongea wanaoneka hawajui mpira ona sasa upuuzialioufanya
Hivi ninyi ni wanyama au vibwengo? unamshambuliaje mtu aliyepatwa na ajali?Mteteee mchejazi wa machela wenzako wakiongea wanaoneka hawajui mpira ona sasa upuuzialioufanya
Alafu mbona inaeleweka sababu ya yeye kutopewa nafasi michezaji mijinga Kama hii haifai kuwa kwenye team huyu ndio alichangia kukoleza moto kwenye sakata lile la Enzo Fernandez.Nimeona baada ya kufuta picha Mashabiki wamemtukana alivyoona maji yamezidi UNGA akajikosha kwa kupost kupitia insta storyWesley Fofana kaiondoa Chelsea kwenye ukurasa wake wa Instagram kama walivyofanya Wissa wa Brentford na Alexander Isak wa Newcastle. FDofana kafanya hivyo baada ya kutopewa dakika kwenye mechi ya Chelsea dhidi ya Crystal Palace licha ya kuwa kwenye benchi. Maresca alisema kuwa hakua na mpango wa kumpa Fofana dakika katika hiyo mechi
Huu ni Upumbavu na hapo sasa sitamtetea Fofana kwa sababu kwa akili yake timamu amefanya huo upuuzi kwa timu iliyomtunza akiwa majeruhi kwa miaka miatatu.
View attachment 3447046
We team yako nzuriTimu lenu bovu
Ni Nani?Je mnamjua huyo wa kulia?
View attachment 3447278
NdioWe team yako nzuri
Dastan Satpayev ni mchezaji mdogo wa Kazakhstani ambaye amesajiliwa na Chelsea. ana miaka 17 na Mwakani atakuja Chelsea kama alivyo fanya Estevao na Kendry PAezNi Nani?
Chelsea mbovu wachezaji wanaikimbiaVillarreal wamekubali dili la kumsajili Renato Veiga kwa uhamisho wa kudumu kutoka Chelsea, HERE WE GO!
Makubaliano na mchezaji na pia Chelsea juu ya nyongeza ya kifurushi cha €29.5m yamejumuishwa na kifungu kizito cha kuuza (sell on clause).
Hii inaipatia Chelsea faida ya pesa taslimu c.€15.5 milioni na faida ya vitabu karibu c.€18.2 milioni.
Hii haijumuishi ada ya mkopo ya Euro milioni 3.8 iliyolipwa na Juventus.
Hongera the Blues
Sasa Christopher Nkunkiu na Nicolas Jackson wafuatie ila ningependa Jackson akose timu ili abaki
View attachment 3447334
Hamna ishu yoyote ametengeneza attention tu..kapost picha IG stories anajiandaa na mechi ya ijumaaWesley Fofana kaiondoa Chelsea kwenye ukurasa wake wa Instagram kama walivyofanya Wissa wa Brentford na Alexander Isak wa Newcastle. FDofana kafanya hivyo baada ya kutopewa dakika kwenye mechi ya Chelsea dhidi ya Crystal Palace licha ya kuwa kwenye benchi. Maresca alisema kuwa hakua na mpango wa kumpa Fofana dakika katika hiyo mechi
Huu ni Upumbavu na hapo sasa sitamtetea Fofana kwa sababu kwa akili yake timamu amefanya huo upuuzi kwa timu iliyomtunza akiwa majeruhi kwa miaka miatatu.
View attachment 3447046
Taja waliokimbiaChelsea mbovu wachezaji wanaikimbia
Chelsea timu bovu wachezaji wanalikimbiaTaja waliokimbia
Nisaidie pia kuwataja hao wanaong'ang'ania kuja kwenye jamii ya mabingwa wa dunia
Nikusaidie tu
Wachezaji Walioonyesha Uaminifu kwa Chelsea
1. Pedro Neto 🇵🇹
2. Jadon Sancho 🇬🇧
3. Aaron Anselmino 🇦🇷
4. Marc Guiu 🇪🇸
5. Geovany Quenda 🇵🇹 (Sporting Lisbon)
6. Dario Essugo 🇵🇹
Hawa bado wanang'ang'ania kuja Chelsea na wamekataa kuonge na timu zingine zikmiwemo Man City, Mna United, Liverpool, Arsenal. Newcastle nk
Malick Fofana 🇧🇪 (Lyon)
7. Alejandro Garnacho 🇦🇷 (Manchester United)
8 Xavi Simons 🇳🇱 (RB Leipzig)
9. Jorrel Hato 🇳🇱 (Ajax
Asipouzwa Jackson uoni itatugharimu kwenye kuregister wachezaji wapya UEFA champions league alafu nimesikia kwamba Joao Felix hatajumuishwa kwenye vitabu vya uhasibuVillarreal wamekubali dili la kumsajili Renato Veiga kwa uhamisho wa kudumu kutoka Chelsea, HERE WE GO!
Makubaliano na mchezaji na pia Chelsea juu ya nyongeza ya kifurushi cha €29.5m yamejumuishwa na kifungu kizito cha kuuza (sell on clause).
Hii inaipatia Chelsea faida ya pesa taslimu c.€15.5 milioni na faida ya vitabu karibu c.€18.2 milioni.
Hii haijumuishi ada ya mkopo ya Euro milioni 3.8 iliyolipwa na Juventus.
Hongera the Blues
Sasa Christopher Nkunkiu na Nicolas Jackson wafuatie ila ningependa Jackson akose timu ili abaki
View attachment 3447334
Haya singo mama umesikika.Chelsea timu bovu wachezaji wanalikimbia
Yeah, UEFA wamekuja na double standards yao, eti wachezaji watakaohesabiwa kwenye mapato ni wale walioshiriki knockout stage ya Conference league. Sasa mbona kwenye ile faini ya mil 31 walihesabu wachezaji wote walionunuliwa? ila kwenye mauzo wanabagua. Nicolas Jackson inabidi sasa auzwe tu kwa udi na uvumba, apende asipendeAsipouzwa Jackson uoni itatugharimu kwenye kuregister wachezaji wapya UEFA champions league alafu nimesikia kwamba Joao Felix hatajumuishwa kwenye vitabu vya uhasibu
Mauzo ya Renato Veiga ni dili zuri sana, faida ya mil karibia 15 na bado sell on clause ya 40%Villarreal wamekubali dili la kumsajili Renato Veiga kwa uhamisho wa kudumu kutoka Chelsea, HERE WE GO!
Makubaliano na mchezaji na pia Chelsea juu ya nyongeza ya kifurushi cha €29.5m yamejumuishwa na kifungu kizito cha kuuza (sell on clause).
Hii inaipatia Chelsea faida ya pesa taslimu c.€15.5 milioni na faida ya vitabu karibu c.€18.2 milioni.
Hii haijumuishi ada ya mkopo ya Euro milioni 3.8 iliyolipwa na Juventus.
Hongera the Blues
Sasa Christopher Nkunkiu na Nicolas Jackson wafuatie ila ningependa Jackson akose timu ili abaki
View attachment 3447334
Ana hirizi anacheza nayo yule...mtoto wa Dakar yule😀😀Hivi ni kwanini Jackson akianza uwa tunapata nafasi nyingi ila tunashindwa kuzitumia vizuri hasipokuwepo uwanjani tunafika goli la mpinzani kwa mbinde