Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ok mkuu. Let us wait and see whether the deal will go or fall through.
Haijawahi kuwepo sasa tunasubiri dili lipi? Taarifa ziliopo ni za uzushi mtupu!
1753945170004.png
 
Ok mkuu. Let us wait and see whether the deal will go or fall through.
Ila we jamaa mbishi hakuna hiyo taarifa mkuu usiwe unafuatilia taarifa za page za vichochoroni we fuatilia Kama Fabrizio romano, sky sports au nizaar Kinsella
 
Huyu jamaa kama unamfuatilia anazo kasoro nyingi kuliko hata za Robert Sanchez, wakati sanchez yeye udhaifu wake ni kukurupuka saa nyingine sio kila mara, huyu Gianluigi Donnarumma ni mdhaifu kwenye
Kucheza kutoka nyuma na distributions
Sio mtulivu langoni
Hawezi kucheza mipira ya juu pamoja na urefu wote huo wa mita 1.96
Hawezi kureact na kudaka mip;ira ya pembneni fuatilia mabao mawili ya Palmer
Hawezi kucheza mipira ya kona vizuri
Kujniamini kupita kiasi na hivyo kumuondolea umakini golini hasa wakati wa counter na presha ya kona kich au frfee kick nk
Inconsistency kwenye timu yake ya PSG na timu ya Taifa la Italia
Malegendary wa Chelsea wanasema Sanchez atoshi kama tunataka makombe ni lazima Chelsea ifanye namna kumpata kipa mwingine
 
Agosti 3: Wataripoti
Tarehe 6 Agosti: Sherehe ya Kutwaa Kombe la Dunia na Trump kaalikwa hapo Stamford Bridge
Agosti 8: Chelsea vs Leverkusen
Agosti 10: Chelsea vs Milan
Hiyo tarehe 6 inamaana kutakuwa na parade
 
Tarehe 6:- Baada ya sherehe Kombe litapandishwa kwenye ndege ya Air force one, ndege itazungusha kombe dunia nzima, mashabiki wote duniani kote washuhudie Bingwa anapita kibabe
Sawa mkuu tumekuelewa. Hili kombe tangu liliponyanyuliwa na Rais wa dunia niliona kweli lina thamani kubwa ulimwenguni. Jamani wadau wa Asenali na Manure mnaopita humu naomba mtambue kuwa hili sio kumbe dunia bali ni KOMBE LA ULIMWENGU. Chelsea ndiyo timu ya kwanza hapa ulimwenguni kushinda hili kombe. Kama kuna mtu hataki asage sumu anywe au abebe mimba azae mtoto amuite Chelsea.
 
Ndugu matajiri wa London naona tumepigwa na kitu kizito hapa. Huyu Nkunku ni hasara. Hakuna hata timu inayotaka kumnunua.
Ndio maana sasa tunakataa kusajili wachezaji wa mishahara mikubwa.

Wachezaji wa Chelsea Wanaolipwa Mshahara Mkubwa (USD kwa Wiki) na kufanya uuzaji wao kuwa mgumu:

MchezajiMshahara kwa Wiki (USD)Mkataba UnaishaChangamoto za Kuuzwa / Kupelekwa kwa Mkopo
Christopher Nkunku~$250,0002029Majeraha ya mara kwa mara, mshahara mkubwa, klabu chache zinazomwinda
Raheem Sterling~$420,0002027Hana nafasi kikosini, umri mkubwa, kiwango kimeshuka, mshahara wa juu sana
Ben Chilwell~$260,0002027Hana nafasi kikosini, majeraha, mshahara mkubwa
Wesley Fofana~$260,0002029Majeraha ya muda mrefu, gharama kubwa ya usajili, mshahara wa juu
 
Hiyo tarehe 6 inamaana kutakuwa na parade
Hakutakuwa na Paradeitakuwa ni Exclusive event ya timu ya wanaume na wanawake ambapo makombe yote matano ambazo hizi timu zilishinda msimu uliopita zitaonyeshwa

Makombe yenyewe ni:
  1. UEFA Conference League
  2. FIFA Club World Cup
  3. FA Women’s Super League (WSL)
  4. FA Women’s Cup
  5. Women League Cup
 
Kwa maoni yangu nisingependa Gernacho aje Chelsea sio kwasababu ni mchezaji mmbaya la hasha ni mchezaji mzuri ila Nina sababu za msingi kwanini asisajiliwe Chelsea kumbuka Chelsea itamsajili Xavi Simon, kuwasajili hawa wote wawili ina maana upande wa winger wa kushoto kutakuwa Gittens na Gernacho na upande wa winger wa kulia kutakuwa na Pedro Neto na Estevao kwa maana hiyo nafasi ya Xavi Simon itakuwa lazima agombanie na Cole Palmer kitu ambacho itakuwa akimake sense mchezaji mzuri kiasi kile awe bench maker so Chelsea inabidi isimsajili kabisa Gernacho ili Xavi Simon apate nafasi ya kutosha kwenye kikosi cha Kwanza badala yake ni Bora tusajili kipa au beki wa kati wa kulia tutakuwa tumefanya maamuzi mazuri zaidi.
 
Malegendary wa Chelsea wanasema Sanchez atoshi kama tunataka makombe ni lazima Chelsea ifanye namna kumpata kipa mwingine
Kocha na wataalamu wake anasema anatosha na amebeba naye makombe mawili tayari, sasa wewe hao malegend wanatoka wapi? Sanchez ni bonge la kipa. kapata glovu ya dunia ebu toeni kejeli zenu za wivu tu. Sanchez ataendelea kuwepo hadi hapo Mike Penders atakapokuwa tayari kudakia timu kubwa
 
Ndio maana sasa tunakataa kusajili wachezaji wa mishahara mikubwa.

Wachezaji wa Chelsea Wanaolipwa Mshahara Mkubwa (USD kwa Wiki) na kufanya uuzaji wao kuwa mgumu:

MchezajiMshahara kwa Wiki (USD)Mkataba UnaishaChangamoto za Kuuzwa / Kupelekwa kwa Mkopo
Christopher Nkunku~$250,0002029Majeraha ya mara kwa mara, mshahara mkubwa, klabu chache zinazomwinda
Raheem Sterling~$420,0002027Hana nafasi kikosini, umri mkubwa, kiwango kimeshuka, mshahara wa juu sana
Ben Chilwell~$260,0002027Hana nafasi kikosini, majeraha, mshahara mkubwa
Wesley Fofana~$260,0002029Majeraha ya muda mrefu, gharama kubwa ya usajili, mshahara wa juu
Ina maana hawataki kuhama wanatamani wamalize mikataba yao wakiwa hapohapo ilmradi wanalipwa mishahara minono bila kufanya kazi? Basi hili ni tatizo kubwa mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom